KERO Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam wanachukua hela ya bima ila wanafunzi hawapati kadi ya Bima

KERO Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam wanachukua hela ya bima ila wanafunzi hawapati kadi ya Bima

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Dah! UDSM na yenyewe siku hizi imekuwa kama TEKU tu. Wasomi wake wa sasa wana tofauti kubwa sana na wale wa zamani. Imagine mambo madogo tu kama haya, eti wanakuja kulia lia jamii forums!

Ingekuwa ndiyo enzi hizo; kitambo tu watu wameshatangaza kunji.
 
Nyie wasomi nawashangaa sana sijui mnasoma nini. Yaani umeshindwa kudai kadi yako sehemu stahili unakuja huku JF tukusaidie? Maana ya wewe kuwa Chuo Kikuu ni nini sasa?
Mkuu usidhani nimetoka from nowhere na kuja kutoa malalamiko humu straight. Tumeanza kudai hizo kadi since tulivoingia mwaka Wa kwanza, mwaka juzi 2023, had I Leo hiii tumeingia mwaka Wa pili. Tumefuatilia Mara Kwa Mara, tumeenda pale smart card office, tumeenda Kwa deans of student lakini bado. Wenafunzi wengi hasa ambao wameingia 2023, hamna kadi. Unapewa tu namba, yani namba kama namba ninavyokuambia. No any stamped paper unayopewa on behalf.
Tumefuatilia had I Leo hii. Ela zetu hizo zinaenda bure tu, maana ukienda hospital in I na hiyo namba huudumiwi
 
Mkuu usidhani nimetoka from nowhere na kuja kutoa malalamiko humu straight. Tumeanza kudai hizo kadi since tulivoingia mwaka Wa kwanza, mwaka juzi 2023, had I Leo hiii tumeingia mwaka Wa pili. Tumefuatilia Mara Kwa Mara, tumeenda pale smart card office, tumeenda Kwa deans of student lakini bado. Wenafunzi wengi hasa ambao wameingia 2023, hamna kadi. Unapewa tu namba, yani namba kama namba ninavyokuambia. No any stamped paper unayopewa on behalf.
Tumefuatilia had I Leo hii. Ela zetu hizo zinaenda bure tu, maana ukienda hospital in I na hiyo namba huudumiwi
Kwahiyo wewe kama "Msomi" solution ni kuja kulalamika JF? So you get my point?
 
Nyie wasomi nawashangaa sana sijui mnasoma nini. Yaani umeshindwa kudai kadi yako sehemu stahili unakuja huku JF tukusaidie? Maana ya wewe kuwa Chuo Kikuu ni nini sasa?
Mkuu usidhani nimetoka from nowhere na kuja kutoa malalamiko humu straight. Tumeanza kudai hizo kadi since tulivoingia mwaka Wa kwanza, mwaka juzi 2023, had I Leo hiii tumeingia mwaka Wa pili. Tumefuatilia Mara Kwa Mara, tumeenda pale smart card office, tumeenda Kwa deans of student lakini bado. Wenafunzi wengi hasa ambao wameingia 2023, hamna kadi. Unapewa tu namba, yani namba kama namba ninavyokuambia. No any stamped paper unayopewa on behalf.
Tumefuatilia had I Leo hii. Ela zetu hizo zinaenda bure tu, maana ukienda hospital in I na hiyo namba huu
Kwahiyo wewe kama "Msomi" solution ni kuja kulalamika JF? So you get my point?
Kwani kuja kwangu humu jf inakuuma nini? Mbona umekazana na Mimi kotoa taarifa humu, kama tushaenda department husika lakini hamna action yoyote, huu sasa mwaka wa pili unataka niende Dodoma? Chuo hakikuruhusu hata kufanya test kisa hauna valid ID kama haujakamilisha hiyo ela ya bima, tukishalipa ela hatupati kadi, hata hizo namba tu lazima ubembeleze wiki kadhaa. Hivi unajua hali ambayo wanafunzi tunapitia kweli au kama watoto wako wanasama nje ya nchi unataka tusifichue dukuduku? Kutoa tsh 50400 hafu inaenda bure unaona ni sawa, kiasi kwamba nikiRaise complain ni dhambi? Nakuuliza tena, unataka twende dodoma tukatoe taarifa ndo ujiskie vizuri sio? Najua mkishakua madarakani na kukalia viti vinavyozungula mnaAssume kila mtu ana maisha sawa na kwenu.
 
Dah! UDSM na yenyewe siku hizi imekuwa kama TEKU tu. Wasomi wake wa sasa wana tofauti kubwa sana na wale wa zamani. Imagine mambo madogo tu kama haya, eti wanakuja kulia lia jamii forums!

Ingekuwa ndiyo enzi hizo; kitambo tu watu wameshatangaza kunji.

Kwa hiyo unashauri tujichukulie maamuzi mkononi au maana yako ni nini.
 
Husika na mada tawa hapo juu, huu ni mwaka Wa pili, chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamekataa kutoa kadi ya bima kwa wanafunzi. Huwezi kufanyiwa registration hadi ulipe ela ya bima na costs nyigine, lakini hawatowi kadi za bima. Wanatoa tu namba ya bima. Hii imekuwa changamoto kupata huduma za kiafya kwenye baadhi ya vituo vya afya wakidai wanataka waone kadi. Tunaomba tusaidiwe kuhusu kupata hizi kadi maana hospitali nyingi hawakubali namba ya kadi, wanataka kadi.

UDSM usipokamilisha usajili huwezi kupata valid ID na hauruhusiwi kufanya hata test. Iwe mfumo ndio unashida au ela imechelewa kutoka bodi, haufanyi hata test, unajitahidi kukopa ela ili ulipe direct cost pamoja na Bima, hafu hiyo bima huipati. Tunaomba kusaidiwa kuhusu hili. Huu ni mwaka Wa pili baadhi ya wanafunzi.hatujapata kadi. Inatulazimisha kutumia ela zetu kujigharamia matibabu ya hospitalini.

Msomi hebu fafanua hii "ela" ni nini?​

 
Mkuu usidhani nimetoka from nowhere na kuja kutoa malalamiko humu straight. Tumeanza kudai hizo kadi since tulivoingia mwaka Wa kwanza, mwaka juzi 2023, had I Leo hiii tumeingia mwaka Wa pili. Tumefuatilia Mara Kwa Mara, tumeenda pale smart card office, tumeenda Kwa deans of student lakini bado. Wenafunzi wengi hasa ambao wameingia 2023, hamna kadi. Unapewa tu namba, yani namba kama namba ninavyokuambia. No any stamped paper unayopewa on behalf.
Tumefuatilia had I Leo hii. Ela zetu hizo zinaenda bure tu, maana ukienda hospital in I na hiyo namba huu

Kwani kuja kwangu humu jf inakuuma nini? Mbona umekazana na Mimi kotoa taarifa humu, kama tushaenda department husika lakini hamna action yoyote, huu sasa mwaka wa pili unataka niende Dodoma? Chuo hakikuruhusu hata kufanya test kisa hauna valid ID kama haujakamilisha hiyo ela ya bima, tukishalipa ela hatupati kadi, hata hizo namba tu lazima ubembeleze wiki kadhaa. Hivi unajua hali ambayo wanafunzi tunapitia kweli au kama watoto wako wanasama nje ya nchi unataka tusifichue dukuduku? Kutoa tsh 50400 hafu inaenda bure unaona ni sawa, kiasi kwamba nikiRaise complain ni dhambi? Nakuuliza tena, unataka twende dodoma tukatoe taarifa ndo ujiskie vizuri sio? Najua mkishakua madarakani na kukalia viti vinavyozungula mnaAssume kila mtu ana maisha sawa na kwenu.
What's your solution? Kuja JF kulalamika?
 
What's your solution? Kuja JF kulalamika?
Kwani ni dhambi? Nifenye nini kama huu ni mwaka wangu wa pili natoa pesa ya bima hafu bado natoa ela yangu kujigharamia hospitalini? Mnaona ni sawa sio? Hali tunayopitia mnajua au hamjui? Elf 50,400 ni hela ndogo kwako kiasi kwamba nikija humu na kusema unaona ni dhambi? Kwa hiyo mnataka tukae tu kimya ela zetu ziende bure bure hivo hadi tumalize chuo? Kama wewe ni one of UDSM staffs, si mnajua kabisa UDSM bila valid ID huruhusiwi kufanya hata test, em nambie kama hiyo valid ID hapa UDSM unaweza kuipata bila kukamilisha malipo bima, kama hapana, kwa nini sisi tutoe pesa za BIMA hafu halafu kadi ya bima hata namba ya hiyo kadi hatupewi? Hivi unajua toka tumeingia first year 2023 hatujanufaika na huduma yoyote ya NHIF pamoja na kwamba pesa tunatoa? Mnaona ni sawa sio? Haya em tuambieni, kama hamtaki tuje kwenye social media, where do we have to raise the complain kama hiyao maswala ya bima tumetoka kudai toka mwaka juzi. Nambie.
 
Chuo ni ajenti wa nhif, kama chuo kinadai kwa nguvu mpaka kukunyuma usajiri basi kiwajibike kukutafutia hiyo kadi kwa nguvu Ile Ile kutoka nhif.
We dogo acha kulalamika. Tatizo ni NHIF sio chuo. Mbona mmeshatangaziwa sana unaona chuo kiwe na njaa ya 50400 yako?

Kuna option ya kutumia bima ya mzazi wako au nenda mwenyewe hapo NHIF opposite na Magu Hostel.
 
Back
Top Bottom