Chuo Kikuu Huria (Open University of Tanzania)

Nina changamoto ya uelewa wa utaratibu kidogo wa OUT UNI,nimetumiwa email juzi ya admission letter MBA ya logistic ambayo sikuiomba mi niliomba MBA in accounting and Auditing so inawezekana nikabadili kozi? Na niko mbali na regional center

Na usajili naweza fanya kwa mbali bila kufika regional center? Regional center yangu ni Arusha
 
Usajili unafanya popote. Course pia unabadilisha.
Kifupi ni kama vyuo vingine tu
 
Inawezekana kubadili kikubwa wasiliana na admission office
 
Hivi inawezekana kusoma degree mbili tofauti kwa mwaka wa masomo huo huo? Yani Nina maana kwamba mtu unasoma degree A,UDOM na wakati huo huo unasoma degree B Open university, je inawezekana?
 
Hivi inawezekana kusoma degree mbili tofauti kwa mwaka wa masomo huo huo? Yani Nina maana kwamba mtu unasoma degree A,UDOM na wakati huo huo unasoma degree B Open university, je inawezekana?
Hapo inawezekana japo hairuhusiwi kwa wakati mmoja kuwa na masomo sehemu mbili tofauti.
 
Wakuu mimi ni form 4 .... naomba kuuliza,je naweza kupata nafasi ya kuanza certificate hapo OUT?
Na je wanatoa Faculty zipi (kama nitapewa listi nitashukuru sana)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…