Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Baada ya vifo vilivyofuatana vya Mume Dkt na Me Profesa Mamiro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina kiongoziPamoja sana mkuu
Uzuri wa hilo gonjwa linawatafuta wale woote wanao fanya maigizo kwa kuwahadaa wananchi.Baada ya vifo vilivyofuatana vya Mume Dkt na Me Profesa Mamiro
SUA... Mmekumbuka shuka asubuhiKufuatia tahadhari zinazoendelea kutolewa na taasisi mbalimbali za elimu ya juu Nchini ikiwemo Chuo kikuu cha Daressalaam (UDISM) na chuo kikuu Huria (OUT), Chuo Kikuu cha Sokoine Cha Kilimo (SUA) nacho kimewatahadharisha wanajumuiya wa taasisi hiyo kuchukua hatua stahiki za tahadhari dhidi ya ugonjwa huo hatari.
Huyu atakuwa ameshindwa kupata degree huko amejaa chuki! Labda akiwa form six alitamani kupata UDSM akakosa, akaenda SUA aka disco, akafikiri OUT ni mchekea nako wakala kichwa! Sasa kilichobakia ni sumu tu! [emoji41]Imekuaje tena mbona umeghafilika?
Hilo jina la gwajima huwa linamilikiwa na watu punguaniWaziri Gwajima ana taarifa?!
Ingawa jukumu kubwa la Vyuo na Shule ni kuwapa watoto wetu Elimu bora, wazazi na Jamii kwa jumla wanategemea watoto wao warudi salama baada ya masomo siyo kupigiwa simu watoto wamefariki kwa ugonjwa hatari wa pneumonia unaoenea kwa kasi na wamezikwa tayari kuzuia maambukizi kwa wanafunzi wengine na familia. Maeneo ya Michezo yatageuzwa Makaburi!Kufuatia tahadhari zinazoendelea kutolewa na taasisi mbalimbali za elimu ya juu Nchini ikiwemo Chuo kikuu cha Daressalaam (UDISM) na chuo kikuu Huria (OUT), Chuo Kikuu cha Sokoine Cha Kilimo (SUA) nacho kimewatahadharisha wanajumuiya wa taasisi hiyo kuchukua hatua stahiki za tahadhari dhidi ya ugonjwa huo hatari.
Halafu Jamaa wajanja, aliyesaini Siyo Presidential appointee....!!Waziri Gwajima ana taarifa?!
Mimi nadhani hizi taasisi zimeelekezwa zifanye hivyo.Kufuatia tahadhari zinazoendelea kutolewa na taasisi mbalimbali za elimu ya juu Nchini ikiwemo Chuo kikuu cha Daressalaam (UDISM) na chuo kikuu Huria (OUT), Chuo Kikuu cha Sokoine Cha Kilimo (SUA) nacho kimewatahadharisha wanajumuiya wa taasisi hiyo kuchukua hatua stahiki za tahadhari dhidi ya ugonjwa huo hatari.
Waziri Gwajima ana taarifa?!
Huu nao Wizara ya elimu itaukana kutokana na maagizo kutoka juu !Kufuatia tahadhari zinazoendelea kutolewa na taasisi mbalimbali za elimu ya juu Nchini ikiwemo Chuo kikuu cha Daressalaam (UDISM) na chuo kikuu Huria (OUT), Chuo Kikuu cha Sokoine Cha Kilimo (SUA) nacho kimewatahadharisha wanajumuiya wa taasisi hiyo kuchukua hatua stahiki za tahadhari dhidi ya ugonjwa huo hatari.
Tanzania ya viwandayuko busy anajifukiza na mumewe.
Kufuatia tahadhari zinazoendelea kutolewa na taasisi mbalimbali za elimu ya juu Nchini ikiwemo Chuo kikuu cha Daressalaam (UDISM) na chuo kikuu Huria (OUT), Chuo Kikuu cha Sokoine Cha Kilimo (SUA) nacho kimewatahadharisha wanajumuiya wa taasisi hiyo kuchukua hatua stahiki za tahadhari dhidi ya ugonjwa huo hatari.
Corona ya sasahivi si kama ya mwanzo haisazi mtoto,mzee, wala kijanaWakizubaa ma prof wote watapukutika kama majani...
Uzuri wa COVID-19 watoto haigusi...vijana labda wenye matatizo yao ya afya toka kuzaliwa...Wazee sasa 60+ ni balaaaaaa!! imepiga kambi aisee!!
Inawapata hadi mbuzi na mapapaiKwani nchini kuna korona?
Umesahau na jucky fruitInawapata hadi mbuzi na mapapai