Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So inawezekana kule kumeremeta ndo kumesababisha moto?Kule juu ndo dorms magodoro yalikua mapyaa, ukipita mchana unayaona yanameremeta
Na kama hivi usiku barabara ni nyeupeMatukio Ya Utayari Tuuone Huo Utayari Kwa Mafanikio Makubwa. Kutoka Fire Kariakoo Hadi Mbezi Goig Siyo Mbali Sana
Kwahiyo unashauri nini? Shule zaidi za kiislam zikiungua moto tufanyaje? Tukae kimya ili tusionekane wadini?Huoni unaligawa Taifa kwa uchochezi huu wa kipumbavu tokana na udini tu?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Zinajengwa chini ya viwangoHizi taasisi za elimu za kiislamu kwanini ndio zinaongoza kuwaka moto?
Kuna jambo nyuma ya moto wa mara kwa mara kwenye hizi taasisi.
Shocking 😱Chuo cha Kiislamu cha Al Mustafa kilichopo maeneo ya Mbezi Beach Makonde, Jijini Dar es Salaam kinateketea kwa moto. Chanzo cha Moto huo bado hakijajulikana.
View attachment 2534139
=====
UPDATE:
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Saad Mtambule amesema moto uliounguza Chuo cha AI Mustafa Mbezi Beach Dar es salaam usiku huu umesababisha Mwanafunzi mmoja kujeruhiwa lakini hakuna ripoti ya kifo licha ya madhara ya vifaa kuungua ikiwemo komputa mpya 30, magodoro, passport na vyeti.
"Moto umedhibitiwa kwa kiasi kikubwa, zoezi linaloendelea sasa ni kuwahamisha Wanafunzi wote 120 wa Chuo hiki kutoka Mbezi Beach na kuwapeleka Temeke ambako kuna eneo ambalo limeandaliwa kwa ajili ya Wanafunzi hao kulala kwa leo huku taratibu nyingine zikiendelea kufanywa"
"Tutafanya uchunguzi kujua kilichotokea lakini kwa sasa usalama umedhibitiwa maeneo haya, Wanafunzi kwa sasa wanapelekwa Chang'ombe na tayari gari la kwanza limeondoka na Wanafunzi 50, kuanzia kesho tutakaa na Uongozi wa Chuo kuona juhudi za kufanya ukaratabati ili shughuli za Chuo ziweze kuendelea"
Chanzo: Millard Ayo
Sema tu HATUNA JESHI LA ZIMAMOTO NCHI HIINimepita pale nimeona polisi na Jeshi la uokoaji na zimamoto hawajui nini cha kufanya moto uko ghorofa ya juu na vifaa vya kuzimia moto juu ya ghorofa hawana.
Nchi ngumu sana hii nimeona niiingie zangu EB 25 kula pombe tu
Kumbe ndiko alikosoma GENTAChuo cha Goshama GENTAMYCINE popoma
Mwenyez mungu kawasha kiberiti. Noma sanaGentamycene anasema hicho chuo ni cha mashooshooo.Kama ndivyoooo,kama ndivyoooo!
Ngoja ajeKumbe ndiko alikosoma GENTA
kama wani...fi..ana huko kwanini moto usiwake? yaani ilibidi uwachome ili uwe fundisho kwa kila punga na wenye nia ya kuwa mapungaHizi taasisi za elimu za kiislamu kwanini ndio zinaongoza kuwaka moto?
Kuna jambo nyuma ya moto wa mara kwa mara kwenye hizi taasisi.
zinarudi baada ya kuingia mvaa ushungi.Moto!!
Hizi habari tulipumzika hapa Kati, zinarudi tena.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app