Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine - SUA: Tahadhari juu ya ugonjwa wa Corona

Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine - SUA: Tahadhari juu ya ugonjwa wa Corona

hii familia ya Prof mamilo imeandamwa sana
1.mwaka janamwishoni kamzika dada yake
2. mwanzoni mwa january akamzika baba yake,
3.wiki moja mbeleakamzika mama yake.
4. tarehe 7/02/2021 kafariki mwenyewe
5.tarehe 9/02siku mbili baada ya kifo chake mume wake nae akaenda ilikuwa asubuhnadhan
6. siku hiyohiyo 09/02 dereva aliyekuwa akimuendesha marehemu mrs. mamiro naye kafariki



dah mama alikuwa moja ya pathologist wakubwa SUA
may her soul and others rest in peace


##TUCHUKUE TAHADHARI
COVID IPO NA INAUA
[emoji2969][emoji2969]
Duuuh , hatari aisee, tumuombe mungu atuepushe na majanga haya
 
Kufuatia tahadhari zinazoendelea kutolewa na taasisi mbalimbali za elimu ya juu Nchini ikiwemo Chuo kikuu cha Daressalaam (UDISM) na chuo kikuu Huria (OUT), Chuo Kikuu cha Sokoine Cha Kilimo (SUA) nacho kimewatahadharisha wanajumuiya wa taasisi hiyo kuchukua hatua stahiki za tahadhari dhidi ya ugonjwa huo hatari.

Uhai wa mtu ni mali yake binafsi na wala haina uhusiano na serikali, chama, wala mamlaka nyingine yoyote. Kwa hiyo mkijifanya kukaa kimya kumfurahisha mteuaji mtakwisha SUA. Tumeshuhudia vifo vya ghafla hapo vitokanavyo na changamoto ya upumuaji tena vingine vikihusisha mke na mume. Semeni kweli kama Wasomi na kweli itawasaidia nyie viongozi na wanafunzi wenu.
 
Nimekaota hakana muda mrefu haka kasura ya baunsa, siku sio nyingi parapanda italia.
Nitaharibu dozi kwa kunywa bia za kutosha kusindikiza mzoga wake
Nireteeeeeeeeeni gwajiiiiiiiimaaaaaaaaaaaaa
In shetani voice
 
Kwan wewe utaishi milele umu duniani?? Umeshau kuwa kila nafsi itaonja mauti??
Hacha kujimwambafai mzee
Eeh chukueni tahadhari , mnasubiri mpak Jiwe awatangazie, mtakufa kama kuku
 
Kwan wewe utaishi milele umu duniani?? Umesahau kuwa kila nafsi itaonja mauti??
Hacha kujimwambafai mzee
Wanapukutishwa vibaya sana na hao ndiyo wanasema hakuna huo ugonjwa
 
Kwan wewe utaishi milele umu duniani?? Umesahau kuwa kila nafsi itaonja mauti??
Hacha kujimwambafai mzee
Kufa ni lazima lkn siyo kuudharau ugonjwa kisa kumfurahisha mteuzi wako,huo ni ujinga wa kiwango cha SGR
 
Wakizubaa ma prof wote watapukutika kama majani...

Uzuri wa COVID-19 watoto haigusi...vijana labda wenye matatizo yao ya afya toka kuzaliwa...Wazee sasa 60+ ni balaaaaaa!! imepiga kambi aisee!!
Huu ugonjwa una maajabu.
 
hii familia ya Prof mamilo imeandamwa sana
1.mwaka janamwishoni kamzika dada yake
2. mwanzoni mwa january akamzika baba yake,
3.wiki moja mbeleakamzika mama yake.
4. tarehe 7/02/2021 kafariki mwenyewe
5.tarehe 9/02siku mbili baada ya kifo chake mume wake nae akaenda ilikuwa asubuhnadhan
6. siku hiyohiyo 09/02 dereva aliyekuwa akimuendesha marehemu mrs. mamiro naye kafariki



dah mama alikuwa moja ya pathologist wakubwa SUA
may her soul and others rest in peace


##TUCHUKUE TAHADHARI
COVID IPO NA INAUA
[emoji2969][emoji2969]

Inasikitisha Sana!!
 
Nireteeeeeeeeeni gwajiiiiiiiimaaaaaaaaaaaaa
In shetani voice
Bro usimafananishe shetani na vitu vya ajabu ajabu, shetani ana heshima yake bhana.
Shetani hawezi kuwa na sauti mbaya kama ya Bwana Jiwe, achilia mbali sura na lile bichwa kama kobiro
 
Kila kiongozi mahali popote alipo, abebe jukumu lake la kwanza la kujikinda mwenyewe na anaowaongoza.

1. Baba wa familia toa mwongozo kwa familia yako jinsi mtakavyoishi kwa tahadhari

2. Kama wewe ni mwalimu mkuu, beba wajibu wako wa kujilinda, kuwalinda walimu na watoto

3. Kama wewe ni mkuu wa chuo, manager wa kampuni, paroko, mchungaji, Askofu, Shekhe, Imamu, Rabi, timiza wajibu wako huu wa kwanza. Usipoutimiza, umeshiriki kuua watu watu na kuwatesa watu wako. Ujinga wa kusema hakuna Covid 19 aachiwe huyo mpuuzi Gwajima na vibaraka wake. Anayewadanganya watu ili wasichukue tahadhari, na hatimaye watu wote waangamie, hana maana kwenye Taifa, ni adui yetu, apuuzwe na wakati ukifika awajibishwe kwa namna ambaye umma utaona unafaa.

Vifo vya corona kwa sasa ni dhahiri, kila kona ya nchi. Wauaji wanafurahia, wanathubutu hata kutamka kuwa hakuna corona. Hawa tuwahesabu kuwa ni wauaji. Tuwapuuze, tuunganishe nguvu zetu na jitihada zetu. Serikali yetu bila shaka badala ya kuwalinda watu wake, imechukua msimamo wa kuwaangamiza kwa kuwahadaa kuwa hakuna corona. Hii ni dhihaka kubwa kwa uhai wetu.

Mungu awajalie viongozi wetu kila mahali, hekima, akili, ukweli wa dhamira, wayapuuze maneno ya mpuuzi Gwajima na wapuuzi wengine, na mwingine yeyote asiyetusaidia katika jitihada za kupambana na ugonjwa huu.
 
Back
Top Bottom