Chuo Kikuu Huria (Open University of Tanzania)

Chuo Kikuu Huria (Open University of Tanzania)

OUT wanatoa vyeti ngazi ya Astashahada; Stashahada; Shahada; Shahada ya Uzamili; Shahada ya Uzamivu.

Pia ni chuo pekee nchini walioruhusiwa kuendesha kozi ya Foundation kwa wasio na vigezo vya kujiunga na vyuo vikuu.

Masomo yanatolewa kwa njia ya teknolojia ya habari na mawasiliano. Wanafunzi na wahadhiri wao wanakutana kupitia 'Zoom meeting'.
Ubora wa wahitimu ni wa kiwango kizuri sababu wanao uwezo kufanya kazi kwa njia ya tehama.

Asante
Hiyo kozi ya foundation hua inachukia muda GANI??

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Mkuuu neda kwanza utapiga foundation course mwaka mmoja kisha ukifaulu utakuwa na sifa ya kujiunga na chuo chochote kwa kuangalia TCU guide book hivyo kama unataka kuendelea kusoma open utasajiliwa kwa kutuma maombi kisha TCU wakivarify kua ulikua huna sifa na umepinga foundation unakua na sifa moja kwa moja utachakuguliwa na kuanza kupiga bacherol yako
Foundation course inaanza wakati wowote au Kuna muda maalum?? Ni kipindi gani Cha mwaka?

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Hapa ndani tunakichukulia poa ila ukiwa nje ya mipaka ya Tanzania ni chuo chenye sifa na heshima kubwa sana
Sidhani km kinachukuliwa powa, ni mtazamo wa baadhi tuu. Kinaheshimika vizuri tuu.

Binafsi nakiona kiko bora sana. Ile flexibility inasaidia sana kuongeza umahiri wa Wanafunzi. Ukiona somo flani bado hajalimudu sawasawa, mwenyewe haujisajiri kulifanyia mtihani mpaka utakapojitathimini na kuona umelimudu.
 
Hivi wanafunzi wanaohitimu OUT wananufaika na mikopo ya elimu ya juu?
 
Dar es Salaam ofisi zao zipo wapi kwa anaefahamu humu anisaidie,
Pia Kama Kuna contact zao nisaidiwe hapa niwatafute moja kwa moja
 
Ukiwa OUT kwa mda huo hutopata mkopo.
Seems like umeshaajiriwa.
Yaani kwa wale wa foundation wakishamaliza kwa ajili ya kujiunga na chuo kikuu wanakuwa considered kwenye bodi ya mikopo?
 
Nimefanya bachelor yangu Open
Nasema wapo vizuri sanaaa
Kinachoibeba ni idara ya research, wamedigitize na zinakua cited worldwide
 
Back
Top Bottom