Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Hakuna shule pale, ni kupoteza muda tuNenda Muslim University Morogoro.Pale utasoma sheria na sharia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna shule pale, ni kupoteza muda tuNenda Muslim University Morogoro.Pale utasoma sheria na sharia.
Kwahiyo wewe hupendi kusoma sharia.Hakuna shule pale, ni kupoteza muda tu
Kumbe kuna Chuo kinaitwa MZUMBE!Mzumbe
Mimi sikatai content au course module za bachelor degree za sheria zinafanana au zile zile kwa Tanzania.Lakini masomo ni yale yale na tulikuwa tunakutana discussion na wanachuo kutoka vyuo mbalimbali hakuna cha ziada wanachosoma UDSM ni yale yale tu mkuu.
UDSM wanaenda vipanga tu. Huko kwingine wamejaa division III. Halafu hata kwenye ajira wa UDSM anazingatiwa zaidi labda tu azingue kwenye usaili.Ubora wake ni upi ukilinganisha na vyuo vingine?
Kwamba mwanafunzi hata asipojisomea kwa juhudi anafaulu tu kutokana na ubora wa chuo?
Ni sawa na mtu anayeamini private schools ni bora zaidi kuliko government schools wakati kuna watoto wanasoma government schools lakini kwakuwa wana juhudi na kujituma wanawakimbiza hata wale wa private school.
Hakuna uhusiano wa moja kwa moja wa kinachoitwa chuo bora na ufaulu bali uhusiano wa moja kwa moja upo kati ya kusoma kwa bidii na kufaulu bila kujali chuo gani unasoma.
Wewe ni muongo bwana😂😂😂😂Kuna module gani tofauti inayofundishwa Udsm ambapo vyuo vingine havifundishi?
Tatizo baadhi ya watu mnaishi kwa kukariri vitu visivyo na uhalisia kwa kuaminishwa ujinga.
Niliomba vyuo vitano nikapta vyote ikiwemo Udsm lakini sikuconfirm Udsm maana ni chuo cha kawaida sawa na vingine tu.
Elewa VIPANGA yanakwenda UDSM, ARDHI na SUA, yale mengine ya Div. Sijui 3, 4 hata 0 yanakwenda VYUO VINGINE!Kuna module gani tofauti inayofundishwa Udsm ambapo vyuo vingine havifundishi?
Tatizo baadhi ya watu mnaishi kwa kukariri vitu visivyo na uhalisia kwa kuaminishwa ujinga.
Niliomba vyuo vitano nikapta vyote ikiwemo Udsm lakini sikuconfirm Udsm maana ni chuo cha kawaida sawa na vingine tu.
Kwaninu afikulie Mzumbe Morogoro kwanza?Aendee Mzumbe University tena haraka zaidi