Una kitu kinakusumbua kinaitwa hypocrisy, nyuzi zako nyingi unasema ukatitoliki NDio mapadre wanaonajisi watoto , ila apa unatenganisha Uislamu na muuza gongo muislamuYes, chukulia vyovyote upendavyo. Huu uongo wenu ukiachiwa hivi hivi utaonekana kuwa ni ukweli. Semeni na andikeni ukweli, UONGO WENU HAUJENGI UNAZIDI KUBOMOWA.
Walimu washawahi kuchapwa viboko, itakuwa wanafunzi? mbona hamjafunguwa mabakuli yenu?
Uingie nyumba ya kuuza gongo anaekuzia Muislam useme hiyo ni nyumba ya kuuza gongo ya Kiislam?
Wacheni upuuzi huo.