Chuo cha Uhasibu Arusha chadaiwa kudahili Wanafunzi wengi kuliko uwezo wake, wengine wasomea na kuishi Hoteli ya Ngurdoto

Kozi zingine hizi wangeachana nazo sasa, wawafundishe watu ujasiriamali, kilimo na ufugaj zingewasaidia sana walalahoi
 
Hahaha waacheni vijana watimize ndoto zao, ajira ni bahati ya mtu, na kila mtu ana yake.
 
Wadau mengi yanaongelewa humu na mengine ni sifuri tu, but mwenye kupata video clip ya Magu wakati anakabidhiwa uwenyekiti wa EAC pale ngurdoto ailete hapa.

Kuna kitu huyu mzee aliongea kuhusu hiyo hotel either ilikuwa off mic au recorded.
 
l
lia ukimaliza kachambe ulale
 
RIP EL JEFFE MREMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…