KERO Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam wanachukua hela ya bima ila wanafunzi hawapati kadi ya Bima

KERO Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam wanachukua hela ya bima ila wanafunzi hawapati kadi ya Bima

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

kingphisher

Member
Joined
Nov 30, 2024
Posts
45
Reaction score
79
Husika na mada tawa hapo juu, huu ni mwaka Wa pili, chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamekataa kutoa kadi ya bima kwa wanafunzi. Huwezi kufanyiwa registration hadi ulipe ela ya bima na costs nyigine, lakini hawatowi kadi za bima. Wanatoa tu namba ya bima. Hii imekuwa changamoto kupata huduma za kiafya kwenye baadhi ya vituo vya afya wakidai wanataka waone kadi. Tunaomba tusaidiwe kuhusu kupata hizi kadi maana hospitali nyingi hawakubali namba ya kadi, wanataka kadi.

UDSM usipokamilisha usajili huwezi kupata valid ID na hauruhusiwi kufanya hata test. Iwe mfumo ndio unashida au ela imechelewa kutoka bodi, haufanyi hata test, unajitahidi kukopa ela ili ulipe direct cost pamoja na Bima, hafu hiyo bima huipati. Tunaomba kusaidiwa kuhusu hili. Huu ni mwaka Wa pili baadhi ya wanafunzi.hatujapata kadi. Inatulazimisha kutumia ela zetu kujigharamia matibabu ya hospitalini.
 
Husika na mada tawa hapo juu, huu ni mwaka Wa pili, chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamekataa kutoa kadi ya bima kwa wanafunzi. Huwezi kufanyiwa registration hadi ulipe ela ya bima na costs nyigine, lakini hawatowi kadi za bima. Wanatoa tu namba ya bima. Hii imekuwa changamoto kupata huduma za kiafya kwenye baadhi ya vituo vya afya wakidai wanataka waone kadi. Tunaomba tusaidiwe kuhusu kupata hizi kadi maana hospitali nyingi hawakubali namba ya kadi, wanataka kadi.

UDSM usipokamilisha usajili huwezi kupata valid ID na hauruhusiwi kufanya hata test. Iwe mfumo ndio unashida au ela imechelewa kutoka bodi, haufanyi hata test, unajitahidi kukopa ela ili ulipe direct cost pamoja na Bima, hafu hiyo bima huipati. Tunaomba kusaidiwa kuhusu hili. Huu ni mwaka Wa pili baadhi ya wanafunzi.hatujapata kadi. Inatulazimisha kutumia ela zetu kujigharamia matibabu ya hospitalini.
ela ndio nini, huko UDSM mnafundishwa ujinga ?
 
Kosa sio udsm nhif ndo walisitisha kutoa kadi kwa wanafunzi make kwao ni hasara unalipia 50400 gharama ya kutengeneza kadi ni 20000 so tumieni hizo namba hakuna namna
 
Husika na mada tawa hapo juu, huu ni mwaka Wa pili, chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamekataa kutoa kadi ya bima kwa wanafunzi. Huwezi kufanyiwa registration hadi ulipe ela ya bima na costs nyigine, lakini hawatowi kadi za bima. Wanatoa tu namba ya bima. Hii imekuwa changamoto kupata huduma za kiafya kwenye baadhi ya vituo vya afya wakidai wanataka waone kadi. Tunaomba tusaidiwe kuhusu kupata hizi kadi maana hospitali nyingi hawakubali namba ya kadi, wanataka kadi.

UDSM usipokamilisha usajili huwezi kupata valid ID na hauruhusiwi kufanya hata test. Iwe mfumo ndio unashida au ela imechelewa kutoka bodi, haufanyi hata test, unajitahidi kukopa ela ili ulipe direct cost pamoja na Bima, hafu hiyo bima huipati. Tunaomba kusaidiwa kuhusu hili. Huu ni mwaka Wa pili baadhi ya wanafunzi.hatujapata kadi. Inatulazimisha kutumia ela zetu kujigharamia matibabu ya hospitalini.

1. Usiseme "ela" ni "Hela" ni aibu kwako.

2. Sasa hivi NHIF wame link na NIDA.

3. Namba ya NIDA tu ndiyo inayohitajika ndugu.
 
We dogo acha kulalamika. Tatizo ni NHIF sio chuo. Mbona mmeshatangaziwa sana unaona chuo kiwe na njaa ya 50400 yako?

Kuna option ya kutumia bima ya mzazi wako au nenda mwenyewe hapo NHIF opposite na Magu Hostel.
 
Husika na mada tawa hapo juu, huu ni mwaka Wa pili, chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamekataa kutoa kadi ya bima kwa wanafunzi. Huwezi kufanyiwa registration hadi ulipe ela ya bima na costs nyigine, lakini hawatowi kadi za bima. Wanatoa tu namba ya bima. Hii imekuwa changamoto kupata huduma za kiafya kwenye baadhi ya vituo vya afya wakidai wanataka waone kadi. Tunaomba tusaidiwe kuhusu kupata hizi kadi maana hospitali nyingi hawakubali namba ya kadi, wanataka kadi.

UDSM usipokamilisha usajili huwezi kupata valid ID na hauruhusiwi kufanya hata test. Iwe mfumo ndio unashida au ela imechelewa kutoka bodi, haufanyi hata test, unajitahidi kukopa ela ili ulipe direct cost pamoja na Bima, hafu hiyo bima huipati. Tunaomba kusaidiwa kuhusu hili. Huu ni mwaka Wa pili baadhi ya wanafunzi.hatujapata kadi. Inatulazimisha kutumia ela zetu kujigharamia matibabu ya hospitalini.
Daylight robbery
 
Husika na mada tawa hapo juu, huu ni mwaka Wa pili, chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamekataa kutoa kadi ya bima kwa wanafunzi. Huwezi kufanyiwa registration hadi ulipe ela ya bima na costs nyigine, lakini hawatowi kadi za bima. Wanatoa tu namba ya bima. Hii imekuwa changamoto kupata huduma za kiafya kwenye baadhi ya vituo vya afya wakidai wanataka waone kadi. Tunaomba tusaidiwe kuhusu kupata hizi kadi maana hospitali nyingi hawakubali namba ya kadi, wanataka kadi.

UDSM usipokamilisha usajili huwezi kupata valid ID na hauruhusiwi kufanya hata test. Iwe mfumo ndio unashida au ela imechelewa kutoka bodi, haufanyi hata test, unajitahidi kukopa ela ili ulipe direct cost pamoja na Bima, hafu hiyo bima huipati. Tunaomba kusaidiwa kuhusu hili. Huu ni mwaka Wa pili baadhi ya wanafunzi.hatujapata kadi. Inatulazimisha kutumia ela zetu kujigharamia matibabu ya hospitalini.
Ka
 
Husika na mada tawa hapo juu, huu ni mwaka Wa pili, chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamekataa kutoa kadi ya bima kwa wanafunzi. Huwezi kufanyiwa registration hadi ulipe ela ya bima na costs nyigine, lakini hawatowi kadi za bima. Wanatoa tu namba ya bima. Hii imekuwa changamoto kupata huduma za kiafya kwenye baadhi ya vituo vya afya wakidai wanataka waone kadi. Tunaomba tusaidiwe kuhusu kupata hizi kadi maana hospitali nyingi hawakubali namba ya kadi, wanataka kadi.

UDSM usipokamilisha usajili huwezi kupata valid ID na hauruhusiwi kufanya hata test. Iwe mfumo ndio unashida au ela imechelewa kutoka bodi, haufanyi hata test, unajitahidi kukopa ela ili ulipe direct cost pamoja na Bima, hafu hiyo bima huipati. Tunaomba kusaidiwa kuhusu hili. Huu ni mwaka Wa pili baadhi ya wanafunzi.hatujapata kadi. Inatulazimisha kutumia ela zetu kujigharamia matibabu ya hospitalini.
Utapeli siku hizi kila mahali
 
Kuna karatasi moja huwa unaipewa yenye muhuri flani ambayo ina namba zakuonyesha wewe ni Mteja wa NHIF.
Hivyo kama ikiwa bado Kadi haijakufikia utatakiwa utumie hiyo na utahudumiwa kama mtu mwenye kadi hadi siku kadi zitakapo kuja..

Walosoma Udsm nadhani wanalijua hili.

Na ni utaratibu kwa NHIF huwa kwa jumuiya za shule au chuo ukishalipia tuu huduma huwa inaanza hapo hapo.
 
Husika na mada tawa hapo juu, huu ni mwaka Wa pili, chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamekataa kutoa kadi ya bima kwa wanafunzi. Huwezi kufanyiwa registration hadi ulipe ela ya bima na costs nyigine, lakini hawatowi kadi za bima. Wanatoa tu namba ya bima. Hii imekuwa changamoto kupata huduma za kiafya kwenye baadhi ya vituo vya afya wakidai wanataka waone kadi. Tunaomba tusaidiwe kuhusu kupata hizi kadi maana hospitali nyingi hawakubali namba ya kadi, wanataka kadi.

UDSM usipokamilisha usajili huwezi kupata valid ID na hauruhusiwi kufanya hata test. Iwe mfumo ndio unashida au ela imechelewa kutoka bodi, haufanyi hata test, unajitahidi kukopa ela ili ulipe direct cost pamoja na Bima, hafu hiyo bima huipati. Tunaomba kusaidiwa kuhusu hili. Huu ni mwaka Wa pili baadhi ya wanafunzi.hatujapata kadi. Inatulazimisha kutumia ela zetu kujigharamia matibabu ya hospitalini.
Nyie wasomi nawashangaa sana sijui mnasoma nini. Yaani umeshindwa kudai kadi yako sehemu stahili unakuja huku JF tukusaidie? Maana ya wewe kuwa Chuo Kikuu ni nini sasa?
 
Back
Top Bottom