Chuo cha Uhasibu Arusha(IAA) Acheni Arrogance; Part-Time Teaching Mnafanya Interview? Huko ni kudharau na kudhalilisha Watanzania

Huu uzi umeandikwa na mtu mpuuzi sana. Vijana acheni uvivu. Yaani hamtaki kabisa kufuata utaratibu matokeo yake mnalialia hovyo
 
Mkuu, just imagine una miaka 41 alafu unafanyiwa interview na kijana wa miaka 29.
 
mtu tayari umeshafundisha miaka pengine km 15 na zaidi ktk vyuo vingine uje ufanyiwe interview na vitoto vidogo
Mkuu, hii ndio sababu ambayo hata mimi ilinifanya nikaacha kutama job application. Yaaani mimi na ukubwa wangu miaka 37 niende interview chumba kimoja na watoto wa miaka 23? Alafu huyo interviewer mwenyewe ni HR officer binti wa miaka 25 au 27. Seriously? Bora niendelee tu kuuza mahindi ya kuchoma hapa Kitunda.
 
Mkuu, just imagine una miaka 41 alafu unafanyiwa interview na kijana wa miaka 29.
Kama umri ni mali kuliko Kazi, Baki na umri wako.. we Huko ofisin Bosi wako amewapita umri wafanyakazi wote..inshu ni content na uwezo wako unakupa nafasi, Kama wameweka huo utaratibu sidhan kàma nimbaya çoz unakuta mko wengi?? Wanawachagua vipi?? Na hta wakiwachagua bila interview si utakuja hapa jukwaan kulalamika??
 
Kazi njema mkuu.. unahofu ya kushindwa tu? Ungeambiwa we njoo Lazma nikupitishe hao wa Miaka 23 wala usingewawazia
 
Kazi njema mkuu.. unahofu ya kushindwa tu? Ungeambiwa we njoo Lazma nikupitishe hao wa Miaka 23 wala usingewawazia
Hiyo ndio mantiki yangu kwa maana hawa wa miaka 23 bado wanakumbuka walivyokariri darasani, mimi nimesahau vya kukariri, nipo practically. Sasa kwanini nisiogope kushindwa. Eti unaniuliza, what's assets and liabilities, hizi si ni dharau sasa
 
Kama umri ni mali kuliko Kazi, Baki na umri wako..
Mtu ana miaka 41 uzoefu miaka 9 kazini leo unamwambia afanyiwe interview na kijana miaka 29 uzoefu miaka 2 wapi na wapi. Ndio maana wengi wameamua kujiajiri tu.
 
Majina wametoa wapi?
 
Kufundisha chuo kingine haimanishi una qualify kufundisha chuoni kwao pia? Nimewahi kufundishwa na doctor (PhD) mmoja kutoka UDOM kama part time alikua haeleweki anafundisha nini mwisho tukalalamika akaondolewa baada ya semista kuisha, Kafanye interview bro
 

Sasa hapa ndipo unapozingua

Unaingiza mambo ya age kwnye mambo ya professsion

Unaeza kuta uyo uli mzidi umri kakuzidi elimu na uwezo vizuri kabisa.

Wao wameweka utaratibu wewe kama unaona huwezi basi achana nao fanya mishe zako.

Mimi ni coordinator wa international organization moja, hata miaka 30 sijafika. Ila interview za part time tunafanyia mpaka wazee wa miaka 50 na nawafanyia mimi na wengineo. Wapo wanaopata na wako wanakosa, kuna vijana wadogo tu wana uwezo mkubwa kuliko wazee. Wacha wapewe kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…