Chuo Kikuu Huria (Open University of Tanzania)

Nimefanya bachelor yangu Open
Nasema wapo vizuri sanaaa
Kinachoibeba ni idara ya research, wamedigitize na zinakua cited worldwide
Hongera mkuu kwakuwa shuhuda wa chuo hicho.
Bila shaka wengine watapata kitu kupitia wewe.
 
Rafiki yangu amedahiliwa ktk foundation course ila ishu za uchumi zimemkalia vibaya kidogo, hivyo anahitaji kufahamu inawezekana akafanya malipo mwakani na kuanza kusoma?
 
Rafiki yangu amedahiliwa ktk foundation course ila ishu za uchumi zimemkalia vibaya kidogo, hivyo anahitaji kufahamu inawezekana akafanya malipo mwakani na kuanza kusoma?
Anaweza kuahirisha/kusimamisha mwaka au mhula akiwa vizuri atarejea
 
Hivi wameanza masomo kwa mwaka huu hao jamaa?
Na vipi mtu anaweza kumaliza masomo ya Bachelor ndani ya miaka miwili kwa course ya miaka mitatu?
 
I am not an educationist/academician but kuna tofauti kubwa sana kati ya OUT na distance learning za vyuo vingine duniani, OUT hakina tofauti sana na vyuo ambavyo vinamtaka mwanafunzi na mwalimu wake kua karibu, ukisoma materials ya CIC cha Uingereza na OUT cha bongo, kuna possibility ya huyu wa CIC kumaliza mapema sana kuliko wa OUT, sijui tatizo ni nini kwa kweli!?
 
Naomba muongozo jinsi ya kuahirisha.
Fika chuo husika ombe fomu ya ku postpone masomo.
Hapo utajaza reasons na mda wa kupostpone kama ni semister au mwaka utakuwa umemaliza mchezo.
 
Nahisi huku complications nyingi sana
 
Namba zao zikipigwa hazipokelewi. Sasa sijui wameweka za nini?
 
Nahisi huku complications nyingi sana
Niliogopa sana kusema hivo lakini huo ndio ukweli; kuna watu wanasoma Uhasibu ili wawe na leseni kwa njia ya distance learning, kwa hapa kwetu ni hizo CPA (T), watu wanasoma za board za Uingere ACCA na zile za India with Distance learning, jambo hilo ni gumu sana kwa bongo; yaani sisi tuna complicate kila kitu na still bado sio kwamba sisi ni bora saana kuliko wengine, tuna tatizo sehemu
 
Tz wametanguliza masilahi mbele sana
 
Nisalimieni Madam Grace Mbwete wa idara ya ICT, kama Lecturer wote wangekuaga kama huyu madam.. elimu ya tz ingefika mbali sana.
 
Nisalimieni Madam Grace Mbwete wa idara ya ICT, kama Lecturer wote wangekuaga kama huyu madam.. elimu ya tz ingefika mbali sana.
Salamu zitamufikia je alikuwa OUT wapi?
 
Nimeipenda tushindwe wenyewe tu

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…