Chuo cha SAUT badilikeni, Chuo kama shule ya msingi

Chuo cha SAUT badilikeni, Chuo kama shule ya msingi

sawa kabisa, kwa mapicha hayo! Utafikiri umefikia kijiji cha mabanda ya nguruwe na mabata.
Kwa ambao hatujafika tunapata picha ya hizo degree na masters zimefanania na mazingira ya hivyo vibanda! Very primitive...shame on you uongozi wote kwa kujali matumbo yenu.
Hapo mwisho umemalza kwa kuwananga viongozi wa RC sasa🤣🤣
 
Lengo la huu Uzi sio kubeza wala kudharau taasisi muhimu hii ya Elimu ya juu nchini,bali kutoa ushauri kwa lengo la kuboresha mazingira ya chuo,ambayo kimsingi hayavuti Sawa na hadhi ya chuo kikuu.

Ni mambo ya ajabu chuo kuwa kinakusanya mabilioni ya fedha na Kuna kipindi kilitoa gawio kwa serikali,alafu Kina shindwa kuboresha mazingira ya chuo.

Hii ni aibu mpaka kwa kanisa moja takatifu katoliki la mitume.
Uboreshaji wa mandhari ya vyuo vingi kwenye hii nchi ni changamoto kwa kweli cyo private wala gavoo kote ni hovyo tu
 
Kweli kabisa

Kweli kabisa mkuu
Hivyo viti na hayo mazingira ndio yamewatengeneza kina

Katambi naibu waziri leo
Kina malisa wa CHADEMA
Kina mkazuzu wa clouds fm
Kina Walter Harrison wa team meneja wa Yanga
Kina wenje wa Chadema
Kina mkosamali
Kina ivona kamuntu wa Adam tv
Kina zamaradi mtetema
Kina vick kamata mbuge
Kina sky walker
Kina Bernad James wa star tv
Kiufupi upo sehemu salama kabisa wewe soma
 
Huu Ni uongo wa kiwango Cha SGR,serikali Ina share % ngapi kwny chuo Cha SAUT?

Wewe Ni kaongo.
[/QUOT
Kipindi cha JPM,SAUT ilitoa gawio kwa serikali,kama hujui hili pole sana.
 
Mtoa mada anapigania maboresho ya miundombinu ya taasisi, ni jambo jema. Kanisa liache kuotesha vyuo vingi kila mkoa mithili ya uyoga. Badala yake ingejenga vyuo vichache vyenye ubora. Leo hii karibu kila mkoa kuna tawi la SAUT
Asante sana mkuu kwa kuelewa dhima ya Uzi wangu,maana kusoma na kuelewa ni dhana mbili tofauti sana.
 
Lengo la huu Uzi sio kubeza wala kudharau taasisi muhimu hii ya Elimu ya juu nchini, bali kutoa ushauri kwa lengo la kuboresha mazingira ya chuo,ambayo kimsingi hayavuti Sawa na hadhi ya Chuo Kikuu.

Ni mambo ya ajabu chuo kuwa kinakusanya mabilioni ya fedha na Kuna kipindi kilitoa gawio kwa serikali,alafu Kina shindwa kuboresha mazingira ya chuo.

Hii ni aibu mpaka kwa kanisa moja takatifu katoliki la mitume.

Pia soma ~ Canteen za Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agostino (SAUT ) Mwanza zimechakaa, hazifai kwa matumizi
Mkiambiwa UDSM ni Harvard mna mind. Haya someeni majalubani😃
 
Ni vizuri kukumbushana. Lakini, tuwe wakweli. Hili ni tatizo la kitaifa. Huwa tupo hivi kwa kila sekta. Hata mtu binafsi nyumbani kwake, nyumba ni nzuri vile kahamia tu. Baada ya muda hata ukimtembelea utajuta iwapo umepata haja uingie msalani. Barabara zetu na majengo ya umma hali ni hiyohiyo. Mtafurahi zikizinduliwa tu,baada ya hapo miaka kadhaa baadaye hutaki hata kuyatazama.

Mnakumbuka barabara ile ya Morogoro pale Manzese? Lile daraja pale tulikuwa tunakwenda kupiga picha. Leo mnaliona lilivyo? Sijui kama kuna mtu anawaza kulipiga hata brashi.

Wakati mwingine unawaza sijui mkoloni atutawale upya?

Huenda ina uhusiano na fikra. Bado fikra zetu zipo kijima wakati tushatransform.
 
Ni vizuri kukumbushana. Lakini, tuwe wakweli. Hili ni tatizo la kitaifa. Huwa tupo hivi kwa kila sekta. Hata mtu binafsi nyumbani kwake, nyumba ni nzuri vile kahamia tu. Baada ya muda hata ukimtembelea utajuta iwapo umepata haja uingie msalani. Barabara zetu na majengo ya umma hali ni hiyohiyo. Mtafurahi zikizinduliwa tu,baada ya hapo miaka kadhaa baadaye hutaki hata kuyatazama.

Mnakumbuka barabara ile ya Morogoro pale Manzese? Lile daraja pale tulikuwa tunakwenda kupiga picha. Leo mnaliona lilivyo? Sijui kama kuna mtu anawaza kulipiga hata brashi.

Wakati mwingine unawaza sijui mkoloni atutawale upya?

Huenda ina uhusiano na fikra. Bado fikra zetu zipo kijima wakati tushatransform.
Jamii yetu ni shida hata kufanya maintenance ya miradi na makazi binafsi,mfano jana nilikuwa stendi kuu ya mabasi ya Nyegezi,Mwanza kwenye kituo Cha polisi vioo vimepasuka vibaya Sana, lakini hakuna anaye jali zaidi ya kukusanya pesa tu,lakini maintenance wanashindwa,sasa huu ni upumbavu na uzuzu.
 
Mapungufu ni mengi mkuu mfano Leo Kuna jamaa yangu kahitimu SAUT 2019-2022,kaenda leo kuchukua cheti hakuna cheti Wala jina lake halipo kwenye kitabu Cha wahitimu wa mwaka husika na Cha ajabu kwenye account yake matokeo y'ako vizuri tu.😳
Nadhani lengo ni kukichafua, ni bora ungebaki kwenye issue ya mazingira, issue za kitaaluma huwezi sema moja kwa moja bila kujua uoande mwingine, kama mtu ka graduate 2022, vitabu vya graduation hutolewa wakati huo, imekuwaje leo ndio ajue kuwa jina lake halipo kwenye hicho kitabu. Matokeo siyo issue maana ku graduate kuna involve vitu vingi nje ya matokeo na ndiyo maana huwa kuna "clearance" issues kabla ya graduation.

So jielekeze strictly kwenye hoja yako ya awali kuhusu mazingira, suala la taaluma liache kama lilivyo maana kuna watu wengi taifa linawategemea ambao ni product ya hapo SAUT, yaani wengi sana, na wamejengwa na kulelewa na hicho chuo.
 
Nadhani lengo ni kukichafua, ni bora ungebaki kwenye issue ya mazingira, issue za kitaaluma huwezi sema moja kwa moja bila kujua uoande mwingine, kama mtu ka graduate 2022, vitabu vya graduation hutolewa wakati huo, imekuwaje leo ndio ajue kuwa jina lake halipo kwenye hicho kitabu. Matokeo siyo issue maana ku graduate kuna involve vitu vingi nje ya matokeo na ndiyo maana huwa kuna "clearance" issues kabla ya graduation.

So jielekeze strictly kwenye hoja yako ya awali kuhusu mazingira, suala la taaluma liache kama lilivyo maana kuna watu wengi taifa linawategemea ambao ni product ya hapo SAUT, yaani wengi sana, na wamejengwa na kulelewa na hicho chuo.
Kwenye taaluma nako Kuna shida,mwingine kaja kuchukua cheti,katoka Mbeya,cha ajabu cheti kimetolewa lakini hakuna provisional results,sasa hapa napo utasema hakuna shida za kitaaluma ?

Kuhusu jamaa yangu kakuta matokeo yaliyopo kwa IT na chumba za mitihani ni tofauti,kwa IT inaonesha Kuna course haina matokeo,wakati kutoka chumba Cha mitihani ipo full bila tatizo lolote.

Shida ya SAUT sio mazingira hata kwenye taaluma
 
Lengo la huu Uzi sio kubeza wala kudharau taasisi muhimu hii ya Elimu ya juu nchini, bali kutoa ushauri kwa lengo la kuboresha mazingira ya chuo,ambayo kimsingi hayavuti Sawa na hadhi ya Chuo Kikuu.

Ni mambo ya ajabu chuo kuwa kinakusanya mabilioni ya fedha na Kuna kipindi kilitoa gawio kwa serikali,alafu Kina shindwa kuboresha mazingira ya chuo.

Hii ni aibu mpaka kwa kanisa moja takatifu katoliki la mitume.

Pia soma ~ Canteen za Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agostino (SAUT ) Mwanza zimechakaa, hazifai kwa matumizi
Ni advanced Primary school
 
Nadhani lengo ni kukichafua, ni bora ungebaki kwenye issue ya mazingira, issue za kitaaluma huwezi sema moja kwa moja bila kujua uoande mwingine, kama mtu ka graduate 2022, vitabu vya graduation hutolewa wakati huo, imekuwaje leo ndio ajue kuwa jina lake halipo kwenye hicho kitabu. Matokeo siyo issue maana ku graduate kuna involve vitu vingi nje ya matokeo na ndiyo maana huwa kuna "clearance" issues kabla ya graduation.

So jielekeze strictly kwenye hoja yako ya awali kuhusu mazingira, suala la taaluma liache kama lilivyo maana kuna watu wengi taifa linawategemea ambao ni product ya hapo SAUT, yaani wengi sana, na wamejengwa na kulelewa na hicho chuo.
SAUT
Nadhani lengo ni kukichafua, ni bora ungebaki kwenye issue ya mazingira, issue za kitaaluma huwezi sema moja kwa moja bila kujua uoande mwingine, kama mtu ka graduate 2022, vitabu vya graduation hutolewa wakati huo, imekuwaje leo ndio ajue kuwa jina lake halipo kwenye hicho kitabu. Matokeo siyo issue maana ku graduate kuna involve vitu vingi nje ya matokeo na ndiyo maana huwa kuna "clearance" issues kabla ya graduation.

So jielekeze strictly kwenye hoja yako ya awali kuhusu mazingira, suala la taaluma liache kama lilivyo maana kuna watu wengi taifa linawategemea ambao ni product ya hapo SAUT, yaani wengi sana, na wamejengwa na kulelewa na hicho chuo.
Kukichafua SAUT ili kipi kionekane bora?

Kwa ushindani gani kibiashara hadi SAUT ichafuliwe?

Tz tuna upungufu wa vyuo, hata tukiambiwa chuo kinachinja watu tutakuja tu. Twende wapi sasa?

Sioni dhamira yoyote ovu. Sanasana ungeshukuru kupata ambavyo hukutarajia.
 
Back
Top Bottom