Chuo kipi kinawanawake wazuri na warembo

Chuo kipi kinawanawake wazuri na warembo

Totoz za ukwel zpo UDOM, college of social science in particular halaf wanajua kuvaa ile mbaya inshort ni masista duu ile mbaya.Maashallah mungu awazidishie watoto wa socio.
 
Niliwahi kutembelea chuo flani kinaitwa muccobs kule moshi,mademu wote wamekomaa sura ka njemba zinazochimba mitaro..

Naomba ututake radhi wewe....sisi kuchimba mitalo ni sehemu tu ya kazi zetu za kujiingizia kipato, na wale msitumie kama kigezo cha kutuita njemba, kama vipi banaa njemba mwenyewe.
 
kweli great thinkers mmechoka, tunajadili warembo sasa sio eeh?
haya bwana, baada ya kazi.......................................................................
 
Chuo chochote cha Nursing cheki na vyuo vya masekretari
 
1. Ifm
2. Udom
3. Dit
4. Mzumbe
5.sua


vingine mtaniwia radhi, subirini 2015.

hao wa ifm wanaomba sana vocha na kupenda burger na chipsi za steers...mambo yote chuo cha kilimo naliendele kule ndo mpango mzima
 
Wakuu chuo cha UTUMISHI WA UMMA kule kwao Ben Mkapa kina watoto wazuri balaa. Yaani utadhani walidondoshwa kutoka mbinguni. Watoto mguu mguu, kifua kifua yaani ka kwenye shindano la miss world lo!!!
 
Wakuu chuo cha UTUMISHI WA UMMA kule kwao Ben Mkapa kina watoto wazuri balaa. Yaani utadhani walidondoshwa kutoka mbinguni. Watoto mguu mguu, kifua kifua yaani ka kwenye shindano la miss world lo!!!

mbona hukuchukua hata mmoja aisee? ila nasikia wanapenda ofa za bia na kwenda club
 
Back
Top Bottom