Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
š¤£Ustaadh yuko sahihi, hiki kizazi kinahitaji bakora mpaka vyuoni huko...maana hakijielewi kabisa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
š¤£Ustaadh yuko sahihi, hiki kizazi kinahitaji bakora mpaka vyuoni huko...maana hakijielewi kabisa...
Hicho ni chuo cha kidini "Muslim University" Lazima ufuate maadili ya kiislamAngekula ndoo moja ya pua hadi anakaa chini ananyoosha mikono juu.
Wenzetu kina naniNisingechapwa na chuo ungekua ndio mwisho kusoma,chuo hakipo kimoja tu hiko MUM vyuo vya uchochoroni vinakuaga na shida shida tu....This is Fucking bad tusitetee ujinga ujinga...
Wenzetu wameshatoka kwenye zama hiz za kudhani ili mtu awe na nidhamu ni shurti bakora ihusike....
Wanafunzi wa chuo Kikuu cha Kiislam wadai walichapwa viboko.
View attachment 2172271
View attachment 2172273
waislamu wanaakili mno.. hakuna kubembelezena kinafki kama vyuo vya kigaratia kisa unalipa ada halafu mwisho wa siku tunaongeza kizazi cha mashoga na wasagaji. iko ndiyo chuo cha kusoma.
Tanga,Zanzibar na Mombasa. Ndo kumejaaa ushoga..... Asilimia kubwa ya wakazi ni akina nani?waislamu wanaakili mno.. hakuna kubembelezena kinafki kama vyuo vya kigaratia kisa unalipa ada halafu mwisho wa siku tunaongeza kizazi cha mashoga na wasagaji. iko ndiyo chuo cha kusoma.
Usisahau na Mohamad alimnyonya denda mtoto wa kiume.... Ukitaka twende deep nipo tayari....waislamu wanaakili mno.. hakuna kubembelezena kinafki kama vyuo vya kigaratia kisa unalipa ada halafu mwisho wa siku tunaongeza kizazi cha mashoga na wasagaji. iko ndiyo chuo cha kusoma.
Chuo kikuu, wanafunzi ni watu wazima, sio watoto.Hivi ndo vyuo vya kuwapeleka watoto kusoma. ..
Wasije wakafikia kwenye kupigana mawe.Sharia hiyo, muwe wavumilivu tu.
Majaliwa pia alitandika waalimu walevi enzi hizo.Kijana wangu anavyopenda ngumi! Nafikiri video clip ingekuwa na heading tofauti, mhadhiri achezea vitasa tokea Kwa mwanachuo!
Ingekuwa tuko polisi tukihangaikia dhamana!
Haina tofauti na Ile kesi ya afisa elimu kata sijui tarafa kuchapa walimu viboko! Kwa kuchelewa darasani
Soma hiyo barua hapo utagundua ostaz ndiyo afati maadili.Hicho ni chuo cha kidini "Muslim University" Lazima ufuate maadili ya kiislam
dahWakimbie tu, chuo uchapwe na ajira uje ukose.
Mwalimu Mtaleban huyoSharia hiyo, muwe wavumilivu tu.
Pale M.U.M msavu tanesco ndio kinachozungumziwa hapa usitutoe kwenye reliMleta mada mbona kichwa cha habari umesema uongo? Morogoro Tanzania hakuna chuo kikuu cha "Kiislaam". Hata hiyo barua ya wanafunzi inakusuta. Isome vizuri kisha omba moderators wabadili mada yako.
Chuo cha Waislam haimaanishi chuo cha "Kiislam".