Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Umemaliza mjadala,kwa maandiko,matakatifu.Usimnyime mtoto mapigo maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa,,
Mithali 23:13
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemaliza mjadala,kwa maandiko,matakatifu.Usimnyime mtoto mapigo maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa,,
Mithali 23:13
Chuoni hawaendi watoto mkuuHivi ndo vyuo vya kuwapeleka watoto kusoma. ..
Allahu Akbar! Khaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Takbiiiir Takbiiiir Takbiiiir
Usiulize babu pigia mstariMwanachuo ni mtoto?
Teh teh teh 😂 😂😂 ni mwendo wa bakora tu, mpaka kielewekeWakimbie tu, chuo uchapwe na ajira uje ukose.
Wanafuata utaratibu wao, ni kama madrasa tuu. TakbiirNdugu zetu katika imaaaan[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
MKapa aliamua kuwapa Majengo ya TANESCO myafanye chuo, sasa Nini Hiki?
nyie ndio mnalea nyumbani mijitu mizima ya miaka 35 unaliita mtoto?Ndio Ni mtoto
Narudia tena "MAMBO YAO WAACHIE WENYEWE"Kuna muda wanakuwa na mambo ya kitoto kwa kweli.
Ostaz ndio masta wa hizo karetiNdio nashangaa hapo, karate zote zile wanaishia kutandikwa bakora na ostazi[emoji23][emoji23]
Utofauti huletwa kwa kupika wataalamu na sio mavazi wanayozaa, acheni uzwazwa. Hiko chuo ndio maana kila siku Cha mwisho, Hakuna mwenye akili aliyefaulu vizuri atasoma hapoHapo huvai mlegezo, kapero, jeans za kuchana na upuuzi mwingine. Ni utaratibu kama mtu hataki aende kwenye vyuo vingine! Hakuna anaelazimishwa kufauata maadili ya watu waliojipangia! Ni hiyo ndio inaleta tofauti ya chuo hicho na vingine!
Waachiwe wenyewe wakati chuo ni cha publicNarudia tena "MAMBO YAO WAACHIE WENYEWE"