Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Woii masta anapasuka tu dakika 1 nyingi sana mbona... anayewacharaza fimbo ndiye mwalimu wao wa makaratee na majudo pia; ana red belt. Hawana ubavu wa kupambana na master wao hata chembe.
Hiyo akili mliipata lini? Kila siku shule zenu zinashika mkia kwenye mitihani ya Kitaifa, huku zile za Kikatoliki zikiongoza miaka yote! Na kama ni huo ushoga, mbona Zanzibar ndiyo umetapakaa?waislamu wanaakili mno.. hakuna kubembelezena kinafki kama vyuo vya kigaratia kisa unalipa ada halafu mwisho wa siku tunaongeza kizazi cha mashoga na wasagaji. iko ndiyo chuo cha kusoma.
Mumso nyie ni wajinga sana,badala uungozi wa shule muwasinikize waboreshe majengo Cha chuo na wafungue matawi mengi mikoani,Wanafunzi wa chuo Kikuu cha Waislamu wadai walichapwa viboko.
View attachment 2172271
View attachment 2172273
hapo kibaya kipi wapigwetuWanafunzi wa chuo Kikuu cha Waislamu wadai walichapwa viboko.
View attachment 2172271
View attachment 2172273
Mbona kama umepaniki Bi Mkubwa! Kwani ungefafanua tu hiyo tofauti ya hayo maneno 'Kiislam' na 'Waislam', ungepungukiwa nini?Ni kutowe kwenye reli ipi wewe poyoyo? Nyie ndiyo mnazua uongo, vipi ukiite chuo cha "Kiislaam" wakati siyo chuo cha Kiislaam? Mna maana gani mnapozua kwenye jibicwa lenu la habari?
Au ni wajinga kiasi hamuelewi maana ya Waislam na Kiislam?
Au mnajazana cuki za kijinga kwa "Uislam in general", mimi nawauliza, Uislam umewakosea nini au umegundisha kipi kibaya hata muwe na chuki za kijinga namna hiyo? Au ni mashetani tu, maana hakuna binadam anaeweza kujitungia chuki tu isipokuwa ana ushetani wa hali ya juu kichwani mwake.
Mkuu umesema mtaani,tunaongelea vyuoni,niletee ushahidi hapa ni wapi huko Afghanistan wanaadhibu wanafunzi wa vyuo vikuu kwa bakora.....Wenzetu kina nani
Huko Afghanistan Taliban wanatandika bakora watu mtaani
Takribirrrr walah hatukubali....Wanafunzi wa chuo Kikuu cha Waislamu wadai walichapwa viboko.
View attachment 2172271
View attachment 2172273
Mbona Samuel Sitta alikung'utwa viboko Nyerere? Hakuna jipya hapoDa hawa wazee wa takbiiri imekuaje wakakubali kuchpwa Hivyo jaman...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Takbiiiir Takbiiiir Takbiiiir
Wapo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi hicho chuo kina wanafunzi wa wakristo ?
Wapo bhana.Hawapokei makafir hapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani Wanafunzi hawakuzielewa Joining Instructions? (vigezo na masharti ya kuzingatia pindi uwapo hapo chuoni kama mwanafunzi?) Kama ulikubaliana na Masharti & Vigezo, basi kamata chini.....[emoji22][emoji24] usilete za kuleta hapa - Unapaswa kuzingatia muzehe. ..Allahu aKbar'.(Mungu Mkubwa) Tshwap! Tshwap! x 5 [emoji1787][emoji1787]
Nilitaka niku tag [emoji23][emoji23][emoji23]Comment tu,mie hoi[emoji3][emoji3]