Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro chatuhumiwa kutoa adhabu ya viboko kwa wanachuo

Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro chatuhumiwa kutoa adhabu ya viboko kwa wanachuo

Chuo kikuu cha kipuuzi kabisa hicho! Na nitashangaa kama kuna mwanafunzi hata mmoja tu mwenye akili timamu anasoma kwenye chuo cha aina hiyo.
 
... anayewacharaza fimbo ndiye mwalimu wao wa makaratee na majudo pia; ana red belt. Hawana ubavu wa kupambana na master wao hata chembe.
Woii masta anapasuka tu dakika 1 nyingi sana mbona
 
Hiki chuo wangepelekwa vijana wa ifm na cbe campas za dar mambo yangekuwa Safi sana
 
waislamu wanaakili mno.. hakuna kubembelezena kinafki kama vyuo vya kigaratia kisa unalipa ada halafu mwisho wa siku tunaongeza kizazi cha mashoga na wasagaji. iko ndiyo chuo cha kusoma.
Hiyo akili mliipata lini? Kila siku shule zenu zinashika mkia kwenye mitihani ya Kitaifa, huku zile za Kikatoliki zikiongoza miaka yote! Na kama ni huo ushoga, mbona Zanzibar ndiyo umetapakaa?

Mko busy na Madrasa, mkija kwenye Elimu Dunia mnapigwa za uso! Chuo chenyewe ni cha kipuuzi tu! Hakijulikani! Na bila shaka hata hao wanafunzi wanao soma kwenye hicho chuo na wakufunzi wao, wote watakuwa ni wapuuzi tu.
 
Wanafunzi wa chuo Kikuu cha Waislamu wadai walichapwa viboko.

View attachment 2172271
View attachment 2172273
Mumso nyie ni wajinga sana,badala uungozi wa shule muwasinikize waboreshe majengo Cha chuo na wafungue matawi mengi mikoani,

Mzee Mkapa aliwapa majengo ya Tanesco siku moja na Saut kule mwanza,
Saut wamejenga na kufungua matawi mengi Sana mikoani,lakini MUM wameshindwa kujenga hata kuyapaka rangi majengo ya chuo toka wapewe.

Hao walimu waliyotoa ashabu ya viboko kwa wanafunzi ,wanasitahili kupewa tuzo badala ya kuwaletea mambo ya kiswahili.
 
Ni kutowe kwenye reli ipi wewe poyoyo? Nyie ndiyo mnazua uongo, vipi ukiite chuo cha "Kiislaam" wakati siyo chuo cha Kiislaam? Mna maana gani mnapozua kwenye jibicwa lenu la habari?

Au ni wajinga kiasi hamuelewi maana ya Waislam na Kiislam?

Au mnajazana cuki za kijinga kwa "Uislam in general", mimi nawauliza, Uislam umewakosea nini au umegundisha kipi kibaya hata muwe na chuki za kijinga namna hiyo? Au ni mashetani tu, maana hakuna binadam anaeweza kujitungia chuki tu isipokuwa ana ushetani wa hali ya juu kichwani mwake.
Mbona kama umepaniki Bi Mkubwa! Kwani ungefafanua tu hiyo tofauti ya hayo maneno 'Kiislam' na 'Waislam', ungepungukiwa nini?

Halafu muache huu upuuzi wa kuchapa watu wazima viboko kwenye karne ya 21. Mkiendelea kufanya hivi, basi msije kulalamika tena baadaye kwa kukosa wahitimu wengi wa dini yenu.

Maana hakuna mwanachuo mwenye akili timamu atakuja kusoma kwenye chuo cha aina hiyo! Kama vipi mkihamishie hicho chuo chenu Afghanstan huko! ili mkakatane kabisa na mikono, na kupigana mawe mpaka kifo.
 
There is something wrong kwa hiki chuo aisee..yani hata wanafunzi wa hapo wako rough mentally na phisically.
 
Kwani Wanafunzi hawakuzielewa Joining Instructions? (vigezo na masharti ya kuzingatia pindi uwapo hapo chuoni kama mwanafunzi?) Kama ulikubaliana na Masharti & Vigezo, basi kamata chini.....[emoji22][emoji24] usilete za kuleta hapa - Unapaswa kuzingatia muzehe. ..Allahu aKbar'.(Mungu Mkubwa) Tshwap! Tshwap! x 5 [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom