CIA akiri kumuua Bob Marley akiwa hoi kitandani

Heheh upo vzuri brother
 
The point is Everyone dies,,and these CIAs are the one who killed the scientist who prove the fake ideas about HIV
 
Hivi yuke KARMA hivi hana address ya Marekani? Mbona wametenda uovu mwingu sana duniani na wanaendelea kupeta?? Karma where are you to America her plate?
 
Hivi admin wa hili jukwaa ni nani? Hivi watu huwa wanafanya research hata kidogo kupata ukweli wa habari? Ni jambo la aibu sana katika zama hizi za maendeleo ya sayansi na teknolojia. Huyo anayeonekana kwenye picha siyo Bill Oxley, huyo mzee ni model wa Poland yuko kwenye mapicha kibao tu. Admin, this is FAKE news, futilia mbali.
 

Rasta don't work for no CIA

Kipindi nipo mdogo hicho kipande nilikuwa naskia "Rasta kaungua mkono si yeye"[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Alimmalizia hosipitali au yeye ndio alimpandikizia kansa?
 
Nakuona mkuu unatoa sitresi mpaka huku[emoji16] [emoji16] [emoji125]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Hivi yuke KARMA hivi hana address ya Marekani? Mbona wametenda uovu mwingu sana duniani na wanaendelea kupeta?? Karma where are you to America her plate?
address yake ipo Pyongyang...na ameanza kugusa kidonda
 
Wote waliokuwa na harakati zinazokinzana na kutishia malengo na maslahi ya CIA na marekani walikwenda na maji,vitendo hivi vinafanywa na watawala wowote duniani,hii dunia sio fair kwenye nguvu ndio wameshika hatamu,,pona nataka TL
 
Alikuwa kazini na uzuri sababu kazitoa tena za msingi,hats wale wa biblia mnaelewa kuwa Suleiman aligizwa aue so alikuwa anatimiza wajibu wake kwamba sicrifice lazima ifanyike ili mambo mengine yaendelee kuwepo kama yalivyo Leo bila kujalisha anayetoa tafsiri
 
kuna mijitu bado inapelekwa kama kondoo na kauli za marekani including kibaraka wao mange kimambi open up your eyes these men stands for their benefits allways
 
Yan hii serikali ya Marekani nahis ndio serikali inayoongoza kwa kuua watu duniani
 
How long shall you kill our prophets while we stand aside and look? Redemption songs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…