kuungua ni madhara tosha.
Kule juu ndo dorms magodoro yalikuwa mapyaa, ukipita mchana unayaona yanameremetaNimepita pale nimeona polisi na jeshi la uokoaji na zimamoto hawajui nini cha kufanya moto uko ghorofa ya juu na vifaa vya kuzimia moto juu ya ghorofa hawana.
Nchi ngumu sana hii nimeona niiingie zangu EB 25 kula pombe tu
Maana jengo limetoka rekebishwa na kuwekewa vitanda na magodoro mapya haijapita miezi 2Insurance fraud
Duuh kumbee. Moto wa godoro ni hatari sana aiseeKule juu ndo dorms magodoro yalikua mapyaa, ukipita mchana unayaona yanameremeta
Tukusanyike sote kwa pamoja tumshitakiye mtume S A WHizi taasisi za elimu za kiislamu kwanini ndio zinaongoza kuwaka moto?
Kuna jambo nyuma ya moto wa mara kwa mara kwenye hizi taasisi.
Washatia kiberitiMoto!!
Hizi habari tulipumzika hapa Kati, zinarudi tena.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Peoples [emoji777]God save our peoples and the all who are going through troubles and illness.
Mungu awanusuruChuo cha Kiislamu cha All Mustafa kilichopo maeneo ya Mbezi Beach Makonde, Jijini Dar es Salaam kinateketea kwa moto. Chanzo cha Moto huo bado hakijajulikana.
View attachment 2534139
Chanzo: Clouds Media
God save our peoples and the all who are going through troubles and illness.
Huoni unaligawa Taifa kwa uchochezi huu wa kipumbavu tokana na udini tu?Hizi taasisi za elimu za kiislamu kwanini ndio zinaongoza kuwaka moto?
Kuna jambo nyuma ya moto wa mara kwa mara kwenye hizi taasisi.