Chura sina na sura nayo nisipake makeup? Before & After

Wanawake bwana [emoji23][emoji23]

Wanaume tunakulaga vitu vya ajabu sana,,,, cha muhimu tujitahidi tuwe na chama chetu bungeni ili tupate wa kututetea
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] xawa n kuwapa maji wanawe uso, mengine ndio yafate
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] xawa n kuwapa maji wanawe uso, mengine ndio yafate
Ukishampenda huezi kukumbuka kumpa maji anawe,utamwangalia tu nakusmile uku ukisifu umbaaji wa mungu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukishampenda huezi kukumbuka kumpa maji anawe,utamwangalia tu nakusmile uku ukisifu umbaaji wa mungu[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenye Kupenda Haoni Hata Chongo Atasema Kengeza πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜πŸ˜€βœ

Chongo Kwa Mnyamwezi Kwa Mzaramo Amri Ya Mungu πŸ‘πŸ€πŸ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…