Chuo cha Mtakatifu Agostino ni majanga

vitabu vyaweza kuwa vingi, je, ni relevant kwa kozi yako?

Usifikiri akili zako finyu za manununuzi wote wako ivyo!!!

Hiyo kozi mdau anayoisemea inawanafunzi Kati ya 600-800 kwa kila mwaka, first yr up to 3rd yr, inawezekanaje na kwa chuo gani kuwa na ratio ya 1:1? Maana kuna refence books na recommended books! Keep in mind kwamba kuna vitabu vipya kila mwaka, inabidi chuo kiwe kinaongeza. Tataizo lenu hela za stationery za HESLB haziko kwenye budget yenu ya vitabu ila mademu (vibaba), club na baa!!!
 
Jaman kuna chuo kipya kimeanzishwa kinaitwa MTAKATIFU AGUSTONO kinatoa couse hizi ?? Publik rilation na jonalisim hebu mwenye taarifa zaidi kiko wapi tena? MWANZA?? atupe haaa haaa haaa
 
Library ipo safi kidogo, isipokuwa tumedekezwa wanafunzi kinomaaa!
 
Kama waona SAUT pabaya si unapiga chini. Njoo Muslim University hapa Moro, tuna vitabu kinoma
 
nyambafu watu, tumetumia madesa afu ww uanawaza vitabu? ww ni raia kweli?
 
Jipange unavoleta mada km hii kwa wasomi!!!lugha haieleweki...Banned!!!
 
ulijiunga ili upost takataka kama hizi

Join Date : 15th June 2013

Posts : 8

Rep Power : 303

Likes Received
3

Likes Given
0
 
Wewe unalalamika kuhusu kushea vitabu tafuta vyuo ambavyo havipo TZ ndio hutashea ukienda Public universities ndo hatari zaidi waulize walio huko watakupa habari yake,ila ni wajanja wajanja no maana hawalalamiki
 
use other alternative way dont depend much on one source.u may use internet which is more suitable for for university student sawa?
 
Huyu kweli ni mwanafunzi wa SAUT?. Sio kila anayesoma chuo kikuu anachukua digrii. Kuna short courses pia.
 
Jaman kuna chuo kipya kimeanzishwa kinaitwa MTAKATIFU AGUSTONO kinatoa couse hizi ?? Publik rilation na jonalisim hebu mwenye taarifa zaidi kiko wapi tena? MWANZA?? atupe haaa haaa haaa

Hahaha!! Kipo bro anachosoma huyo jamaa.
 
Unachukua certificate ya nini mzeya na ulipata four ya ngapi vile,kwa maelezo yako ukiniambia unasoma degree naacha chuo leo leo
 
Yani wewe unaijua internet just 4 fb,jf and other forums nt 4 relevant source of studies.usipende kulalama,jitegemee
 
C lazima nichangie kila kitu ngoja ninyamaze haya cyajui
 

Asifiwe kwani ana mtoto?
 

Ndo maan mimi sikusoma bongo.....Mateso gani haya maana vitabu hakuna, pesa ya manati mpaka mpigwe mabomu ndo mpewe waalimu wenyewe wanakufundisha kisha wanaona uchungu kwa wewe nawe kuwa msomi kama wao, elimu yenyewe haina viwango, mitihani migumu ya kukomoana, syllabus haieleweki, notes zipo lakini mtihani unatoka tofauti na topic katika notes.....etc....etc.....Kazi pia kupata kwa mbinde...ukiwa demu mpaka ugongwe ndo upate lo!!!!! Bongooooooooooooooo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…