Haya ingilia basiWaachiwe wenyewe wakati chuo ni cha public
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ingilia basiWaachiwe wenyewe wakati chuo ni cha public
Alah akbariiiiiiiiiiiiii[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Takbiiiir Takbiiiir Takbiiiir
Allah AkbarTakbiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiirrrrrrrrr
TakbiiirWanafunzi wa chuo Kikuu cha Kiislam wadai walichapwa viboko.
View attachment 2172271
View attachment 2172273
Kaka kama kaka nakubali[emoji16]Kwani utovu wa nidhamu tunauoana kwa watoto wa vyuo vya ifm,cbe,udom na zile connection zao za uchi uchi.
Hawa watoto wanastahili viboko
Emphasis hapo Kwa mtotoUsimnyime mtoto mapigo maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa,,
Mithali 23:13
Umejuaje haya?Masikini Muhadhiri, na hana kazi tena, chuo kinalazimika kutoa kauli, mchapaji ajipange kuhojiwa, biashara inaingia changamoto hapo, kazi kwelikweli,
hahahaaaa, takbirMambo ya TALEBAN Ayo[emoji4]
Nakubali mkuu DeepPond hujawahi kukoseaKwani utovu wa nidhamu tunauoana kwa watoto wa vyuo vya ifm,cbe,udom na zile connection zao za uchi uchi.
Hawa watoto wanastahili viboko
Basi hapa usikute yote haya ni kwa sababu wanafunzi wake wanashindwa kukariri kitabu kisicho na faida kwao (Quran). Nashauri hiki chuo kifungwe na walimu wake wavuliwe nguo hadharani wachapwe viboko na wanafunzi ili iwe fundisho kwa vyuo vingine vya kipuuzi hapa nchini.Wanafunzi wa chuo Kikuu cha Kiislam wadai walichapwa viboko.
View attachment 2172271
View attachment 2172273
Mleta mada mbona kichwa cha habari umesema uongo? Morogoro Tanzania hakuna chuo kikuu cha "Kiislaam". Hata hiyo barua ya wanafunzi inakusuta. Isome vizuri kisha omba moderators wabadili mada yako.
Waswahili wameshindwa kukariri vitu ambavyo havina faida kwao eti wanadhalilishwa kwa kutojuwa baadhi ya haya. Waafrika sijuwi kwanini tunapenda kushabikia vitu visivyo na tija kwetu.Wanafunzi wa chuo Kikuu cha Kiislam wadai walichapwa viboko.
View attachment 2172271
View attachment 2172273