Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu bc ,kwan ukanijib kuna kitu kitapungua?,ungekuw mwalimu ungejiuzuru?Unauliza sana..ingia tovuti ya chuo upate maelezo ya kutosha.
Nahis hiz nizamuhimu zisiwe ngazi ya chuo tu bali zifundishwe kuanzia primary school kama moja ya somo had ngaz za juu za elimu iwe ni moja ya modules vyuoni.MA Public Speaking and Audience Management
BA in Timetable Planni
Yaani unatumiwa "pindi" online ?Wanasoma kwa mfumo wa Distance learning
Hapa ndio nimeelewa. Hiyo ni kwa pepa zote ( quizzes, CATs, ) au UE peke yake ?Pindi unapiga online ila pepa unafiki chuo ulipo jisajiri yaani mkoa husika
Open hakuna mkopo moja kwa moja labda uwe umefadhiliwa na mwajiri wako au makampuni yakusomeshe ila upande wa HESLB ni ngumuNaomba kuuliza wajuzi humu je mtu akipata nafasi out kwa degree level vipi uwezekano wa kupata mkopo upo?
Asante sana mkuu kwa taarifa yako muhimu.Open hakuna mkopo moja kwa moja labda uwe umefadhiliwa na mwajiri wako au makampuni yakusomeshe ila upande wa HESLB ni ngumu
Procurement no Ila Mass Communication,Marketing Ila Public Relation sina hakikaHivi kuna Faculty ya Procurement pale au Pablic relation mwenye kujua anijuze tafadhali
Labda mwl wa sekondari,ila wa chuo nisingejiuzuru😂😂😂😂Jibu bc ,kwan ukanijib kuna kitu kitapungua?,ungekuw mwalimu ungejiuzuru?
Acha utotoLabda mwl wa sekondari,ila wa chuo nisingejiuzuru😂😂😂😂
Ningeishia kukwambia "go and read with open eyes"
Mfano bacherol yoyote ile unatakiwa kusoma maximum unit 40 minimum 36 3years hivyo basi kuna mitihani aina mbili moja special annual examination unaweza andika muda wowte pale tangazo la kusajili masomo kwa ajili ya mtihani pili annual examination hivyo basi unaweza ukawa umesajili course 10 zenye unit 18 kwa mwaka wa kwanza tatu zenye unit 6 ukapiga kama special na nyingine ukaandika annual sasa unajikuta utamaliza unit zako ndani ya mda au chini ya mda sasa kumbuka ww ulisajiliwa intake gani kama ni January,April,July au October hivyo basi utasubilia intake yako ifike kwa mda muafaka huku ukiwa ushamaliza na kusubili mahafari kisha kuchukua cheti au transcript ila transcript nasikia unaweza pewa mapema tuuuNaomba kuuliza hivi inawezekana ukamaliza masomo na kutunukiwa cheti chako kabla ya muda wa masomo kuisha..kwa mfano course unayosoma duration period yake ni miaka 3 na ww mwanafunzi ukafanikiwa kumaliza ndani ya miaka miwili. Niwekeni sawa juu ya hili mana nina plan ya kusoma shahada ya sheria OUT
Ahsante sana mkuu kwa ufafanuzi mzuriMfano bacherol yoyote ile unatakiwa kusoma maximum unit 40 minimum 36 3years hivyo basi kuna mitihani aina mbili moja special annual examination unaweza andika muda wowte pale tangazo la kusajili masomo kwa ajili ya mtihani pili annual examination hivyo basi unaweza ukawa umesajili course 10 zenye unit 18 kwa mwaka wa kwanza tatu zenye unit 6 ukapiga kama special na nyingine ukaandika annual sasa unajikuta utamaliza unit zako ndani ya mda au chini ya mda sasa kumbuka ww ulisajiliwa intake gani kama ni January,April,July au October hivyo basi utasubilia intake yako ifike kwa mda muafaka huku ukiwa ushamaliza na kusubili mahafari kisha kuchukua cheti au transcript ila transcript nasikia unaweza pewa mapema tuuu
Sawa mama.Acha utoto