Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo hapo wanatandikwa kwasababu hawajafuga midevu?Mambo ya TALEBAN Ayo[emoji4]
Hawapokei makafir hapoHivi hicho chuo kina wanafunzi wa wakristo ?
Sio kila anaesoma chuo ni mtotoHivi ndo vyuo vya kuwapeleka watoto kusoma. ..
Yeah! Kwa sababu watu hawatakubali kwenda kusoma hapo tenaMasikini Muhadhiri, na hana kazi tena, chuo kinalazimika kutoa kauli, mchapaji ajipange kuhojiwa, biashara inaingia changamoto hapo, kazi kwelikweli,
Angekula ndoo moja ya pua hadi anakaa chini ananyoosha mikono juu.Ndiyo hapo. Kwanza haihitaji karatee kumpiga paipu huyo sheikh
Kuna muda wanakuwa na mambo ya kitoto kwa kweli.Mambo yao waachie wenyewe
SureAngekula ndoo moja ya pua hadi anakaa chini ananyoosha mikono juu.
Kwani Wanafunzi hawakuzielewa Joining Instructions? (vigezo na masharti ya kuzingatia pindi uwapo hapo chuoni kama mwanafunzi?) Kama ulikubaliana na Masharti & Vigezo, basi kamata chini.....😢😠usilete za kuleta hapa - Unapaswa kuzingatia muzehe. ..Allahu aKbar'.(Mungu Mkubwa) Tshwap! Tshwap! x 5 🤣🤣Wanafunzi wa chuo Kikuu cha Kiislam wadai walichapwa viboko.
View attachment 2172271
View attachment 2172273