Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro chatuhumiwa kutoa adhabu ya viboko kwa wanachuo

Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro chatuhumiwa kutoa adhabu ya viboko kwa wanachuo

Hiyo akili mliipata lini? Kila siku shule zenu zinashika mkia kwenye mitihani ya Kitaifa, huku zile za Kikatoliki zikiongoza miaka yote! Na kama ni huo ushoga, mbona Zanzibar ndiyo umetapakaa?

Mko busy na Madrasa, mkija kwenye Elimu Dunia mnapigwa za uso! Chuo chenyewe ni cha kipuuzi tu! Hakijulikani! Na bila shaka hata hao wanafunzi wanao soma kwenye hicho chuo na wakufunzi wao, wote watakuwa ni wapuuzi tu.
Hao wanafaulu kwenye shule za kikatoliki wamelifanyia nini taifa!!?...ufaulu wenyewe wa kuiba mitihani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi unajua nimecheka mno hapa? "Twende kazi"
Hahahahah sikuwezi.
Majibu yako tu,nayapendaga bureeeee

Wape mama[emoji1476]
 
Halafu mwanaume kabisa amelaza kalio chini achapwe, mimi ningerusha mkono kama tyson aisee hunichapi kizembe namna hiyo
 
Hii taarifa yenyewe inaonekana haijathibishwa( inafanyiwa uchunguzi), na hata haionyeshi ilitokea lini.

Lakini pamoja na hivyo watu wamesharukia katika conclusion na mapovu yanawatoka kuonyesha ni kiasi gani wamejawa na chuki.

Lakini hata kama ni habari ya kweli, inaonyesha ni tukio la mara moja ambalo hata hatufahamu chanzo chake.

Ila pamoja na hivyo watu wameshafika mbaali kuutukana uislamu na kuwatoa akili waislamu kwa kosa la mtu mmoja.

Kwani hiyo serikali ya hao wanafunzi, inayokemea hilo tukio ni ya wakristo?

Tafuteni sababu za msingi(za kushambulia uislamu) lakini sio visingizio kama hivi.
 

Hii taarifa yenyewe inaonekana haijathibishwa( inafanyiwa uchunguzi), na hata haionyeshi ilitokea lini.

Lakini pamoja na hivyo watu wamesharukia katika conclusion na mapovu yanawatoka kuonyesha ni kiasi gani wamejawa na chuki.

Lakini hata kama ni habari ya kweli, inaonyesha ni tukio la mara moja ambalo hata hatufahamu chanzo chake.

Ila pamoja na hivyo watu wameshafika mbaali kuutukana uislamu na kuwatoa akili waislamu kwa kosa la mtu mmoja.

Kwani hiyo serikali ya hao wanafunzi, inayokemea hilo tukio ni ya wakristo?

Tafuteni sababu za msingi(za kushambulia uislamu) lakini sio visingizio kama hivi.
(یُرِیدُونَ لِیُطۡفِـُٔوا۟ نُورَ ٱللَّهِ بِأَفۡوَ ٰ⁠هِهِمۡ وَٱللَّهُ مُتِمُّ نُورِهِۦ وَلَوۡ كَرِهَ
ٱلۡكَـٰفِرُونَ
Fain would they put out the light of Allah with their mouths, but Allah will perfect His light however much the disbelievers are averse..
swaf-8
 
Back
Top Bottom