Ahsanteni sana waache wafilist wajizike wenyewe! Babeli unaangushwa siku si nyingiKufuatia tahadhari zinazoendelea kutolewa na taasisi mbalimbali za elimu ya juu Nchini ikiwemo Chuo kikuu cha Daressalaam (UDISM) na chuo kikuu Huria (OUT), Chuo Kikuu cha Sokoine Cha Kilimo (SUA) nacho kimewatahadharisha wanajumuiya wa taasisi hiyo kuchukua hatua stahiki za tahadhari dhidi ya ugonjwa huo hatari.
🤣 🤣 🤣 kishapelekewa tayareNireteeeeeeeeeni gwajiiiiiiiimaaaaaaaaaaaaa
In shetani voice
Hana. Lakini Wizara ya Elimu itatoa taarifa yake kama walivyofanya kwa ile nyingine.Waziri Gwajima ana taarifa?!
Wakizubaa ma prof wote watapukutika kama majani.
Uzuri wa COVID-19 watoto haigusi...vijana labda wenye matatizo yao ya afya toka kuzaliwa...Wazee sasa 60+ ni balaaaaaa!! imepiga kambi aisee!!
Inauma sana kupoteza watu kama hawa ndani ya two weeks😣😣Kufuatia tahadhari zinazoendelea kutolewa na taasisi mbalimbali za elimu ya juu Nchini ikiwemo Chuo kikuu cha Daressalaam (UDISM) na chuo kikuu Huria (OUT), Chuo Kikuu cha Sokoine Cha Kilimo (SUA) nacho kimewatahadharisha wanajumuiya wa taasisi hiyo kuchukua hatua stahiki za tahadhari dhidi ya ugonjwa huo hatari.
Anampenzi wakili msomiWaziri Gwajima ana taarifa?!
Mmmhhh!hii familia ya Prof mamilo imeandamwa sana
1.mwaka janamwishoni kamzika dada yake
2. mwanzoni mwa january akamzika baba yake,
3.wiki moja mbeleakamzika mama yake.
4. tarehe 7/02/2021 kafariki mwenyewe
5.tarehe 9/02siku mbili baada ya kifo chake mume wake nae akaenda ilikuwa asubuhnadhan
6. siku hiyohiyo 09/02 dereva aliyekuwa akimuendesha marehemu mrs. mamiro naye kafariki
dah mama alikuwa moja ya pathologist wakubwa SUA
may her soul and others rest in peace
##TUCHUKUE TAHADHARI
COVID IPO NA INAUA
[emoji2969][emoji2969]
Ana usingizi wa ponoWaziri Gwajima ana taarifa?!