Chuo Kikuu Huria (Open University of Tanzania)

Chuo Kikuu Huria (Open University of Tanzania)

Prof Mmari ni kichwa. Recently nadhani amewahi kuwa VC wa Tumaini University Dar es salaam college
Prof. Mmari hakupelekwa OUT kama adhabu bali kwa uzoefu wake wa kuanzisha vitu. Kwa Historia ndiye alianzisha Shinyanga Sekondari, Sokoine na OUT
 
We jamaa mpuuzi acha uongo
Pole sana kama nimekugusa...

Ila huo ndio ukweli ...

Ufuatiliaji unahitajika sana..tena sana..haitakiwi tuongeze idadi ya nzoka na mazoba..

CHUO ni kizuri na ni msaada mzuri sana ila moja ya changamoto kubwa ni hiyo..wa waendeshaji wanapiga pesa mno mno na kuharibu sifa za chuo!
Elimu ni kitu sensitive mno duniani kote sasa ukiibaka namna hiyo ni kuharibu nguvu kazi ya taifa na tutakuwa na .mabumla wengi mfano wa wewe..unayekurupuka kujibu kwa mihemko ..umeshindwa hata kufikiri mara mbili.. .


Kama na wewe ni mmoja wao tafadhali acha ... Degree za kubumba zitakupelekesha sana...maana hutofit popote...


Wapo tunawaona... Na ndio wanafanya chuo kidharaulike!!
 
Mkuu punguza hasira amesema tu.
Mrekebishe kama kakosea
Sijasema tu...

Ukweli ndio huo...


Wahusika wenye uelewa usio wa kubumba watahesabu kuwa ni moja ya changa moto na wataifanyia kazi..
Nia ni kuendeleza na sio kubomoa..

Lipi baya nililoandika hapa?

Wanufaika na hili watajitokeza wengi tu....

Shida ya kupaka rangi upepo ndio hii mkuu...
 
Mpuuzi huyu. OUT ina material ya nguvu na ya kutosha ndio wauze mitihani? Unasoma mwenyewe na kuelewa. Hizo campus college zao zinaongoza kwa degree za ngono mbona hasemi
Hapa sasa ndio nimekuelewa ni jinsi gani ulivyo box tupu...upstairs...

Ndio wale wale... Umekwenda chaka wewe...

Sikusema chuo kinauza mitihani...

Nimesema watendaji...yaani waajiriwa ...ndio waharibifu..ni sawa na yanayotendeka vyuo au sehemu nyingine..

Hao watendaji si.malaika ni binaadamu ..wana tabia zote..
Kuhusu ngono ..sichangii lolote maana hapa tumeongelea chuo ..na watendaji hizo tabia binafsi za watu hazihusu hapa!

Pole sana ..yale yale...

Wenye akili na uelewa khasa watafahamu nini naongea...

Endelea kuhemka... Sikulaumu inaweza kuwa na wewe ni muathirika wa hilo..lazima upagawe..

Ukweli ndio huo...

Wapuuzi hata kwenu wapo mkuu na mmoja wapo ni wewe... ! Tatizo hujijui na hujielewi kama na wewe ndio wale wale...
Bobo!

Hakuna sababu za kuvuruga nia na madhumuni ya hii thread ..kwa kuleta hoja/ ubishani mfu ... ....

Akili kumkichwa...

Utanisamehe mkuu... Kama nimekukwaza kwa hilo...ndio tumo katika kujenga...tunaangalia kote..

Hutaki acha ....

Kama na wewe ni muajiriwa wa Open ..na unafanya mbunguu hizo ..nakuomba uache ..unaharibu sifa ya chuo na nguvu kazi...ya taifa!
 
Nahis hiz nizamuhimu zisiwe ngazi ya chuo tu bali zifundishwe kuanzia primary school kama moja ya somo had ngaz za juu za elimu iwe ni moja ya modules vyuoni.
Naunga mkono hoja mkuu....

Ingesaidia maana tatizo hilo lipo sana ..
 
Pole sana kama nimekugusa...

Ila huo ndio ukweli ...

Ufuatiliaji unahitajika sana..tena sana..haitakiwi tuongeze idadi ya nzoka na mazoba..

CHUO ni kizuri na ni msaada mzuri sana ila moja ya changamoto kubwa ni hiyo..wa waendeshaji wanapiga pesa mno mno na kuharibu sifa za chuo!
Elimu ni kitu sensitive mno duniani kote sasa ukiibaka namna hiyo ni kuharibu nguvu kazi ya taifa na tutakuwa na .mabumla wengi mfano wa wewe..unayekurupuka kujibu kwa mihemko ..umeshindwa hata kufikiri mara mbili.. .


Kama na wewe ni mmoja wao tafadhali acha ... Degree za kubumba zitakupelekesha sana...maana hutofit popote...


Wapo tunawaona... Na ndio wanafanya chuo kidharaulike!!
We bwege hujui lolote. Ungejua juu ya nondo nilizonazo usingejibu. OuT inadharaulika.?
 
Sijasema tu...

Ukweli ndio huo...


Wahusika wenye uelewa usio wa kubumba watahesabu kuwa ni moja ya changa moto na wataifanyia kazi..
Nia ni kuendeleza na sio kubomoa..

Lipi baya nililoandika hapa?

Wanufaika na hili watajitokeza wengi tu....

Shida ya kupaka rangi upepo ndio hii mkuu...
🙏🙏🙏Sawa mkuu nimekuelewa
 
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (kwa Kiingereza: Open University of Tanzania) ni chuo kikuu kinachotoa kozi za cheti, stashahada na shahada kupita masomo ya mbali (Distance Learning). Makao makuu yako Dar es Salaam, Tanzania. Chuo Kikuu Huria kina takribani wanafunzi 70,000 kutoka ngazi mbalimbali za kitaaluma.

Historia
Kilianzishwa mwaka 1992 kwa kilichoanzishwa kwa Sheria ya Bunge namba 17 ya mwaka 1992. Sheria hiyo ilipata nguvu ya utendaji rasmi tarehe 1 Machi 1993 kwa mujibu wa tangazo la serikali namba 55 ya gazeti lake rasmi.

Mwaka 1994, Januari 19 Makamu Mkuu wa kwanza wa Chuo alishika madaraka na mwezi huohuo walisajiliwa wanafunzi wa awamu ya kwanza.

Mwaka 2007 kwa mujibu wa sheria ya vyuo vikuu, Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kilianza kutumia sheria na taratibu zake za ndani ya chuo toleo la mwaka (2007) katika shughuli zake za kiutawala.

Taaluma
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kinatoa stashahada, diploma na shahada mbalimbali kupitia elimu ya kimtandao au elimu ya masafa ya juu kwa njia ya tehama au nyenzo nyingine mbalimbali za kiteknolojia. Shughuli za chuo zinafanyika na kutoa huduma katika viwango vya utendaji na usimamiaji wa baraza la vyuo vikuu Tanzania (TCU). Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kinatoa programu takribani 125.

Vituo
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kina vituo kwenye mikoa zaidi ya 30 nchini Tanzania; hii ni kujumlisha na vituo vya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar (Unguja na Pemba), Kenya vituo viwili (Chuo cha Egerton na Njoro), Rwanda (eneo la Kibungo), Uganda na Namibia (Chuo cha Triumph).

Vituo vingine vya mashirikiano ya ndani ni ACDE-TCC (African Council for Distance Education- Technical Collaboration Committee), CECED (Centre for Economics and Community Economic Development), SADC ODL CoS TE (SADC Centre of Specialization in Teacher Education).

Chuo Kikuu Huria kina vituo vya kusomea takribani 69 ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Vitivo
Ina:

•Kitivo cha Sanaa na Sayansi ya Jamii
•Kitivo cha Elimu
•Kitivo cha Sheria
•Kitivo cha Uongozi wa Biashara
•Kitivo cha Sayansi, Teknolojia na Masomo ya Mazingira
•Taasisi ya kuyaendeleza masomo
•Taasisi ya Teknolojia ya Elimu
•Kurugenzi ya Huduma za Mikoa
•Kurugenzi ya Utafiti na Masomo ya baada ya Shahada
Niliomba na kupata admission mwaka jana ila kutokana na changamoto binafsi sikuripoti kabisa, je nikitaka kuhuisha selection yangu natakiwa nifanyeje?
 
Niliomba na kupata admission mwaka jana ila kutokana na changamoto binafsi sikuripoti kabisa, je nikitaka kuhuisha selection yangu natakiwa nifanyeje?
Nenda regional centre ulio jiandikishia watakwenda kuactivate account yako au namba yako ya usajili au kama kuna maelekezo watakuambia open raha sana karibu mkuuu
 
Hivi kwa hapa Tanzania Kuna chuo gani kingine kinatoa course kwa mfumo wa distance learning? Zaidi ya OUT? Nna ndoto za kuendelea kusoma lkn sio kwa OUT Tena.
 
Mkuu Emmanuel Kasomi wanaotakiwa kusoma hapo ni wenye sifa gani??

Kwa mfano mtu alimaliza certificate ila bado hajaajiriwa anaruhusiwa kusoma diploma hapo??
 
Mkuu Emmanuel Kasomi wanaotakiwa kusoma hapo ni wenye sifa gani??

Kwa mfano mtu alimaliza certificate ila bado hajaajiriwa anaruhusiwa kusoma diploma hapo??
Ndiyo mkuu unasoma,
Pia inamuwezesha mtu kusoma masomo ya mbali (Distance learning) kwahiyo kwa yeyote mwenye sifa anaweza kusoma.
 
Hivi kwa hapa Tanzania Kuna chuo gani kingine kinatoa course kwa mfumo wa distance learning? Zaidi ya OUT? Nna ndoto za kuendelea kusoma lkn sio kwa OUT Tena.
Kwann sio OUT tena?!! au lengo ni kubadili chuo tu as well as Gamba
 
Hivi kwa hapa Tanzania Kuna chuo gani kingine kinatoa course kwa mfumo wa distance learning? Zaidi ya OUT? Nna ndoto za kuendelea kusoma lkn sio kwa OUT Tena.
Jaribu kufuatilia udsm kama wana everning class
 
Diploma in poetry, Bacherol of science in biology,chemistry,physics,mathematics, with education Bacherol of science in data management hivyo basi na masters kila moja wapo hapo ina masters yake kulingana na specialization yako pia zipo nyingi hizo ni baadhi tuuu mkuuu
[emoji120].ngoja nichakalike nianze kuandaa ka Cv kangu ka uzeeni,Kuna course niliiona kwa hawa OUT, degree ya general science na master's yake pia.kama ipo ngoja nikakomae nayo ,itafanya ka cv kangu ka uzeeni kawe na mvuto .
 
Wakuu kuna dogo kaniuliza sehemu flani anaomba ushauri kwamba anaitaji kusoma masters yeye ni mwalimu sasa anataka kujiendeleza hivyo basi kaniuliza ipi masters yenye fulsa katika upande wake na ni mwajiwa kwa baadae 1:Masters of education. 2:.....of adminstration,planning,policy and study. 3:Masters of curriculum designing and development. 4:Masters of quality education and management nimeingilia post ya mtu ila naomba ushauli kwa wajuzi zaid
 
Wakuu kuna dogo kaniuliza sehemu flani anaomba ushauri kwamba anaitaji kusoma masters yeye ni mwalimu sasa anataka kujiendeleza hivyo basi kaniuliza ipi masters yenye fulsa katika upande wake na ni mwajiwa kwa baadae 1:Masters of education. 2:.....of adminstration,planning,policy and study. 3:Masters of curriculum designing and development. 4:Masters of quality education and management nimeingilia post ya mtu ila naomba ushauli kwa wajuzi zaid
Mwambie apige hiyo namba 2
 
Back
Top Bottom