mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Aisee bakora siyo poa bana[emoji41][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Jaman nimecheka mie hadi hoi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee bakora siyo poa bana[emoji41][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Jaman nimecheka mie hadi hoi.
Hao wanafaulu kwenye shule za kikatoliki wamelifanyia nini taifa!!?...ufaulu wenyewe wa kuiba mitihaniHiyo akili mliipata lini? Kila siku shule zenu zinashika mkia kwenye mitihani ya Kitaifa, huku zile za Kikatoliki zikiongoza miaka yote! Na kama ni huo ushoga, mbona Zanzibar ndiyo umetapakaa?
Mko busy na Madrasa, mkija kwenye Elimu Dunia mnapigwa za uso! Chuo chenyewe ni cha kipuuzi tu! Hakijulikani! Na bila shaka hata hao wanafunzi wanao soma kwenye hicho chuo na wakufunzi wao, wote watakuwa ni wapuuzi tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi unajua nimecheka mno hapa? "Twende kazi"Twende kazi[emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan we acha tyuuh
Ila MUM kuna mtu ni mkristo yuko palee, sijui anaweza vipi sheria hizo.Aisee bakora siyo poa bana[emoji41]
kama mecca vileWanafunzi wa chuo Kikuu cha Waislamu wadai walichapwa viboko.
View attachment 2172271
View attachment 2172273
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kwa nini?Hivi ndo vyuo vya kuwapeleka watoto kusoma. ..
Majibu yako tu,nayapendaga bureeeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi unajua nimecheka mno hapa? "Twende kazi"
Hahahahah sikuwezi.
Anakomaa[emoji3]Ila MUM kuna mtu ni mkristo yuko palee, sijui anaweza vipi sheria hizo.
Mwanachuo kabisa unachapwa na umetulia tuliiiWanafunzi wa chuo Kikuu cha Waislamu wadai walichapwa viboko.
View attachment 2172271
View attachment 2172273
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] taratibu baas.Majibu yako tu,nayapendaga bureeeee
Wape mama[emoji1476]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaah wee.Anakomaa[emoji3]
[emoji976][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] taratibu baas.
wewe umejuaje havina faida kwao?..Waswahili wameshindwa kukariri vitu ambavyo havina faida kwao eti wanadhalilishwa kwa kutojuwa baadhi ya haya. Waafrika sijuwi kwanini tunapenda kushabikia vitu visivyo na tija kwetu.
(یُرِیدُونَ لِیُطۡفِـُٔوا۟ نُورَ ٱللَّهِ بِأَفۡوَ ٰهِهِمۡ وَٱللَّهُ مُتِمُّ نُورِهِۦ وَلَوۡ كَرِهَHii taarifa yenyewe inaonekana haijathibishwa( inafanyiwa uchunguzi), na hata haionyeshi ilitokea lini.
Lakini pamoja na hivyo watu wamesharukia katika conclusion na mapovu yanawatoka kuonyesha ni kiasi gani wamejawa na chuki.
Lakini hata kama ni habari ya kweli, inaonyesha ni tukio la mara moja ambalo hata hatufahamu chanzo chake.
Ila pamoja na hivyo watu wameshafika mbaali kuutukana uislamu na kuwatoa akili waislamu kwa kosa la mtu mmoja.
Kwani hiyo serikali ya hao wanafunzi, inayokemea hilo tukio ni ya wakristo?
Tafuteni sababu za msingi(za kushambulia uislamu) lakini sio visingizio kama hivi.
So hata maprofesa/maulamaa wanafaa kuchapwa?Kwa misingi ya dini na mlengo wa chuo ni sahihi kuchapwa viboko