Chuo Kikuu cha Dar (UDSM) chajadili Mkataba wa Bandari

Chuo Kikuu cha Dar (UDSM) chajadili Mkataba wa Bandari

Dr. Richard Bruno Mbunda mhadhiri kitivo cha College of Social Sciences UDSM



anatupa za ndani kabisa kuhusu maana na mantiki kisheria katika mkataba wa bandari
 
Shida yote ilianzia hapa 👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼 , najuta kabisa kuwasanua hawa jamaa

 
Walijadili ule mswada wa cyber crime pale Nkurumah Hall, lakini kilitokea nini?
Ule mswada si ulipitishwa wala hata yale marekebisho waliyoyataka hayakufanywa!

Maxence Melo alikuwepo ni shahidi!

Hata huu mkataba walivyojadili matokeo yatakuwa sawa na yale ya mswada wa cyber crime tu!
Haimaanishi waache kujadili....wale ni wasomi na wanatoa mtazamo wao lakini wenye maamuzi ni Hawa wanasiasa wetu.
 
wabunge wetu ambao ndio wawakilishi wa wananchi wameshajadili na wamepitisha agenda hiyo.

sisi wananchi tunaliamini Bunge letu na tunawaamini wabunge wetu,
 
tunaliamini Bunge letu na tunawaamini wabunge

Hii imani kuwa tuwaamini viongozi waliosema rais wa awamu ya tano ni mzima anachapa kazi hawezi kutokea Kariakioo

Waafrika huwa tunaponzwa na kauli kuwa hawa kina Profesa Mbarawa, Hamza Johari na jopo zima waliokuwepo Dubao walikuwa wazalendo sana kukimbilia mkataba mbovu wa aina yake.
 
29 June 2023

Bi. Khadija Shaaban Taya almaarufu Keisha, mbunge viti maalumu kupitia CCM achagiza tuikimbilie hii fursa adimu waliyotuletea Dubai na DP World


Mbunge wa Viti Maalum, Khadija Shaaban Taya (Keisha) amewaomba watu kuchangamkia fursa za kiuchumi zilizopo na kutoa ufafanuzi kuhusu Suala la Bandari ya Dar es salaam kwani linakwenda kugusa maisha ya Watanzania.


Kuhusu sakata la bandari kuendeshwa na DP WORLD, Mbunge Keisha amewataka watu nchini kuacha kutishwa na kuogopa maneno yanayo ongelewa mtaani juu ya makubaliano baina ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu ushirikiano wa kiuchumi na kijamii kwa ajili ya uendelezaji na uboreshaji wa utendaji kazi wa bandari nchini na matokeo yake wachangamkie fursa hiyo ili kuweza kujikwamua kiuchumi.
 
29 June 2023

Bi. Khadija Shaaban Taya almaarufu Keisha, mbunge viti maalumu kupitia CCM achagiza tuikimbilie hii fursa adimu waliyotuletea Dubai na DP World


Mbunge wa Viti Maalum, Khadija Shaaban Taya (Keisha) amewaomba watu kuchangamkia fursa za kiuchumi zilizopo na kutoa ufafanuzi kuhusu Suala la Bandari ya Dar es salaam kwani linakwenda kugusa maisha ya Watanzania.


Kuhusu sakata la bandari kuendeshwa na DP WORLD, Mbunge Keisha amewataka watu nchini kuacha kutishwa na kuogopa maneno yanayo ongelewa mtaani juu ya makubaliano baina ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu ushirikiano wa kiuchumi na kijamii kwa ajili ya uendelezaji na uboreshaji wa utendaji kazi wa bandari nchini na matokeo yake wachangamkie fursa hiyo ili kuweza kujikwamua kiuchumi.
Kwa nini kila mwekezaji anayetoka nje ya tanzania,hasa hizi ngozi nyeupe,huwa tunachukulia kama ni fursa,pasipo hata kuangalia sisi tunapata nini,na wao wanapata nini..yaani sisi tukisikia tu ngozi nyeupe inakuja kuwekeza,moja kwa moja tunafikiria kwamba analeta hela za bure
 
hasa hizi ngozi nyeupe,huwa tunachukulia kama ni fursa

Tatizo huwa tunakurupuka bila agenda na mwishowe tukifika mezani wao wanakuwa wazungumzaji sisi wasikilizaji maana tunakuwa hatukufanya homework yetu wao wanakuwa tayari wameona fursa wameingi jikoni kwetu siri zetu zote wanazijua kabla ya kufika meza ya majadiliano.

Ni utamaduni mbaya kwenda meza ya majadiliano ukitegemea hisani itatoka upande wa pili wa mwekezaji akupe kitu ambacho hujaomba au kukidai kwa hoja katika meza ya majadiliano.


Utamaduni huu wa sisi kusibiri tuambiwe unauona hata kwa waandishi wa habari ktk press conference wanamsikiliza kiongozi anasema nini hawaulizi maswali halafu wanaenda kuandika neno kwa neno magazetini waziri amesema 'tuwaamini wao wana nia njema' na pia eti mwekezaji walioongea naye kwa niaba 'yetu' atakuja kufanya makubwa kwa Tanzania na waandishi wa habari wanapiga makofi kwenda kwa mhariri wao kesho gazeti linatoka neno kwa neno alichosema waziri ...
 
14 Agosti 2023

Mtaalamu wa Shipping and port atoa mtazamo wake juu ya hukumu ya kesi ya mahakama kuu Mbeya


View: https://m.youtube.com/watch?v=zVfE3P3pzgA
  • Dubai haijawahii kusaini mikataba na nchi zingine, ni UAE tu ndiyo imesaini mikataba zaidi ya 3,000 katika ya 1995 mpaka leo 2023 Dubai haijawahi kusaini mkataba aina yoyote iwe IIA, BIT, IRI, IGA ni UAE pekee ndiyo imesaini mikataba
  • Kesi tajwa ya rejea kati ya France na Colombia ilichapishwa na Cambridge University press mwaka 2019 na kuvutia wanazuoni wengi
  • Brazil na South Africa wamejitoa mikataba ya kinyonyaji
  • Vienna convention treaty ya 1969 customary International law
  • Customary International law inachukua uzito wa Domestic legislation, constitution, domestic court rulings , views by scholars kama za kina Prof. Shivji n.k
  • Mahakama ya katiba ni final arbiter kusema sheria au katiba imevunjwa
  • IGA ni batili iliposainisa na Dubai ni batili
  • Wanasheria wetu wa ngazi zote hawafanyi jitihada za expansive interpretation approach ktk eneo la legitimate expectation chini ya FET
  • Framework itatokana na kilichoandikwa ndani
  • Mkataba usio na kikomo 1992 mfano UAE ilipoingia mkataba wa milele na United Kingdom
  • 23 (4) hakuna entitlement ya kuvunja mkataba ku denounce, withdrawal ni absolute no ila ikitokea mgongano ndiyo unaweza kurejea ibara ya 22
  • Trade corridors Northern na Southern Dubai wamiliki kuanzia Tanga hadi Mtwara
  • Strategic infrastructures, barabara, investment zone
  • Je katiba imemuachia uhuru rais wa Tanzania kutoa right of occupation, division of the country unlawfully or ratification hakuna haki kuhalalisha ..... kuwa ibara ya 28 (3)
  • Suala la vita kuna economic war pia
  • Hakuna mtu kusaini kugawa ardhi ya nchi yetu
  • Ibara ya 28 ya katiba inasema hakuna Mtanzania na mtanganyika atakayeruhusiwi kutambua au kukubali eneo la Tanzania kukaliwa
  • Watanzania tunaosimamia taasisi zetu lazima wawe makini kuilinda nchi yetu kwani mkataba wa bandari unatoa mwanya mwingi kuhusu legitimate expectations, preamble za mkataba, consent, approval, no termination
  • Kesi zifuatazo kwa misingi ya UNCITRAL Arbitration Rules or, as applicable, the ICSID Convention or ICSID Additional Facility Rules zifuatiliwe sana na wanasheria wetu, mtaalamu anasisitiza ili kujenga uwezo wa maamuzi ya kusainu mikataba :
  • Kesi ya 2022 Peru and USA
  • Kesi ya 2021 China na Switzerland
  • Kesi ya 2020 ya Patel vs Mozambique
  • Kesi ya 2020 Windstream Energy vs Canada mkataba wa NAFTA
  • Ukiangalia kesi RAE vs Latvia
  • Wanasheria wetu wa Tanzania wawe makini sana kujenga tumaini ya kupitiliza kwa mwekezaji maana tayari unaruhusu kushitakiwa
 
Dubai siyo nchi, mgogoro wake ni tofauti na ndiyo maana Arab Contractors ina udhamini wa nchi ya Egypt. Kukitokea jambo serikali ya Tanzania inaweza kuongea jambo na serikali ya nchi ya Egypt kidiplomasia kabla ya hatua za kisheria n.k

Je mgogoro ukitokea kati ya Tanzania na 'nchi' ya Dubai itawezekana suala likaanzia kwanza ngazi ya 'kidiplomasia' au itabidi kuomba kwanza utatatuliwe kwa udhamini wa UAE ? Maswali ni mengi

Tutazame mahusiano baina ya nchi ya UAE na Australia, mashirika ya kimataifa n.k Dubai haina mamlaka hayo wala kofia ya kuhesabika kama nchi mbele ya Jumuiya ya Kimataifa na Mikataba ya Kimataifa

IFAHAMU NCHI YA UAE / FALME ZA KIARABU
Wizara ya Mambo ya Nje ya Australia inaitambua Nchi ya United Arab Emirates ambayo ndani yake yapo majimbo saba : Abu Dhabi, Dubai, Sharjah, Ajman, Umm Al-Quwain na Fujairah huku jimbo la saba la Ras Al Khaimah ilijiunga na Shirikisho la UAE mwaka 1972. Huku mji mkuu wa nchi ya UAE ikiwa ni Abu Dhabi, mji uliopo ndani ya jimbo / emirate kubwa na tajiri zaidi ya nchi ya UAE .

Rais wa shirikisho la nchi ya UAE ni maulana sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan. Kiongozi wa jimbo la Dubai maulana sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum ni Makamu wa Rais pia ni Waziri Mkuu na Waziri wa nchi ya UAE

Mahusiano baina ya Australia na nchi ya UAE ni ya kirafiki, katika nyanja mbalimbali huku yakiendelea kukua.

Nchi ya UAE ushirikiano wake na Australia umewezesha nchi hiyo ya Australia kuwa ni mwekezaji mkubwa zaidi wa mitaji na biashara nchini UAE kuliko nchi yoyote ya Masharik ya Kati.


United Arab Emirates country brief

Overview

The United Arab Emirates (UAE) is situated in the Southeast of the Arabian Peninsula, bordering Oman and Saudi Arabia. In December 1971, the UAE became a federation of six emirates - Abu Dhabi, Dubai, Sharjah, Ajman, Umm Al-Quwain, and Fujairah, while the seventh emirate, Ras Al Khaimah, joined the federation in 1972. The capital city is Abu Dhabi, located in the largest and wealthiest of the seven emirates.
Since its Federation in 1971, the UAE has developed rapidly and is now noted for its modern infrastructure, international events and status as a trade and transport hub. In 2021, the UAE commemorated its Golden Jubilee, 50 years since federation.
The UAE will host the COP28 international climate summit in Dubai in 2023.

Political overview

The President of the UAE is His Highness (HH) Sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan. The Ruler of Dubai, HH Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum, is the Vice-President, Prime Minister and Defence Minister.

The UAE's federal structure includes a Supreme Council (comprising the Rulers of each Emirate), a Council of Ministers and Federal National Council. Each Emirate is governed by its own Ruler, with its own local government, courts and police forces.

The Federal National Council comprises 40 members, half of which are appointed and half elected. Elections were last held in October 2019 and for the first time the UAE implemented a requirement for 50 per cent of total members to be women.

This requirement saw a significant increase in the number of female candidates. The Federal National Council has an advisory role and is a forum in which concerns of Emiratis are raised.

The UAE is a member of the Gulf Cooperation Council (GCC), the Arab League, the Organization of Islamic Cooperation, the United Nations (including UN Security Council member, 2022-23), the Organization of the Petroleum Exporting Countries, the Non-Aligned Movement and the World Trade Organization. The International Renewable Energy Agency, established in 2009, has its headquarters in Abu Dhabi.
On 15 September 2020, the UAE and Israel signed the Abraham Accords Peace agreement in Washington, DC.

Bilateral relations​

Bilateral relations between Australia and the UAE are friendly, multi-faceted and growing rapidly.

They are underpinned by extensive trade relations, and the UAE is Australia's largest Middle East trade and investment partner.

The two countries enjoy good defence, aviation, security and law enforcement cooperation, the latter underpinned by agreements on mutual legal assistance in criminal law matters and extradition.
Australia was among 192 participating countries at Expo 2020 Dubai, which ran from 1 October 2021 to 31 March 2022.

Expo 2020 provided a key platform for Australian companies to reengage with traditional partners and progress market diversification strategies, including the growth of exports into the Middle East and South Asia.

The Australian Ambassador to the UAE is based at the Australian Embassy in Abu Dhabi. Australia also has a Consulate-General/Trade Commissioner in Dubai.

State government offices representing New South Wales, Queensland, Western Australia, and Victoria are also based in the UAE.

People to people links​

People-to-people contacts have expanded rapidly on the back of the strong growth of direct air links. Prior to the COVID-19 pandemic restrictions, over 100 Emirates and Etihad flights per week operated between the UAE and Australia.

An estimated 15,000 Australians live and work in the UAE.

At the start of 2020, in response the severe Australian bushfire season, the UAE donated fire trucks and generators to several affected communities. On 16 January 2020, the Burj Khalifa, the world's tallest building which is located in Dubai, was lit up with the phrase ‘#mateshelpmates' as a sign of the UAE's support for bushfire response.

Economic overview​

The UAE is the Middle East's third largest economy, and one of the wealthiest countries in the region on a per capita basis. Its GDP in 2021 was estimated at US$410.2 billion, a real GDP growth rate of around 2.2 per cent.

The UAE has six per cent of the world's oil reserves and the seventh largest proven natural gas reserves. Petroleum exports were US$49.6 billion in 2019. In the medium term, oil and gas (which account for over two-thirds of exports and the bulk of government revenue) will continue to underpin the UAE's economy.

However, significant steps towards economic diversification have already been taken, with approximately 70 per cent of GDP now generated by sectors other than oil and gas. To celebrate 50 years of nationhood in 2021, the UAE launched 50 new economic initiatives to boost the country's competitiveness and attract US$150 billion in foreign direct investment over the next nine years.

Abu Dhabi, which has the vast majority of oil and gas reserves in the UAE, has made significant investments in establishing aerospace, nuclear power, defence, information technology (micro-processing), petrochemical and clean-tech industries – the latter most prominently represented by the multibillion-dollar initiative of Masdar City, a zero-carbon city outside Abu Dhabi.

Abu Dhabi is also investing heavily in educational institutions, and cultural and sporting attractions such as the Formula One racing track, Ferrari theme park, and the Louvre Abu Dhabi to diversify the economy away from oil and encourage tourism.

Dubai has also diversified into the exhibitions, events, ICT, re-export and financial sectors. Taking advantage of its position near the head of the Gulf, it has consolidated its historical reputation as a regional entrepôt. Dubai has developed luxury hotels, large port facilities (including Jebel Ali) and a range of free trade zones to attract both manufacturing and services industries.

The UAE population of 10.1 million (2022) depends substantially on its expatriate workforce, which made up about 88 per cent of the population in 2021. The UAE is also opening up utilities to greater private sector involvement. Several free trade zones across the country attract foreign investors, by offering full ownership and zero taxes.

The COVID-19 pandemic has had a significant impact on the UAE's economy, particularly due to the reduction in passenger numbers through air hubs, the reduction in tourist arrivals and the impact of COVID-19 measures on commerce. The UAE is expected to recover to pre-pandemic levels of economic activity over the next three years.

Trade and Investment​

On 17 March 2022, then Minister for Trade, Tourism and Investment Dan Tehan and HE Dr Thani bin Ahmed Al Zeyoudi, Minister of State for Foreign Trade, issued a joint statement announcing Australia and the UAE's intention to pursue a Comprehensive Economic Partnership Agreement (CEPA). DFAT consultations with stakeholders continue, and will inform the possible agreement and the Australian Government's approach to future negotiations.

The United Arab Emirates (UAE) is Australia's largest trade and investment partner in the Middle East. With $5.5 billion in two-way trade in 2021 (over $10 billion pre-COVID), the UAE is Australia's 18th largest export market globally for goods and services.

Exports to the UAE were worth $3.24 billion in 2021 and were dominated by red meat, transport services and machinery and automotive parts.

Australian imports from the UAE were worth $3.24 billion in 2021 (mainly petroleum products).

Services trade is an increasingly important component of the commercial relationship, including construction, financial and professional services, tourism and education. Education is seen as an area of potential growth, with several Australian institutions active in the UAE market, including: Wollongong University, which in 1993 was the first private university to establish a campus in Dubai; Murdoch University, which opened in Dubai in 2007; Curtin University, which opened in Dubai in 2018; the Australian International School Sharjah; the Victorian International School Sharjah; and a number of Australian institutions with partnerships with local institutions to deliver the Australian curriculum in-country.

Australia's commercial profile in the UAE is significant, with UAE-based Australian companies numbering over 300. Australian companies, institutions and capabilities are working in a range of industries, including steel trading, building, construction and financial services, banking services, materials and equipment, agricultural supplies and services, industrial minerals, dairy products, marine manufacturing, education and training services, sports and recreation, health services, livestock, oil field supplies, courier and freight services. Many companies use Dubai as a regional base, in view of its transport, financial and communications infrastructure.

UAE entities hold significant investments in Australia, including in the agribusiness, tourism, health and aged care and resources sectors.
In 2020, UAE investment in Australia was estimated at $11.6 billion according to ABS data.

The Abu Dhabi Investment Authority (ADIA), the world's fourth largest sovereign wealth fund, has invested in ports, the TransGrid electricity network and the Queensland Motorway project.

Other UAE sovereign wealth funds also have assets and are examining other investment opportunities in Australia.

Source : https://www.dfat.gov.au/geo/united-arab-emirates/united-arab-emirates-country-brief


View: https://m.youtube.com/watch?v=VjlbJtgbceM
 
15 August 2023

KITUO CHA UTETEZI HAKI ZA BINADAMU, TLS , JUKWAA LA KATIBA WATOA TAMKO NA KULAANI KUKAMATWA WATU WANAOTOA MAONI KUHUSU MKATABA WA BANDARI


View: https://m.youtube.com/watch?v=duzaiz4qjL4

Wanasheria, wasomi, wataalamu wa katiba na watetezi wa haki walaani mfumo wa haki jinai kutumiwa isivyo na vyombo vya dola kunyamazisha maoni ya wananchi kuhusu mkataba wa bandari.
 
Je Suala la bandari kikwazo ni katiba ya nchi. Wasomi wanaangalia katiba ya nchi inavyoamua hatima ya mambo mengi ya nchi.

Wachangiaji mada kwa kutaja kwa wachache miongoni mwa wengi ktk mjadala ni Wakili msomi Fatma Karume, Prof. Kitila Mkumbo,Dr. Jill C. Ghai, wakili Jenerali Ulimwengu na wengine kutoka Gambia, Kenya n.k wajadili jinsi katiba ilivyo ndivyo inavyoamua mambo mengi


View: https://m.youtube.com/watch?v=l1DcFn09Kiw&pp=ygUrUmVmb3JtaW5nIHRoZSAgTGF3IG9mIEV2aWRlbmNlICBvZiBUYW56YW5pYQ%3D%3D
 
Julius Nguhulla mtaalamu wa port & shipping na uendeshaji bandari aelezea uwekezaji upi unaofaa


View: https://m.youtube.com/watch?v=sj3R7DqboTA

Julius Nguhulla (FICS) Chartered Professional In Shipping, A Member of World Shipping Board, MBA in Shipping.

Mkataba unamfanya DP World hafai, ingawa ana sifa na uzoefu.

Katika mkataba huu wa DP World wa bandari haukuangazia kwa umakini Scope of logisticss kupakua na kupakia, transporters, freight forwarders clearing, warehousing etc ambazo zinafanywa na waTanzania .

Uchumi wa dunia unaendeshwa na maji, mizigo mikubwa na mizito bila kusahau mizigo mchanganyiko general cargo, mikavu na vimiminika gesi yote inapita bandarini hivyo uchumi wa bandari unagusa uchumi mkubwa.

Uwekezaji wa bandari unaofaa ni siyo ule unaofananishwa na biashara ya hoteli. Kwa mantiki kuwa bandari haitakiwi kujazwa mizigo bali inatakiwa isiwe inahifadhi mizigo bali kuipakua na kuitoa kwa uharaka kwenda bandari kavu au moja kwa moja kwa wateja na vivyo hivyo kwa kuipakia meli iondoke haraka anafafanua mtaalamu Julius Nguhulla.

Suala la documentation la nyaraka na mifumo ya Wakala wa meli, TRA/ customs na bandari kusomana.

Kitengo cha utendaji operation kisomane na revenue pia transparency zaidi ambao WaTanzania tulishauri lakini haijafanyiwa kazi na nina hakika DP World wakija watakubaliwa na kusifiwa sasa kwanini muda huu wote ushauri wetu haukufanyiwa kazi.

Bado haijafahamika ni uwekezaji wa aina gani DP World atafanya wakati DP World ni mtaalamu wa container terminal kama TICTS je kuna kitu gani kinafanya DP World wachukue kila kitu gati za mafuta, magari n.k kwa kifupi bandari zote.

Suala la rate bado katika mkataba wa DP World halijaongelewa kiasi kwamba tarrifs zitaongezeka ili kugharamia ufanisi hivyo inflation kuongezeka. Ikiwa marine charges, piloting na zingine kwa ujumla wake zitachukuliwa kuondoka Tanzania, ni pesa kidogo zaidi ya za sasa zinazopatikana zitabaki nchini.

Kwa mazingira hayo Tanzania hatutakiwi kuinga kwa yaliyofanyika nchi zingine kupitia DP World.

Mapendekezo mwekezaji aje kujenga magati na kuwekeza mitambo wapate mgao wao wao kwa kipindi kinachokubalika aondoke bali operations zibaki mikononi mwetu. Hili la DP World au mwekezaji mwingine waje wajenge, waweke mitambo, wakusanye mapato sisi tuwe nje ya fensi tukiwa watazamaji tukisubiri tupewe mgao halijakaa vizuri.

Mfano barabara zetu za mwendokasi wajenge wao, walete mabasi wao, walete watu wao waendeshe mabasi, wakatishe tickets wao halafu sisi tusubiri mgao kutoka kwa mwekezaji ni dhahiri haliwezekani vipi kuhusu kitu muhimu na nyeti kama bandari .

Suala la muhimu ni mkataba wa aina gani na siyo uwekezaji ufanyike au la. Hakuna anayepinga uwekezaji bali nukta ya msingi ya kujiuliza ni mkataba gani unaofaa .

Bado bandari zetu zina utajiri mkubwa na hatuna sababu za msingi kufanya haraka ya kukurupuka kusaini mikataba mibovu hivyo wabunge waongee na wataalamu wetu ili waishauri serikali vizuri .
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=WVhZylGnWSM

Julius Nguhulla (FICS) Chartered Professional In Shipping, A Member of World Shipping Board, MBA in Shipping.

Tusibeze wafanyakazi wa mamlaka ya bandari na wala serikali zilizopita pia hii iliyopo zimefanya kazi kubwa kupanua ukubwa wa bandari zetu, kuchimba vina vya bandari kiasi meli kubwa zinakuja Dar es Salaam, Tanga , Mtwara. Mikopo mingi imechukuliwa kuwekeza ktk ufanisi wa bandari, wizi umezidi kudhibitiwa kwa Teknolojia za kisasa na wafanyakazi wengi waaminifu Wazalendo....

JANUARY 25, 2022

Striving to Become the Regional Port of Choice​

  • Dar es Salaam, an anchor port supporting not just Tanzania but also several landlocked neighbors, was facing pressures from infrastructural constraints and increasing volumes of trade handled each year.
  • The construction of a new roll-on, roll-off terminal at the port has boosted its capacity to handle much larger vessels with efficiency, and to improve on the turnaround time for ships coming through.
  • With volumes projected to grow to over 30 million tons by 2030, the Dar es Salaam Maritime Gateway Project is helping address operational and physical constraints at the port which will enable it to improve its overall performance and contribution toward jobs growth in the region.

DAR ES SALAAM, January 25, 2022 — At about 8 a.m. on a sunny weekday morning, the Port of Dar es Salaam is a hive of activity. Motor vehicles appear to race each other out of the belly of the Port’s second Post-Panamax guest in two months, which docked just after midnight. Going by the port’s recent records, discharging of the more than 3,400-vehicle cargo will be completed well before nightfall.
"In the past it was very challenging, especially for us as contractors, as we had to drive each discharged vehicle up to 2 km away from the berth just to find parking space," said Adam Mwenda, a driver. "We then had to walk all the way back to the ship after each parking, so our turnaround time was not good."
Finding parking was not the only difficulty. Just over three years ago, the berth where these Post-Panamax vessels are now being hosted was but an outlet of a creek flowing into the harbor area. Motor vehicle imports arrived on much smaller ships due to the depth restrictions alongside the berths. Rather than being driven from the vessels, the vehicles on board would need to be offloaded with ships cranes at great risk to both the staff and the cars, and with the exercise requiring no less than three days to accomplish.
Construction of the first dedicated roll-on, roll-off ("RoRo") infrastructure ramp and terminal in the port began in 2018 and was completed and became operational in March 2021, enabling the port to start hosting Post-Panamax vessels, with the first arriving in August. Motor vehicles are now driven off the ship and straight onto the adjacent spacious berth with a handling capacity of 3,000 vehicles at a time, or over 200,000 per year.


"The RoRo has been a game changer as ships come straight and berth directly with no waiting time at all."
Eric Hamissi

Eric Hamissi
Director General, Tanzania Ports Authority (TPA)


Tanzania Ports

Photo credit: World Bank


"Consider that when we received the 3,743 motor vehicles on the Panama in August, a good number of drivers were needed to take those vehicles to the borders of the destination countries who rely on the port of Dar es Salaam," said Tony Swai, managing director of Epic Cargo, a logistics company.

Said Mwenda: "There has been an increase in the demand for contract drivers like me, and we have been very busy working almost non-stop because the port is now receiving vessels carrying many more cars each month than before."

As an anchor port supporting not just Tanzania’s trade but also its landlocked neighbors like Rwanda, Burundi, Uganda and the Democratic Republic of Congo, Dar es Salaam has a central role in regional trade facilitation and integration. Between 2015 and 2020, for example, the volumes of trade for these countries handled at the port increased by 16.6% to 16.01 million metric tons from 13.7 million metric tons in 2015. It is projected the port will handle over 30 million tons per year by 2030. Thus, the port’s efficiency and effectiveness are key to unlocking the flow of trade and increasing the region’s overall competitiveness.
 
Back
Top Bottom