Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro chatuhumiwa kutoa adhabu ya viboko kwa wanachuo

Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro chatuhumiwa kutoa adhabu ya viboko kwa wanachuo

Hicho chuo sidhani kama utakuta watu wenye vyeti vilivyo nyooka, mtu ufaulu vizuri ukasome MUM? Chuo hovyo, wahadhiri hovyo na wanafunzi hovyo . Ni takataka united
Hakuna chuo pale ni madrasa ya watu wazima..ila kuna dini zingine ni u...

Hivi hawa field zao si huenda kufanyia talebani.??

#MaendeleoHayanaChama
 
waislamu wanaakili mno.. hakuna kubembelezena kinafki kama vyuo vya kigaratia kisa unalipa ada halafu mwisho wa siku tunaongeza kizazi cha mashoga na wasagaji. iko ndiyo chuo cha kusoma.
Unazijiua hata takwimu za maashoga na chini..mikoa ya pwani na visiwani kwenye kitovu cha dini ya haki ndio inayoongoza.

#MaendeleoHayanaChama
 
Pale M.U.M msavu tanesco ndio kinachozungumziwa hapa usitutoe kwenye reli
Nikutowe kwenye reli ipi wewe poyoyo? Nyie ndiyo mnazua uongo, vipi ukiite chuo cha "Kiislaam" wakati siyo chuo cha Kiislaam? Mna maana gani mnapozua kwenye jibichwa lenu la habari?

Au ni wajinga kiasi hamuelewi maana ya Waislam na Kiislam?

Au mnajazana chuki za kijinga kwa "Uislam in general", mimi nawauliza, Uislam umewakosea nini au umefundisha kipi kibaya hata muwe na chuki za kijinga namna hiyo? Au ni mashetani tu, maana hakuna binadam anaeweza kujitungia chuki tu isipokuwa ana ushetani wa hali ya juu bichwani mwake.
 
Ni kutowe kwenye reli ipi wewe poyoyo? Nyie ndiyo mnazua uongo, vipi ukiite chuo cha "Kiislaam" wakati siyo chuo cha Kiislaam? Mna maana gani mnapozua kwenye jibicwa lenu la habari?

Au ni wajinga kiasi hamuelewi maana ya Waislam na Kiislam?

Au mnajazana cuki za kijinga kwa "Uislam in general", mimi nawauliza, Uislam umewakosea nini au umegundisha kipi kibaya hata muwe na chuki za kijinga namna hiyo? Au ni mashetani tu, maana hakuna binadam anaeweza kujitungia chuki tu isipokuwa ana ushetani wa hali ya juu kichwani mwake.
Chuo cha kiislam..nasikia field huwa wanaenda kufanyia talebani na boko halam

#MaendeleoHayanaChama
 
Mwenye akili timamu hawez somesha mtoto wake pale

Ile n madrasa sio chuo chuo gan hakijawah fanya hata tafiti moja
Hata ya Bata kwann anakunya hovyo kuliko kuku



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hawana machapisho ya tafiti?!
Then this is serious, wahadhiri wapo busy kutandika viboko! Ka primary

Nimefadhaika, UNIVERSITY mhadhiri anatembea na fimbo, bila clip ningesema uzushi!

Chuo tunawaita wahadhir hatuwaiti walimu, ni cheo tofauti sana. Hawako hata CWT hawa!
 
Shekhe ,dk ,professor ustaadhi charaza hao hawasikii watoto wa siku hizi tushachoka video zao huko telegram
 
Wako sahivi kabisa mmatumbi awe muislamu, mkristo na mpagani bila mboko hasogei, haendelei na hasikii. Hii mjerumani Mlutheri anahifaham ndo maana alikuwa anatandaza mboko na kibano undiscriminatetly kwa manigger ndo maana reli ilijengwa na mashamba ya mikonge kutapakaa.
 
Aisee mbona vijana mmekua lege-lege namna hii??

FaizaFoxy Ritz sasa zile karatee mnazofundisha madrasa za kazi gani kama vijana wanaishia kuwa wanyonge namna hii?
... anayewacharaza fimbo ndiye mwalimu wao wa makaratee na majudo pia; ana red belt. Hawana ubavu wa kupambana na master wao hata chembe.
 
Back
Top Bottom