Chuo kipi kinawanawake wazuri na warembo

Chuo kipi kinawanawake wazuri na warembo

Mabinti wa Ifm wananjaa sana wamekuwa kuku wa kienyeji siku hizi.watoto wapo Tumaini iringa,AU RUAHA UNIVERSITY ni washombeshombe balaa.
 
Hivyo vyuo vyako vyote ulivyotaja ni chamtoto - wewe usihangaike nenda Kona Bar University ya wajasiliamali utawakua warembo wa kumwaga.
 
Au Kmboka university college, constituent college of the University of Kona Bar
 
MUHAS of coures. du tuache utaniila ni wachache sijui kwanini muhimbili hakuna ga makontena ya maana.
 
Kweli kuna tofauti kubwa ya jinsi gani kila mtu anatumia kichwa chake...badala ya kufikiria kusoma, mtu anafikiria kina dada wazuri. what a strange world
 
matak
o bar college of beer and nyama choma wapo wakuotosha
 
Jamani nyapu ziko kule mwisho wa lami kwa mheshimiwa jerry slaa... Kampala unuversity kuna totozi utazani zimetoka uhabeshi...
 
Kweli kuna tofauti kubwa ya jinsi gani kila mtu anatumia kichwa chake...badala ya kufikiria kusoma, mtu anafikiria kina dada wazuri. what a strange world

Kaka ndio JF hiyo. The good the bad,the bright the dull,the mundane the exciting,wazushi wakweli,the mediocre the exceptional all in the house. We are a family.
 
sauti mtoto akifika pale mwenyewe anapendeza hata akiwa handsome anakuwa beauty b'cause samaki wakubwa
 
Acha kwa watoto wa zuri udsm bana

udsm cku izi hamna kitu seriously,,, yanakuja mapolygon kwa wingi,,, watoto wazuri wanapakimbia wanaogopa migomo,,, nenda saut au tumaini babaa,,, ata iaa arusha wanajitaidi sana chaliwangu uspime
 
Back
Top Bottom