Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro chatuhumiwa kutoa adhabu ya viboko kwa wanachuo

Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro chatuhumiwa kutoa adhabu ya viboko kwa wanachuo

Mumso nyie ni wajinga sana,badala uungozi wa shule muwasinikize waboreshe majengo Cha chuo na wafungue matawi mengi mikoani,

Mzee Mkapa aliwapa majengo ya Tanesco siku moja na Saut kule mwanza,
Saut wamejenga na kufungua matawi mengi Sana mikoani,lakini MUM wameshindwa kujenga hata kuyapaka rangi majengo ya chuo toka wapewe.

Hao walimu waliyotoa ashabu ya viboko kwa wanafunzi ,wanasitahili kupewa tuzo badala ya kuwaletea mambo ya kiswahili.
Sijui hata choo kipya wamejenga pale[emoji2]
 
Badala ya kunifanya mimi nionekane mbaya, wewe ndio unaonekana moumbavu na mpuuzi wa kutwa nimeandika maneno machache ila umeshuka gazeti[emoji2]

Hata ndio bidii hii za kutetea dini ili allah aje akuone huko ahera basi nikupe pole tu.

Fungua hio akili yako iliyo brainwasheda uone kuwa chuo cha kiislamu ,muslim University of morogoro MUM kumetendeka kosa la ukiukwajiwa haki za binadamu tena kwa watu wenye akili na utashi.

Hizi hizi nyie watu wanakuwa mazombi utadhani ya majitu ya mfalme zamaridi[emoji2]

Sasa kuna tufauti gani na wewe
Dini haitetewi na mtu, tunawasuta uongo wenu tu hapa.


Nani alikwambia Morogoro kuna chuo cha Kiislam? Siyo peramiho ile.
 
Walifanya nini tena hao au walikutwa na finyango za kitimotooz...
 
Masheikh wameanza kutandikana viboko waangaliwe hao wasitandikane risasi
 
Jitazame ulivyo halafu uone kama hujaanza kuchomwa, tartiiiiib.
Kawadanganye wenzio..nimekuuliza moto huo umechoma wangapi mpaka sasa..?na upo wapi?je uliuona?unatumia aina gani ya kuni?

Dini bila vitisho haziwezi pata wafuasi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mpaka chuo mnapigwa viboko [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa tabia za vijana wa kizazi hiki,bakora inawezekana zikasaidia hata vyuoni kabisa 🤣🤣,ningekuwa Muslim ningempeleka mtoto hapo,ninaimani watakuwa wananyooshwa vizuri sana......Kwa maisha ya sasa kutumia Utaleban ni njia pekee maana kuna ujinga mwingi sana kwa vitoto vya saizi........
 
Ustaadh yuko sahihi, hiki kizazi kinahitaji bakora mpaka vyuoni huko...maana hakijielewi kabisa...
Kwahili naunga mkono Kwa asilimia 109 kabisa,Kuna vitoto vya Udsm nakaa navyo karibu daah........vinastahili viboko kabisa
 
Kawadanganye wenzio..nimekuuliza moto huo umechoma wangapi mpaka sasa..?na upo wapi?je uliuona?unatumia aina gani ya kuni?

Dini bila vitisho haziwezi pata wafuasi.

#MaendeleoHayanaChama
Hujioni, jitazame wewe kisha hesabu wenzako walio kama wewe, ukipata namba ilete hapa.

Kwa maandiko yako tu humu unaonesha ni mtu unaechomeka, tena vibaya sana.

Mama ndiyo tunae, chaguo la Mungu, twala asali tu.
 
Kawadanganye wenzio..nimekuuliza moto huo umechoma wangapi mpaka sasa..?na upo wapi?je uliuona?unatumia aina gani ya kuni?

Dini bila vitisho haziwezi pata wafuasi.

#MaendeleoHayanaChama
Mama tunae, twala asali tu.
 
Kawadanganye wenzio..nimekuuliza moto huo umechoma wangapi mpaka sasa..?na upo wapi?je uliuona?unatumia aina gani ya kuni?

Dini bila vitisho haziwezi pata wafuasi.

#MaendeleoHayanaChama

Silaha kubwa sana ya biblia na quran ni vitisho na hadithi za kusadikika, ili kuwafanya watu wawe wanyenyekevu yaani mazuzu, kwa mfano kuna mstari kwenye bible unasema asiefanya kazi na asile halafu kuna mstari mwingine unassema kesheni mkiomba sasa kuna wajinga wanakesha wakiomba then kazi hawafanyi kwa ufanisi halafu utawaona wanalia njaa,
 
Kawadanganye wenzio..nimekuuliza moto huo umechoma wangapi mpaka sasa..?na upo wapi?je uliuona?unatumia aina gani ya kuni?

Dini bila vitisho haziwezi pata wafuasi.

#MaendeleoHayanaChama

Kwa mfano kwa mwamposa kuna maombi ya maji ya baraka wananyunyuziwa maji kwa viwango vya pesa kuna 50k , 40k, 30k na hapo sasa wajinga wanatoa eti wanapewa baraka na kuombewa mafanikio yaani bila kuchapa kazi kwa juhudi na maarifa huwezi kufanikiwa.lakini watu kama wamerogwa vile
 
Back
Top Bottom