Church fund 'not enough' to right slavery wrongs

Church fund 'not enough' to right slavery wrongs

mbona picha ya tippu tip sio ya kuchora ni picha ya camera? Picha hiyo sio kama zile za kuchora mwarabu ameshika gobore huku anawaswaga waafrika kwenye msafara wa watumwa. Kwenye vitabu vya historia baadhi ya picha zinaonekana ni za kamera ukiacha zile za kuchora. Tuhitimishe mjadala, sasa kama historia iliandikwa na mkoloni na ipo hukohuko zanzibar pale mji mkongwe, je serikali inaonaje historia hiyo kuendelea kuwepo katika makumbusho yake? La sivyo ijulikane wazi ni kina nani walihusika na biashara ya watumwa
Mawazo mazuri na hilo swali anaeweza kujibu ni waziri wa elimu au wa mambo ya nje.
Kwanini historia za UONGO mpk leo zimebaki kwenye maeneo mbali mbali Tanzania?

Na sio hio tu.
Hata wale waitwao watemi wameua sana wananchi.
Kwanini wananchi wasiambiwe ukweli wakajua kuwa watemi walifanya mauwaji kwa wananchi?

Leo watoto wetu wanatunga nyimbo za kuwasifia.
Tunarithishana Ujinga na UONGO.
Ni shida kubwa sana hapa Tanzania.
Wenzetu wa Nchi zingine za africa wamesha amka.
Sisi bado mno.
 
Kukosa elimu ni shida.
Unafahamu history ya slavery in Arabian peninsula?
Show me one evidence that people were forced to Slavery on that era. You know very little yet u got the gut to blame Arabs.
Once again Show me hard evidence .
Show me the evidence that arabs did not deal with slavery.Tuanzie hapo
 
Kukosa elimu ni shida.
Unafahamu history ya slavery in Arabian peninsula?
Show me one evidence that people were forced to Slavery on that era. You know very little yet u got the gut to blame Arabs.
Once again Show me hard evidence .
Kwenye elimu hebu tuache kutambiana.Utaumbuka
 
Nyerere alikuwa muwakilishi wa kanisa katoliki East Africa.
Kwa sababu waislamu ndio waliomuweka madarakani wakatoliki wakaona waislamu watakuja kumtoa madrakani na kuufuta kabisa Ugalatia Tanzania
ndio akaanzisha Bakwata.
Kumbe waislamu ni watu waungwana sana.
Wala hawajali nani anaamudu nini. Muhimu kuheshimiana na kuwa na mipaka ya nidhamu.

Mpk leo mfumo kristo unapambana sana kudhibiti waungwana lkn unafeli vibaya mno
Chuki kwa Nyerere as usual.Waislam walimuweka madarakani kwa sbb he was far intelligent than most of your ancestors
 
Leta ushahidi mwarabu aliuza mwafrika .
We unadhani kama kungekuwa na ushahidi leo waarabu wangeachwa kufunguliwa mashtaka kama walivyoshtakiwa MAKANISA YA WAZUNGU?

Wewe umejazwa historia na mzungu. Ameandika vitabu kukupumbaza wewe na mimi kuwa waarabu walitesa watu wetu .
leo tumeona wazi kuwa waarabu hawakuhusika kabisa na biashara hio haramu. Ndio maana hakuna taifa la kiarabu limeshtakiwa wala kulaumiwa.

Someni mpate kuelewa Historia ya kweli. Acheni kubeba utumbo wa wazungu.
Mtaathirika sana.
Tumeona wapi kwamba waarabu hawakuhusika na biashara ya utumwa?
 
Tumeona wapi kwamba waarabu hawakuhusika na biashara ya utumwa?
Hivi najadili na watoto humu?
Wewe ni mwizi. Nionyeshe wapi kuwa wewe sio mwizi!
Unaweza kujibu hilo swali?
 
Nyerere alikuwa muwakilishi wa kanisa katoliki East Africa.
Kwa sababu waislamu ndio waliomuweka madarakani wakatoliki wakaona waislamu watakuja kumtoa madrakani na kuufuta kabisa Ugalatia Tanzania
ndio akaanzisha Bakwata.
Kumbe waislamu ni watu waungwana sana.
Wala hawajali nani anaamudu nini. Muhimu kuheshimiana na kuwa na mipaka ya nidhamu.

Mpk leo mfumo kristo unapambana sana kudhibiti waungwana lkn unafeli vibaya mno
Mfumo Kristu haupambani na waungwana hizo ni hisia zako.Mfumo kristu ulishajisimika.Unadhibiti kila sekta ya nchi hii.Wanaopambana wanajulikana utawakuta Pangani,Kibiti,Mkuranga na Mtwara wakiwa maporini wanapiga mazoezi ya kivita kudhani wataisilimisha hii nchi.Mfumo Kristu una mizizi kila mahali.Tunamshukuru Mwl.Nyerere!Pole!
 
Unabishana na mtu anayesema Adam alikuwa muislam?utaweza?
Kwahio wewe umo humu kubishana?
Watu wengine mnamaliza oxygen bure tu.
Bora mrudi kwenu Rwanda.
Sasa uliambiwa Adam aliabudu sanamu au picha ya mzungu ?

Yyt mwenye kuabudu Mungu mmoja bila kumshirikisha na kiumbe yyt huyo ni Muislamu.
Musa aliabudu Mungu mmoja.
Daudi aliabudu Mungu mmoja.
Ibrahim aliabudu Mungu mmoja.
Na Yesu aliabudu Mungu mmoja.


Uislamu maana yake ni kukubali kuwa HAKUNA mungu anaestahiki kuabudiwa ispokuwa MUNGU MMOJA TU.

Ndio maana Yesu alisema.
Ni Yehova Mungu, wako ambaye ni lazima wewe uabudu, na kwa YEYE PEKE YAKE ni lazima wewe utoe utumishi mtakatifu.”—⁠LUKA 4:8,
Sasa Danganya watu kuwa Yesu ni Yehova .

Mtu mmoja alipomwita Yesu “Mwalimu Mwema,” alijibu “Kwa nini unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila MUNGU MMOJA .’’ [Marko 10:18]

Katika kisa kingine anasema: “Siwezi kufanya lolote peke yangu. Chochote ninachosikia, Ninahukumu na hukumu yangu ni ya haki. sitafuti mapenzi yangu mwenyewe bali mapenzi yake ALIYENITUMA.” [Yohana 5:30]

Yesu anazungumza juu ya Mungu tofauti NA kwake mwenyewe: Ninapanda kwenda kwa Baba yangu na Baba yenu, kwa MUNGU WANGU na MUNGU WENU . [Yohana 20:17]

Katika mstari huu anathibitisha kwamba alitumwa na Mungu: Huu ndio uzima wa milele: Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma. [Yohana 17:3]

Iwapo Yesu angekuwa Mungu angewaambia watu wamwabudu, lakini alifanya kinyume na akakataa yeyote anayemwabudu: Nao wanani abudu bure [Mathayo 15:9].

Ikiwa Yesu alidai kuwa Mungu kungekuwa na mamia ya mistari katika Biblia ambayo ingeitaja. Lakini hakuna mstari hata mmoja katika Biblia nzima ambao Yesu anasema mimi ni Mungu, niabudu.

Ogopeni Mungu na kumbukeni kuna adhabu kubwa kwa wale wenye kuabudu
Unabishana na mtu anayesema Adam alikuwa muislam?utaweza?
 
Show me the evidence that arabs did not deal with slavery.Tuanzie hapo
Vipi uulize ushahidi wakati kesi hakuna?
We uzushiwe kesi ya wizi kisha uulize nini umeiba Kisha huyo aliye kuzushia kesi akwambie "nipe ushahidi kuwa Wewe hujaiba"! Hivi huyo muuliza swali atakuwa na akili timamu?

Wewe unaeamini waarabu walishiriki kwenye Biashara ya Utumwa ndio utuonyeshe Ushahidi km ulivyo unyweshwa kuwa KANISA lilifanya Biashara hio haramu.

Tumeona mpk MELI ILIOBEBA WATUMWA IKIITWA "MV JESUS ".
Sasa rudi Darasani ukaongeze maarifa.
 
Mfumo Kristu haupambani na waungwana hizo ni hisia zako.Mfumo kristu ulishajisimika.Unadhibiti kila sekta ya nchi hii.Wanaopambana wanajulikana utawakuta Pangani,Kibiti,Mkuranga na Mtwara wakiwa maporini wanapiga mazoezi ya kivita kudhani wataisilimisha hii nchi.Mfumo Kristu una mizizi kila mahali.Tunamshukuru Mwl.Nyerere!Pole!
Sasa we jiulize swali moja tu
Wewe ukisilimu na kuabudu MUNGU mmoja tu badala ya Kuabudu Sanamu la mzungu Waislamu wanapata faida gani? au We ukifa kafiri Waislamu wanapata Hasara gani?

Sasa mpuuzi gani ataingia porini kufanya mazoezi ya kivita yasio na faida na yeye ya aina yyt?
Jaribu kushirikisha akili wakati unaandika hapa.
 
Kwenye elimu hebu tuache kutambiana.Utaumbuka
We lzm utakuwa umefanya kazi za kuimba taarab au mchiriku.
Elimu sio mipasho. Na hakuna kuumbuana kwenye suala la ufahamu.
Ni aidha unajua au hujui.
Na kutokujua sio aibu .

Sasa Weka ushahidi kuwa waarabu walifanya biashara ya watumwa.
Km huna usione aibu wala hutoumbuka.
 
We lzm utakuwa umefanya kazi za kuimba taarab au mchiriku.
Elimu sio mipasho. Na hakuna kuumbuana kwenye suala la ufahamu.
Ni aidha unajua au hujui.
Na kutokujua sio aibu .

Sasa Weka ushahidi kuwa waarabu walifanya biashara ya watumwa.
Km huna usione aibu wala hutoumbuka.
Nimeamua kutofanana na wewe!
 
Nimeamua kutofanana na wewe!
Siku ukiamua kuabudu MUNGU MMOJA na kuachana na kuabudu sanamu na mtu utakuwa ndugu yangu kabisa.
Until that day comes we will never be the same.
 
Siku ukiamua kuabudu MUNGU MMOJA na kuachana na kuabudu sanamu na mtu utakuwa ndugu yangu kabisa.
Until that day comes we will never be the same.
Yaani nimkufuru Mungu kwa kusema "Hakuna Mungu isipokuwa allah"
Never on earth!
Niamini ujinga wa mabikra 72 afterlife? Kwa hilo hatuwezi kuwa ndugu.
Nimwabudu allah asiyekuwa na uwezo mwenye mtume mmoja tuu?
Kwa hilo ngoja niwe ndugu yake Nyerere
 
Yaani nimkufuru Mungu kwa kusema "Hakuna Mungu isipokuwa allah"
Never on earth!
Niamini ujinga wa mabikra 72 afterlife? Kwa hilo hatuwezi kuwa ndugu.
Nimwabudu allah asiyekuwa na uwezo mwenye mtume mmoja tuu?
Kwa hilo ngoja niwe ndugu yake Nyerere
We unadhani babu zetu walitawaliwa kwa nguvu?
Na mpk leo wewe ni mtumwa wa mzungu na bado unashangilia.
Umewahi kusikia mtu anavaa bastola ya mbao kujikumbusha kifo cha babake alieuawa na bastola?
Nadhani mtu huyo utadhani Ana ugonjwa wa akili au sio?
Lkn wewe kuvaa msalaba unahisi ni ibada! Kisha unatukana waislamu wanaoabudu Mungu mmoja.

Ukafiri sio kufuru peke yake
Lzm umechanganyika na upungufu wa fahamu kiasi kikubwa sana.
 
We unadhani babu zetu walitawaliwa kwa nguvu?
Na mpk leo wewe ni mtumwa wa mzungu na bado unashangilia.
Umewahi kusikia mtu anavaa bastola ya mbao kujikumbusha kifo cha babake alieuawa na bastola?
Nadhani mtu huyo utadhani Ana ugonjwa wa akili au sio?
Lkn wewe kuvaa msalaba unahisi ni ibada! Kisha unatukana waislamu wanaoabudu Mungu mmoja.

Ukafiri sio kufuru peke yake
Lzm umechanganyika na upungufu wa fahamu kiasi kikubwa sana.
Wee endelea na allah,matusi ya nini bosi?Mimi nimekwambia sitaki kushiriki kufuru kubwa hiyo.
 
Wee endelea na allah,matusi ya nini bosi?Mimi nimekwambia sitaki kushiriki kufuru kubwa hiyo.
Hakuna tusi hapo. Ni ukweli tu. Na sifa ya ukweli huwa unauma kidogo.
Sisi tunaamrishwa ktk Kitabu cha Mungu kuwa "hakuna kulazimishana ktk Dini"

Wewe una uhuru wa kuendelea kuabudu mzungu
Lkn lzm nikupe angalizo kuwa moto wa Jahannam umeandaliwa kwa watu wenye viburi na wanaokufuru km unavyofanya wewe.

Nikutakie siku njema.
 
Hakuna tusi hapo. Ni ukweli tu. Na sifa ya ukweli huwa unauma kidogo.
Sisi tunaamrishwa ktk Kitabu cha Mungu kuwa "hakuna kulazimishana ktk Dini"

Wewe una uhuru wa kuendelea kuabudu mzungu
Lkn lzm nikupe angalizo kuwa moto wa Jahannam umeandaliwa kwa watu wenye viburi na wanaokufuru km unavyofanya wewe.

Nikutakie siku njema.
Endelea kumwabudu mwarabu na jiwe lake jeusi
 
Back
Top Bottom