VMWare-Oracle
JF-Expert Member
- Dec 19, 2021
- 667
- 917
- Thread starter
- #21
Sawa kakaDogo nenda kasome, DIT kipo vizuri mbona hasa katika hiyo nyanja ya Umeme
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa kakaDogo nenda kasome, DIT kipo vizuri mbona hasa katika hiyo nyanja ya Umeme
Nimekuelewa kila la kheriNakuelewa mkuu na chakusema ni kwamba uwezo wa kwenda mit au Harvard ninao ila mm sio muhumini wa advance eti nipoteze muda alf niende kusoma huko niishie kuajiriwa.Asilimia kubwa ya TO's na waliokwenda huko wameishia kuwa walowez wakiwatumikia wazungu.Mm ninachohitaji ni chuo kitakachonishape kibongobongo ili nijue natokaje.Hustling is everything na kufanikiwa ni popote pale ila vitu vingine maamuz
ShukraniNimekuelewa kila la kheri
SureMtoa mada wewe ni kati ya form four leavers wachache wenye akili kuwahi kutokea JF. Nakupongeza sana kwa hoja zilizonyooka.
Yaani hatajuta kabisaDogo nenda kasome, DIT kipo vizuri mbona hasa katika hiyo nyanja ya Umeme
Shukrani mkuuYaani hatajuta kabisa
DIT atapasuka huyo awahi nafasi NITUkikaa sikiliza maneno hutokaa usome chuo Tz. Utasema UDSM bora lakini mwingine atakwambia udsm wanafunzi wake ni wa huni (refer yule aliye tumia fanya nyeusi)!
Mimi kwa ushauri nenda kasome DIT tena ukimaliza unga hapo hapo degree!
NB: Hata ukisoma Oxford au harvard kama bichwa lako ligumu na hujitumia utakua empty set tu!
Ajiandae na GPA za 1.8-2.5Dogo nenda kasome, DIT kipo vizuri mbona hasa katika hiyo nyanja ya Umeme
Kwa nini tena?DIT atapasuka huyo awahi nafasi NIT
Kwa nini mkuu?Ajiandae na GPA za 1.8-2.5
Nasikia wamerudi mitaa ya kkoo.So itakua hivyohivyo kwa dit.Nenda DIT ila machinga na wauza mihogo pale njee hawapo sahivi
Nakushauri tu subiria majibu yatoke kwanzaHabari zenu wana JF.
Mimi ni mhitimu wa kidato cha nne mwaka 2021.Najua matokeo hayajatoka pamoja na selection lakini ningependa kujua mapema ili nijipange(dhumuni kuu:nimechagua DIT kwenye selform but tangu nije home nasikia sifa mbaya kuhusu DIT kwamba inashuka viwango naomba unisaidie kunijuza wapi niende referring the title).
Kila utakayechangia Mwenyezi Mungu akubariki
Usiogope dogo upe moyo nafasi unakuonesha sehemu gan unapenda kuhusu ubora naona DIT na MuST pote pako powa tuKwa nini tena?
Haya yashatoka mkuuNakushauri tu subiria majibu yatoke kwanza
Usiogope dogo upe moyo nafasi unakuonesha sehemu gan unapenda kuhusu ubora naona DIT na MuST pote pako powa tu
Lkn friend, kwenye job qualification hua n chuo chochote kinachotambulika na serekali, tittle za vyuo tunataka wenyewe,Asante mkuu