Chuo kipi ni kizuri kwa course ya diploma in electrical engineering hapa bongo?

Chuo kipi ni kizuri kwa course ya diploma in electrical engineering hapa bongo?

VMWare-Oracle

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2021
Posts
667
Reaction score
917
Habari zenu wana JF.
Mimi ni mhitimu wa kidato cha nne mwaka 2021.Najua matokeo hayajatoka kwa selection ya 2022 lakini huwa na penda kufatilia vitu mapema ili nijipange.Ningependa kupata mawazo yenu kuhusu hiyo title.(dhumuni kuu:nimechagua DIT kwenye selform but tangu nije home nasikia sifa mbaya na ninasikia kinazidi kushuka viwango mpaka naona nitaenda kupotea kitaaluma).Pengine naweza badilisha maamuzi mkinishauri.
#Kila mwenye moyo wa kuchangia thread hii abarikiwe na Mwenyezi Mungu
 
Mdogo wangu nisikilize kama kweli una passion ya electrical engineering nenda Mbeya university of science and technology (MUST) haraka sna

Kasome iyo diploma

Nakwambia hutajuta Kwa sasa nina uzoefu (experience) navijua vyuo vyote vya engineering vizur sna.

I recommend that!
 
Hizo sifa mbaya unazosikia DIT ni zipi??
DIT hawana kubembelezana Kama hutaki kusoma unadisco au una retake modules akuna Cha ku carry Wala nn Kama unapenda mteremko nenda MUST

Kijana Kama unataka diploma kwelii njoo DIT au ATC

NB:Kama huwezi kusoma kwa bidii nenda hivo vyuo vingine
 
Hizo sifa mbaya unazosikia DIT ni zipi??
DIT hawana kubembelezana Kama hutaki kusoma unadisco au una retake modules akuna Cha ku carry Wala nn Kama unapenda mteremko nenda MUST

Kijana Kama unataka diploma kwelii njoo DIT au ATC

NB:Kama huwezi kusoma kwa bidii nenda hivo vyuo vingine
Mm mwenyewe naikubali dit ila nimesikia kua wamepunguza practicals kwamba wanaupiga mwingi.Ndo maana nawasikiliza wajumbe kwamba ni kweli au bado kipo bomba!!
 
Vyuo vyetu hivi hasa ni theory( Wana deal na makaratasi kwanza) tu practicals utazikuta uko kazini baada ya elimu yako 80% ya vyuo vyote hawako based kwenye practicals
 
Mm mwenyewe naikubali dit ila nimesikia kua wamepunguza practicals kwamba wanaupiga mwingi.Ndo maana nawasikiliza wajumbe kwamba ni kweli au bado kipo bomba!!
Mungu akijalia ukaja utanikuta me nipo hapa DIT nasoma biomedical engineering mwaka wa mwisho diploma lakin nmeplan kuunga bachelor ya electrical engineering mwezi wa 10 kama Mambo yakiwa sawa
 
Mungu akijalia ukaja utanikuta me nipo hapa DIT nasoma biomedical engineering mwaka wa mwisho diploma lakin nmeplan kuunga bachelor ya electrical engineering mwezi wa 10 kama Mambo yakiwa sawa
Na iwe hivyo (Amin).Vp kuhusu practicals hapo dit au ndo yaleyale ya 80%
 
Mdogo wangu nisikilize kama kweli una passion ya electrical engineering nenda Mbeya university of science and technology (MUST) haraka sna

Kasome iyo diploma

Nakwambia hutajuta Kwa sasa nina uzoefu (experience) navijua vyuo vyote vya engineering vizur sna.

I recommend that!
Mdogo wangu nisikilize kama kweli una passion ya electrical engineering nenda Mbeya university of science and technology (MUST) haraka sna

Kasome iyo diploma

Nakwambia hutajuta Kwa sasa nina uzoefu (experience) navijua vyuo vyote vya engineering vizur sna.

I recommend that!
Hizo sifa mbaya unazosikia DIT ni zipi??
DIT hawana kubembelezana Kama hutaki kusoma unadisco au una retake modules akuna Cha ku carry Wala nn Kama unapenda mteremko nenda MUST

Kijana Kama unataka diploma kwelii njoo DIT au ATC

NB:Kama huwezi kusoma kwa bidii nenda hivo vyuo vingine
Hivi vyuo vitatu, MUST, DIT na ATC havina tofauti yeyote ile ya kitaaluma kwa level ya Diploma.

Kitakachomfanya mtu achague ni mazingira na sababu zingine, ila siyo ubora wa elimu.
 
Habari zenu wana JF.
Mimi ni mhitimu wa kidato cha nne mwaka 2021.Najua matokeo hayajatoka kwa selection ya 2022 lakini huwa na penda kufatilia vitu mapema ili nijipange.Ningependa kupata mawazo yenu kuhusu hiyo title.(dhumuni kuu:nimechagua DIT kwenye selform but tangu nije home nasikia sifa mbaya na ninasikia kinazidi kushuka viwango mpaka naona nitaenda kupotea kitaaluma).Pengine naweza badilisha maamuzi mkinishauri.
#Kila mwenye moyo wa kuchangia thread hii abarikiwe na Mwenyezi Mungu
Mpeleke MUST, hapo DIT panakabwa na mazingira finyu kulinganisha na idadi ya wanafunzi
 
Hivi vyuo vitatu, MUST, DIT na ATC havina tofauti yeyote ile ya kitaaluma kwa level ya Diploma.

Kitakachomfanya mtu achague ni mazingira na sababu zingine, ila siyo ubora wa elimu.
Bro tofauti ipo Kati ya must na hivo vingine yaan( ATC na DIT) huku sisi ukifeli kuchomoa supp una retake yaan unarudia mwaka wenzako wanaendelea mwka mwingine wew unarudia Somo ulilofeli Ila MUST wana carry wenyew hamna Cha kurudia mwaka utalisoma Hilo somo ukiwa mwaka mwingine

Ko DIT utakuta mtu anasoma diploma miaka Mitano ni Kawaida Sana sio Kama wenzetu wa MUST wenyew mteremko tu yaan kiufupu MUST wako tofauti Sana na ATC na DIT hata kwenye CA hapa DIT usipofika 20 marks kwa CA hufanyi mtihani wa mwisho wa semister Ila MUST unaingia unafanya Kama Kawaida na ukifaulu unaendelea mwaka mwingine Ila sisi CA ukizingua unasubri mwaka unaofuata wenzako wanaendelea wew unarudia na wadogo zako kusoma Hilo somo

NOTE: DIT na ATC wako sawa kitaaluma tofauti ni mazingira tu Ila MUST wako tofauti kimazingira na system za elimu yao
 
Habari zenu wana JF.
Mimi ni mhitimu wa kidato cha nne mwaka 2021.Najua matokeo hayajatoka kwa selection ya 2022 lakini huwa na penda kufatilia vitu mapema ili nijipange.Ningependa kupata mawazo yenu kuhusu hiyo title.(dhumuni kuu:nimechagua DIT kwenye selform but tangu nije home nasikia sifa mbaya na ninasikia kinazidi kushuka viwango mpaka naona nitaenda kupotea kitaaluma).Pengine naweza badilisha maamuzi mkinishauri.
#Kila mwenye moyo wa kuchangia thread hii abarikiwe na Mwenyezi Mungu
Vyuo vyote vya Tanzania almost ni equal but not same...ila inategemea na akili ya mwanafunzi mwenyewe
 
Back
Top Bottom