Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro chatuhumiwa kutoa adhabu ya viboko kwa wanachuo

Kuchapana fimbo chuoni ni mambo ya kizamani na ujinga. Unachapa fimbo watu wazima kabisa? Kama kuna makosa wamefanya si kuna adhabu nyingine tofauti na za viboko hutolewa?
Jamaa washamba sana..
Sio washamba tu bali wamechanganyikiwa.

Walisikika kijani fulani wakiongea kwenye simu baada ya mawasiliano yao kudukuliwa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mfuasi wa marehemu mudi wa meka kumbe upo?
Hivi hiyo dini yenu ya mnyazimungu ina nini lakini?
 
Nimeona BBC documentary kule Sudan na Senegal wanawafunga minyororo wanafunzi wa madrassah na kuwanyima chakula pamoja na kuwalawiti.

 
Wenzetu kina nani
Huko Afghanistan Taliban wanatandika bakora watu mtaani
Sisi Afghanistan ni wenzetu? Tangu lini walikuwa wenzetu katika Ustaarabu? Wale hawaja staarabika ndiyo maana wanataka kuongeza Nchi yao kwa mifumo ya kidini. Wenzetu ni yale mataifa yaliyo endelea katika Sayansi na teknolojia.
 
alhamdulillah kwa neema ya uislamu na sunnah..
 
Wanafunzi wa chuo Kikuu cha Waislamu wadai walichapwa viboko.

View attachment 2172271
View attachment 2172273
Kama walichapwa kistaarabu tatizo liko wapi?
Chakuzingatia hapo ni umri wa mchapaji, Kama alikuwa mtu mzima kuwazidi shida ipo wapi!? Labda Kama aliewachapa wanalingananae umri,
Viboko wanacharazwa walimu mashuleni sembuse wanafunzi vyuoni!!
 
Wanafunzi wa chuo Kikuu cha Waislamu wadai walichapwa viboko.

View attachment 2172271
View attachment 2172273
Kama walichapwa kistaarabu tatizo liko wapi?
Chakuzingatia hapo ni umri wa mchapaji, Kama alikuwa mtu mzima kuwazidi shida ipo wapi!? Labda Kama aliewachapa wanalingananae umri,
Viboko wanacharazwa walimu mashuleni sembuse wanafunzi vyuoni!!
 
Left to their own devices, these people will always revert to their ancient savage ways as prescribed by the Koran.
 
M I J E L E D I

Kuna wakati huenda mhadhiri aliona maneno yameshindwa kufanya kazi,, na kufukuzwa chuo akawaonea huruma.. akaona Bakora ndio iwe Suluhu.
 
Sisi Afghanistan ni wenzetu? Tangu lini walikuwa wenzetu katika Ustaarabu? Wale hawaja staarabika ndiyo maana wanataka kuongeza Nchi yao kwa mifumo ya kidini. Wenzetu ni yale mataifa yaliyo endelea katika Sayansi na teknolojia.
Wenzetu kidini
MUM ni ya Kiislamu na Taliban wanatawala/wanaongoza nchi kwa kufuata sheria za kiisimu
 
Nadhani masuala ya kiimani tuwaachie wenyewe wavaa makobazi. Sharia ndio misingi yao wacha walambwe bakora na wakizini wawapige mawe mpaka wage, tufanye iwe hivyo sio mnaishia kusema hamli kitimoto Ila mengine mnafanya na hamtaki kufuata utaratibu wa waarabu.
 
Nchi yetu inaongozwa kidini?
Nchi yetu inaheshimu dini za watu wote kwa hiyo nashauri waendeleze viboko kwa wote wasiofata Sharia maana huo ndio msingi wa waarabu, ni bakora tu mpaka mnyooshane sio mnaishia kusema hamli nguruwe Ila mnapasua watoto za watu balaa 😃 ni fimbo tu
 
Hapo ndio ujinga wa uislam unapoonekana. Yaani busara hakuna kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…