Chuo cha Uhasibu Arusha chadaiwa kudahili Wanafunzi wengi kuliko uwezo wake, wengine wasomea na kuishi Hoteli ya Ngurdoto

Nilibahatika kufika hiyo Hotel kama mara mbili hivi,, tuache masihara umefanyika uwekezaji wa hali ya juu sana. Lazima ukifika pale kuna maswali utajiuliza juu ya maisha unayoishi na uchumi wako. Nadhani alichukua uamuzi wa haraka sana kuifanya hostel kwa hadhi yake ilivyo, ndani ya mwaka sidhani kama itakua na quality ile ile.
 

Mwana wa Mungu, Yesu Kristo, rudi uje utusaidie kuililia Tanzania!!!
 
Kutoka kulala kwa dola 1980 milioni 4.5 kwa siku Hadi laki 4 kwa mwaka hakika huu ni uchumi wa Kati kabisa
 
Ukitaka kujua Chuo Bata karibu IAA kwenye new Campus
 
Wahispania wanasema
"Adios sinyori,patron Mrema"
 
Wengi hawaelewi kuhusu hii hotel.nikwamba zilitaifishwa Na serikali..since 2019...
#acheni kuropoka..kwa vitu msivyovijua....
 
Mkuu, kwa hiyo wanafunzi hawapaswi kusoma katika mazingira mazuri na masafi ya nyota 5?
 
k
Dah nimetokea kukuelewa sana,

hii kitu sio kwa kukurupuka, imepangwa kabisa.

imekaa flani kama hostile takeover.
 
Mleta mada acha unaa, kwani wakisomea Ngurundoto course content zinabadilika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…