Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro chatuhumiwa kutoa adhabu ya viboko kwa wanachuo

Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro chatuhumiwa kutoa adhabu ya viboko kwa wanachuo

Nisingechapwa na chuo ungekua ndio mwisho kusoma,chuo hakipo kimoja tu hiko MUM vyuo vya uchochoroni vinakuaga na shida shida tu....This is Fucking bad tusitetee ujinga ujinga...
Wenzetu wameshatoka kwenye zama hiz za kudhani ili mtu awe na nidhamu ni shurti bakora ihusike....
Wenzetu kina nani
Huko Afghanistan Taliban wanatandika bakora watu mtaani
 
waislamu wanaakili mno.. hakuna kubembelezena kinafki kama vyuo vya kigaratia kisa unalipa ada halafu mwisho wa siku tunaongeza kizazi cha mashoga na wasagaji. iko ndiyo chuo cha kusoma.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kijana wangu anavyopenda ngumi! Nafikiri video clip ingekuwa na heading tofauti, mhadhiri achezea vitasa tokea Kwa mwanachuo!
Ingekuwa tuko polisi tukihangaikia dhamana!

Haina tofauti na Ile kesi ya afisa elimu kata sijui tarafa kuchapa walimu viboko! Kwa kuchelewa darasani
Majaliwa pia alitandika waalimu walevi enzi hizo.
 
Mleta mada mbona kichwa cha habari umesema uongo? Morogoro Tanzania hakuna chuo kikuu cha "Kiislaam". Hata hiyo barua ya wanafunzi inakusuta. Isome vizuri kisha omba moderators wabadili mada yako.

Chuo cha Waislam haimaanishi chuo cha "Kiislam".
Pale M.U.M msavu tanesco ndio kinachozungumziwa hapa usitutoe kwenye reli
 
Back
Top Bottom