Chuo cha Kiislamu cha Al Mustafa Mbezi Beach Chateketea kwa moto

poleni, vipi gari ya zima moto ishafikaa?
 
Shocking 😱
 
Nimepita pale nimeona polisi na Jeshi la uokoaji na zimamoto hawajui nini cha kufanya moto uko ghorofa ya juu na vifaa vya kuzimia moto juu ya ghorofa hawana.

Nchi ngumu sana hii nimeona niiingie zangu EB 25 kula pombe tu
Sema tu HATUNA JESHI LA ZIMAMOTO NCHI HII

Hakuna wanachoweza kusaidia ili kuokoa uhai au Mali

Ni usanii na ulaji rushwa tu
 
Hizi taasisi za elimu za kiislamu kwanini ndio zinaongoza kuwaka moto?

Kuna jambo nyuma ya moto wa mara kwa mara kwenye hizi taasisi.
kama wani...fi..ana huko kwanini moto usiwake? yaani ilibidi uwachome ili uwe fundisho kwa kila punga na wenye nia ya kuwa mapunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…