Loy MX
JF-Expert Member
- Mar 26, 2012
- 1,253
- 312
Ndo maan mimi sikusoma bongo.....Mateso gani haya maana vitabu hakuna, pesa ya manati mpaka mpigwe mabomu ndo mpewe waalimu wenyewe wanakufundisha kisha wanaona uchungu kwa wewe nawe kuwa msomi kama wao, elimu yenyewe haina viwango, mitihani migumu ya kukomoana, syllabus haieleweki, notes zipo lakini mtihani unatoka tofauti na topic katika notes.....etc....etc.....Kazi pia kupata kwa mbinde...ukiwa demu mpaka ugongwe ndo upate lo!!!!! Bongooooooooooooooo....
Hongera mkuu kwa kusoma nje ya nchi..