Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine - SUA: Tahadhari juu ya ugonjwa wa Corona

Dickson Edwin Mgaya

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2020
Posts
513
Reaction score
1,422
Kufuatia tahadhari zinazoendelea kutolewa na taasisi mbalimbali za elimu ya juu Nchini ikiwemo Chuo kikuu cha Daressalaam (UDISM) na chuo kikuu Huria (OUT), Chuo Kikuu cha Sokoine Cha Kilimo (SUA) nacho kimewatahadharisha wanajumuiya wa taasisi hiyo kuchukua hatua stahiki za tahadhari dhidi ya ugonjwa huo hatari.

 

Attachments

Kuna mtu mzito ataaibika siku si nyingi
 

Anapwelewa mtu hapa.

Wasomi wetu simameni na watu wenu hamko peke yenu typo nanyi hadi dakika ya mwisho.

Sauti na zipazwe:

We can't breathe!
 
Wakizubaa ma prof wote watapukutika kama majani...

Uzuri wa COVID-19 watoto haigusi...vijana labda wenye matatizo yao ya afya toka kuzaliwa...Wazee sasa 60+ ni balaaaaaa!! imepiga kambi aisee!!

Hayupo asiyekuwa na haki ya kuishi kama namna yoyote ya kuwanusuru watu ipo!
 
Kwani kuna KORONA hapa nchini?
 
Wakizubaa ma prof wote watapukutika kama majani...

Uzuri wa COVID-19 watoto haigusi...vijana labda wenye matatizo yao ya afya toka kuzaliwa...Wazee sasa 60+ ni balaaaaaa!! imepiga kambi aisee!!
Wanapukutishwa vibaya sana na hao ndiyo wanasema hakuna huo ugonjwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…