Chuo cha TIA kwanini mnawatia wazazi na wanafunzi hasara?

Chuo cha TIA kwanini mnawatia wazazi na wanafunzi hasara?

Kuna baadhi ya wanafunzi wa Bachelor's walichaguliwa kujiunga na chuo mwaka jana wakapokelewa chuoni na wazazi wakalazimishwa kulipa 60% ya ada halafu sasa hivi wazazi wanapigiwa simu na kuambiwa watoto wao hawana sifa za kuendelea na masomo, huo ni uhuni chuo kimefanya na haijulikani kama fedha zitarudishwa au la, naomba wadau mtupazie sauti katika jambo hili.
Mfumo uliwakubali vipi ikiwa hawana sifa? sijaelewa kwa sababu TCU mbali na kwamba wameweka utaratibu wa kila chuo kudahili lakini kuna cutting points.
 
Hili jambo limemtokea rafiki angu ple KCMC ila walirudishiwa ada ya miaka mitatu yote waliopotezewa
Miaka mitatu?. Kwamba alisoma miaka yote hiyo halafu akaambiwa hana sifa?
 
Back
Top Bottom