Chuo kikuu kukosa umeme/generator

Chuo kikuu kukosa umeme/generator

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Hivi majuzi nilikuwa kwenye Chuo kikuu maarufu hapa Tanzania nafikiri cha pili kwa ukubwa (Mazimbu Campus)
Kutokana na mgao wa umeme, shughuli nyingi zinaenda kwa kusua sua; Hata nikahoji ina maana Chuo kikuu hakina Generator?
Nikaambiwa wanayo tena kubwa ya kuendesha hiyo campus yote ila tatizo ni

1. Wizi wa mafuta (ndio sababu kuu) , ikifuatiwa na
2. Bajeti ya mafuta kuwa juu (hivyo haijawahi kuwasha kwa zaidi ya miaka 3 hadi 7 hivi). Utaweza kuelewa kuwa, kwa maiaka yote hiyo mafuta hayakuwa juu kiivyo

Nikahisi hii ni hatari sana kwa wasomi/viongozi tunao wa andaa
1. Hivi tuna andaa wasomi ambao wanajua kuwa Mafuta ya Generator yakiibiwa then solution iwe ni kutoiwasha?
2. Hivi tuna andaa wasomi ambao wanajua kuwa umeme ( Nishati) sio muhimu ila ni pale tu itakapo patikana?
3. Natamani hiyo Generator kama bado inawaka, ipewe taasis nyingine zinazo weza kuiendesha na kuisimamimia

Ushauri
Kuwe na utaratibu wa kubadilishana Viongozi wa juu wa Chuo mara wanapo staafu;
Mf: Makamu mkuu wa Chuo cha Sokoine atoke UD; na wa UD atoke UDOM nk
Hii itasaidia kuleta viongozi ambao hawajazoea kuishi na matatizo flani flani
 
Nilikuwa kwenye Chuo kikuu maarufu hapa Tanzania nafikiri cha pili kwa ukubwa (cha wakulima)
Kutokana na mgao wa umeme, shughuli nyingi zinaenda kwa kusua sua; Hata nikahoji ina maana Chuo kikuu hakina Generator?
Nikaambiwa wanayo tena kubwa ya kuendesha hiyo campus yote ila tatizo ni
1. Bajeti ya mafuta kuwa juu (hivyo haijawahi kuwasha kwa zaidi ya miaka 3 hadi 7 hivi)
2. Wizi wa mafuta

Nikahisi hii ni hatari sana kwa wasomi/viongozi tunao wa andaa
1. Hivi tuna andaa wasomi ambao wanajua kuwa Mafuta ya Generator yakiibiwa then solution iwe ni kutoiwasha?
2. Hivi tuna andaa wasomi ambao wanajua kuwa umeme ( Nishati) sio muhimu ila ni pale tu itakapo patikana?
3. Natamani hiyo Generator kama bado inawaka, ipewe taasis nyingine zinazo weza kuiendesha na kuisimamimia

Ushauri
Kuwe na utaratibu wa kubadilishana Viongozi wa juu wa Chuo mara wanapo staafu;
Mf: Makamu mkuu wa Chuo cha Sokoine atoke UD; na wa UD atoke SUA, UDOM nk
Hii itasaidia kuleta viongozi ambao hawajazoea kuishi na matatizo flani flani hivyo watakapo pewa nafasi watayarekebisha badala ya kuteua mtu wa hapo hapo ambaye amezoea kuishi na matatizo
Au wafanye kila college au school Ina standby genereta yake na bajeti yake ya mafuta.
 
Hivi majuzi nilikuwa kwenye Chuo kikuu maarufu hapa Tanzania nafikiri cha pili kwa ukubwa (Mazimbu Campus)
Kutokana na mgao wa umeme, shughuli nyingi zinaenda kwa kusua sua; Hata nikahoji ina maana Chuo kikuu hakina Generator?
Nikaambiwa wanayo tena kubwa ya kuendesha hiyo campus yote ila tatizo ni

1. Wizi wa mafuta (ndio sababu kuu) , ikifuatiwa na
2. Bajeti ya mafuta kuwa juu (hivyo haijawahi kuwasha kwa zaidi ya miaka 3 hadi 7 hivi). Utaweza kuelewa kuwa, kwa maiaka yote hiyo mafuta hayakuwa juu kiivyo

Nikahisi hii ni hatari sana kwa wasomi/viongozi tunao wa andaa
1. Hivi tuna andaa wasomi ambao wanajua kuwa Mafuta ya Generator yakiibiwa then solution iwe ni kutoiwasha?
2. Hivi tuna andaa wasomi ambao wanajua kuwa umeme ( Nishati) sio muhimu ila ni pale tu itakapo patikana?
3. Natamani hiyo Generator kama bado inawaka, ipewe taasis nyingine zinazo weza kuiendesha na kuisimamimia

Ushauri
Kuwe na utaratibu wa kubadilishana Viongozi wa juu wa Chuo mara wanapo staafu;
Mf: Makamu mkuu wa Chuo cha Sokoine atoke UD; na wa UD atoke SUA, UDOM nk
Hii itasaidia kuleta viongozi ambao hawajazoea kuishi na matatizo flani flani hivyo watakapo pewa nafasi watayarekebisha badala ya kuteua mtu wa hapo hapo ambaye amezoea kuishi na matatizo
Umejaribu kufuatilia juu ya sababu zinapelekea ugumu wa kimiundominu katika chuo sua hususani campus ya mazimbu ukifuatilia itakusaidia Kwa faida yako
 
Umejaribu kufuatilia juu ya sababu zinapelekea ugumu wa kimiundominu katika chuo sua hususani campus ya mazimbu ukifuatilia itakusaidia Kwa faida yako
Sasa si ungezitaja tu ili na sisi tuzijue?
Ila usije ukatuambia kule kuna kuwa na mafuriko na nyaya zipo chini ya ardhi; sioni ikiwa sababu kwani genereta inaunganishwa kwenye mfumo wa umeme wa TANESCO
Nakama kulikuwa na mifumo miwili inayo jitegemea (kizamani)wangemuita fundi umeme ahamishie Generator kwenye mfumo wa wiring wa TANESCO kazi rahisi ya kuweka Change over switch nafikiri ingemchukua siku moja hadi mbili hivi nk
 
Final whistle
Tun 0 - 1 Aus

Kina al habib wanaendelea kutia aibu[emoji16]
 
Hivi majuzi nilikuwa kwenye Chuo kikuu maarufu hapa Tanzania nafikiri cha pili kwa ukubwa (Mazimbu Campus)
Kutokana na mgao wa umeme, shughuli nyingi zinaenda kwa kusua sua; Hata nikahoji ina maana Chuo kikuu hakina Generator?
Nikaambiwa wanayo tena kubwa ya kuendesha hiyo campus yote ila tatizo ni

1. Wizi wa mafuta (ndio sababu kuu) , ikifuatiwa na
2. Bajeti ya mafuta kuwa juu (hivyo haijawahi kuwasha kwa zaidi ya miaka 3 hadi 7 hivi). Utaweza kuelewa kuwa, kwa maiaka yote hiyo mafuta hayakuwa juu kiivyo

Nikahisi hii ni hatari sana kwa wasomi/viongozi tunao wa andaa
1. Hivi tuna andaa wasomi ambao wanajua kuwa Mafuta ya Generator yakiibiwa then solution iwe ni kutoiwasha?
2. Hivi tuna andaa wasomi ambao wanajua kuwa umeme ( Nishati) sio muhimu ila ni pale tu itakapo patikana?
3. Natamani hiyo Generator kama bado inawaka, ipewe taasis nyingine zinazo weza kuiendesha na kuisimamimia

Ushauri
Kuwe na utaratibu wa kubadilishana Viongozi wa juu wa Chuo mara wanapo staafu;
Mf: Makamu mkuu wa Chuo cha Sokoine atoke UD; na wa UD atoke SUA, UDOM nk
Hii itasaidia kuleta viongozi ambao hawajazoea kuishi na matatizo flani flani
Mimi mwaka juzi nilikuja nyumbani likizo mwezi wa 12 na January. Ktk njia ambayo nilikuwa naitumia sana ni hii ya msewe, chuo kikuu mlimani mwenge.

Kilichonistaajabiasha na kuniuzunisha kuona kuna kundi la vijana wanafanya kazi ya kufyeka majani kila siku yaani wakianzia huku chuo cha maji mpaka wakifika chuo cha ardhi, huko chuo cha maji tayari umeshakuwa msitu. Nikajiuliza inawezekana vipi chuo kikuu na kikubwa sana tz hakina mashine za kukata nyasi. Yaani inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom