Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro chatuhumiwa kutoa adhabu ya viboko kwa wanachuo

Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro chatuhumiwa kutoa adhabu ya viboko kwa wanachuo

Hapo huvai mlegezo, kapero, jeans za kuchana na upuuzi mwingine. Ni utaratibu uliopo, kama mtu hataki aende kwenye vyuo vingine! Hakuna anaelazimishwa kufauata maadili ya watu waliojipangia! Na hiyo ndio inaleta tofauti ya chuo hicho na vingine!
Tofauti gan sasa? Upuuzi tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hicho chuo sidhani kama utakuta watu wenye vyeti vilivyo nyooka, mtu ufaulu vizuri ukasome MUM? Chuo hovyo, wahadhiri hovyo na wanafunzi hovyo . Ni takataka united
Umemalizaaaaaah.
 
waislamu wanaakili mno.. hakuna kubembelezena kinafki kama vyuo vya kigaratia kisa unalipa ada halafu mwisho wa siku tunaongeza kizazi cha mashoga na wasagaji. iko ndiyo chuo cha kusoma.
Kwahiyo hapo MUM ndo komesho la mashoga na wasagaji? Yaan mmechanganyikiwa hadi hamjielew mnabaki kuchapa watoto wa watu bakora, khaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna chuo pale ni madrasa ya watu wazima..ila kuna dini zingine ni u...

Hivi hawa field zao si huenda kufanyia talebani.??

#MaendeleoHayanaChama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo hapo MUM ndo komesho la mashoga na wasagaji? Yaan mmechanganyikiwa hadi hamjielew mnabaki kuchapa watoto wa watu bakora, khaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Twende kazi[emoji3]
 
Back
Top Bottom