CIA haimtambui Kikwete kama ni DR? Inatambua DRs watatu tuu katika Serikali ya JK!

CIA haimtambui Kikwete kama ni DR? Inatambua DRs watatu tuu katika Serikali ya JK!

Ndibalema

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2008
Posts
10,955
Reaction score
4,656
Nimetembelea website ya CIA na ku'search Tanzania Government.

Nimeshangazwa na CIA kutomtambua JK na baadhi ya mawaziri wake kama ni madokta.

Badala yake inawatambua madokta watatu tuu tena wote ni kutoka Zanzibar.

Hii inamaanisha nini?

CIA hawajui kama JK na baadhi ya mawaziri wake kama Marry Nagu, Nchimbi, Mwakyembe nk ni Dr's?

au inamaanisha CIA wanaujua udokta wa kuchakachua wa viongozi hawa?

--------------------------------------------------

Tanzania

Chiefs of State and Cabinet Members of Foreign Governments
Date of Information: 9/24/2012
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]Pres.
[/TD]
[TD]Jakaya Mrisho KIKWETE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Vice Pres.
[/TD]
[TD]Mohamed Gharib BILAL, Dr.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Prime Min.
[/TD]
[TD]Mizengo Kayanza Peter PINDA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Pres. of Zanzibar
[/TD]
[TD]Ali Mohamed SHEIN, Dr.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Agriculture, Food Security, & Cooperatives
[/TD]
[TD]Christopher Kajoro CHIZA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Communication, Science, & Technology
[/TD]
[TD]Makame Mnyaa MBARAWA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Community Development, Gender, & Children
[/TD]
[TD]Sofia Mattayo SIMBA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Defense & National Service
[/TD]
[TD]Shamsi Vuai NAHODHA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for East Africa Cooperation Affairs
[/TD]
[TD]Samwel John SITTA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Education & Vocational Training
[/TD]
[TD]Shukuru Jumanne KAWAMBWA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Energy & Mineral Resources
[/TD]
[TD]Sospeter MUHONGO
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Finance & Economic Affairs
[/TD]
[TD]William Augustao MGIMWA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Foreign Affairs & Intl. Cooperation
[/TD]
[TD]Bernard Kamillius MEMBE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Health & Social Welfare
[/TD]
[TD]Hussein Ali MWINYI, Dr.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Home Affairs
[/TD]
[TD]Emmanuel John NCHIMBI
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Industry, Trade, & Marketing
[/TD]
[TD]Abdallah Omar KIGODA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Information, Youth, Culture, & Sports
[/TD]
[TD]Fenella Ephraim MUKANGARA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Justice & Constitutional Affairs
[/TD]
[TD]Mathias Meinrad CHIKAWE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Labor & Employment
[/TD]
[TD]Gaudentia Mugosi KABAKA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Lands & Human Settlements Development
[/TD]
[TD]Anna Kajumulo TIBAIJUKA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Livestock & Fisheries
[/TD]
[TD]David Mathayo DAVID
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Natural Resources & Tourism
[/TD]
[TD]Khamis Juma Suedi KAGASHEKI
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Transport
[/TD]
[TD]Harrison George MWAKYEMBE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Water
[/TD]
[TD]Jumanne Abdallah MAGHEMBE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Works
[/TD]
[TD]John Pombe Joseph MAGUFULI
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. Without Portfolio
[/TD]
[TD]Mark James MWANDOSYA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Good Governance, President's Office
[/TD]
[TD]George Huruma MKUCHIKA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Public Service Management, President's Office
[/TD]
[TD]Celina Ompeshi KOMBANI
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Social Relations & Coordination, President's Office
[/TD]
[TD]Stephen Masatu WASIRA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Environment, Vice President's Office
[/TD]
[TD]Terezya Pius Luoga HOVISA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Union Affairs, Vice President's Office
[/TD]
[TD]Samia Hassan SULUHU
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Investment & Empowerment, Prime Minister's Office
[/TD]
[TD]Mary Michael NAGU
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Policy, Coordination, & Parliamentary Affairs, Prime Minister's Office
[/TD]
[TD]William Vangimembe LUKUVI
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Regional Admin. & Local Govt., Prime Minister's Office
[/TD]
[TD]Hawa Abdulrahman GHASIA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Attorney Gen.
[/TD]
[TD]Frederick WEREMA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Governor, Central Bank
[/TD]
[TD]Benno NDULU
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ambassador to the US
[/TD]
[TD]Mwanaidi Sinare MAAJAR
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Permanent Representative to the UN, New York
[/TD]
[TD]Tuvako Nathaniel MANONGI
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]




Source: https://www.cia.gov/library/publications/world-leaders-1/world-leaders-t/tanzania.html
 
Labda wana sababu zao ila kuna Udaktari wa kweli kama wa Kawambwa, Magufuli, Matayo, Mikuangara etc.
 
watu wengine wasipoandika habari za jk siku hiyo hapati usingizi!
 
Kikwete pia ni Luteni Kanali mstaafu, mbona hujaandika kwamba hilo nalo hawalitambui?

Marekani ma dokta (Ph.D) wana shun kuitwa "Dr" kama sio kwenye academic setting, being a doctor is commonplace, some would even link that with being a loser nerd who could not do and ended up teaching.

While a president of a sovereign nation is a true distinction.

Ungeniambia CIA hawajam recognize Kikwete kama rais ungekuwa na story.

Ukitaka titles zote za Kikwete ziandikwe hapo unaweza kupata a chain of titles longer than Idi Amin's and Yahya Jammeh's combined.

Head of State, Dr., Retired Liutenant Colonel, Custodian of The Land of The United Republic of Tanzania, holder of Order of the Pearl of Africa, Order of the Green Crescent of the Comoros, King Abdulaziz Order of Merit, Jamaica Order of Excellence, The Civil Order of Oman - First Class etc etc
 
Hivi CIA ndo wana responsibility ya kuzitambua academic awards?
 
CIA Ndio nani na elimu .za mabwanyeye wa ccm
 
Nimetembelea website ya CIA na ku'search Tanzania Government.

Nimeshangazwa na CIA kutomtambua JK na baadhi ya mawaziri wake kama ni madokta.

Badala yake inawatambua madokta watatu tuu tena wote ni kutoka Zanzibar.

Hii inamaanisha nini?

CIA hawajui kama JK na baadhi ya mawaziri wake kama Marry Nagu, Nchimbi, Mwakyembe nk ni Dr's?

au inamaanisha CIA wanaujua udokta wa kuchakachua wa viongozi hawa?

--------------------------------------------------

Tanzania

Chiefs of State and Cabinet Members of Foreign Governments
Date of Information: 9/24/2012
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]Pres.
[/TD]
[TD]Jakaya Mrisho KIKWETE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Vice Pres.
[/TD]
[TD]Mohamed Gharib BILAL, Dr.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Prime Min.
[/TD]
[TD]Mizengo Kayanza Peter PINDA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Pres. of Zanzibar
[/TD]
[TD]Ali Mohamed SHEIN, Dr.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Agriculture, Food Security, & Cooperatives
[/TD]
[TD]Christopher Kajoro CHIZA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Communication, Science, & Technology
[/TD]
[TD]Makame Mnyaa MBARAWA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Community Development, Gender, & Children
[/TD]
[TD]Sofia Mattayo SIMBA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Defense & National Service
[/TD]
[TD]Shamsi Vuai NAHODHA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for East Africa Cooperation Affairs
[/TD]
[TD]Samwel John SITTA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Education & Vocational Training
[/TD]
[TD]Shukuru Jumanne KAWAMBWA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Energy & Mineral Resources
[/TD]
[TD]Sospeter MUHONGO
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Finance & Economic Affairs
[/TD]
[TD]William Augustao MGIMWA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Foreign Affairs & Intl. Cooperation
[/TD]
[TD]Bernard Kamillius MEMBE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Health & Social Welfare
[/TD]
[TD]Hussein Ali MWINYI, Dr.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Home Affairs
[/TD]
[TD]Emmanuel John NCHIMBI
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Industry, Trade, & Marketing
[/TD]
[TD]Abdallah Omar KIGODA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Information, Youth, Culture, & Sports
[/TD]
[TD]Fenella Ephraim MUKANGARA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Justice & Constitutional Affairs
[/TD]
[TD]Mathias Meinrad CHIKAWE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Labor & Employment
[/TD]
[TD]Gaudentia Mugosi KABAKA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Lands & Human Settlements Development
[/TD]
[TD]Anna Kajumulo TIBAIJUKA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Livestock & Fisheries
[/TD]
[TD]David Mathayo DAVID
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Natural Resources & Tourism
[/TD]
[TD]Khamis Juma Suedi KAGASHEKI
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Transport
[/TD]
[TD]Harrison George MWAKYEMBE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Water
[/TD]
[TD]Jumanne Abdallah MAGHEMBE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Works
[/TD]
[TD]John Pombe Joseph MAGUFULI
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. Without Portfolio
[/TD]
[TD]Mark James MWANDOSYA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Good Governance, President's Office
[/TD]
[TD]George Huruma MKUCHIKA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Public Service Management, President's Office
[/TD]
[TD]Celina Ompeshi KOMBANI
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Social Relations & Coordination, President's Office
[/TD]
[TD]Stephen Masatu WASIRA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Environment, Vice President's Office
[/TD]
[TD]Terezya Pius Luoga HOVISA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Union Affairs, Vice President's Office
[/TD]
[TD]Samia Hassan SULUHU
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Investment & Empowerment, Prime Minister's Office
[/TD]
[TD]Mary Michael NAGU
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Policy, Coordination, & Parliamentary Affairs, Prime Minister's Office
[/TD]
[TD]William Vangimembe LUKUVI
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Regional Admin. & Local Govt., Prime Minister's Office
[/TD]
[TD]Hawa Abdulrahman GHASIA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Attorney Gen.
[/TD]
[TD]Frederick WEREMA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Governor, Central Bank
[/TD]
[TD]Benno NDULU
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ambassador to the US
[/TD]
[TD]Mwanaidi Sinare MAAJAR
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Permanent Representative to the UN, New York
[/TD]
[TD]Tuvako Nathaniel MANONGI
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]




Source: https://www.cia.gov/library/publications/world-leaders-1/world-leaders-t/tanzania.html

Kha! kwani ndio CIA ndio nini? acha fikra za kitumwa wewe jikomboe!
 
Kikwete pia ni Luteni Kanali mstaafu, mbona hujaandika kwamba hilo nalo hawalitambui?

Marekani ma dokta (Ph.D) wana shun kuitwa "Dr" kama sio kwenye academic setting, being a doctor is commonplace, some would even link that with being a loser nerd who could not do and ended up teaching.

While a president of a sovereign nation is a true distinction.

Ungeniambia CIA hawajam recognize Kikwete kama rais ungekuwa na story.

Ukitaka titles zote za Kikwete ziandikwe hapo unaweza kupata a chain of titles longer than Idi Amin's and Yahya Jammeh's combined.

Head of State, Dr., Retired Liutenant Colonel, Custodian of The Land of The United Republic of Tanzania, holder of Order of the Pearl of Africa, Order of the Green Crescent of the Comoros, King Abdulaziz Order of Merit, Jamaica Order of Excellence, The Civil Order of Oman - First Class etc etc


kikwete alikuwa anafundisha siasa hasa katiba ya CCM jeshini, kwa kufundisha tu siasa amabayo si medani ya kivita unaweza kupanda mpaka kuwa luteni kanali?
 
kikwete alikuwa anafundisha siasa hasa katiba ya CCM jeshini, kwa kufundisha tu siasa amabayo si medani ya kivita unaweza kupanda mpaka kuwa luteni kanali?

Kwani kigezo cha kuwa Luteni Kanali ni nini?

Kiserikali serikali bongo mtu anaweza kupanda vyeo hata kama hafundishi, kwa kukaa kazini muda mrefu tu kila baada ya miaka kadhaa anapandishwa.

Unachotaka kusema ni nini?

Huwezi kusema Kikwete hajawa Luteni Kanali kwa merit katika nchi ambayo haina mfumo wa kufuata merit.

Sababu nzima iliyomfanya Kikwete awe rais ni kutokana na kwamba hatuna mfumo wa kuangalia merit. Tungetafuta merit kwa Kikwete tusingeona za kutosha kumpa urais.

Back to the doctorate question, the doctorate is just one of many of Kikwete's accolades that received by virtue of being president, so the CIA went for the essence, the presidency, and did not assign much importance to a mundane honorary doctorate.
 
kwani kigezo cha kuwa luteni kanali ni nini?

Kiserikali serikali bongo mtu anaweza kupanda vyeo hata kama hafundishi, kwa kukaa kazini muda mrefu tu kila baada ya miaka kadhaa anapandishwa.

Unachotaka kusema ni nini?

Huwezi kusema kikwete hajawa luteni kanali kwa merit katika nchi ambayo haina mfumo wa kufuata merit.

Sababu nzima iliyomfanya kikwete awe rais ni kutokana na kwamba hatuna mfumo wa kuangalia merit. Tungetafuta merit kwa kikwete tusingeona za kutosha kumpa urais.

Back to the doctorate question, the doctorate is just one of many of kikwete's accolades that received by virtue of being president, so the cia went for the essence, the presidency, and did not assign much importance to a mundane honorary doctorate.

kijeshi kigezo cha kuwa kanali unatakiwa kuwa officer wa jeshi kwa kipindi cha miaka 22-24, ana komandi kikosi cha askari sio chini ya mia tisa, jk alikuwa ni straight riflemen, huu ujuzi aliupata jkt, baadae alijiunga na siasa za ccm, akapelekwa jeshini kufundisha siasa za ccm, nafikiri cheo cha juu alichostahili ni kuwa private first class, muujiza uliotokea mpaka akawa luteni kanali anaujua yeye na mungu wake.
 
kijeshi kigezo cha kuwa kanali unatakiwa kuwa officer wa jeshi kwa kipindi cha miaka 22-24, ana komandi kikosi cha askari sio chini ya mia tisa, jk alikuwa ni straight riflemen, huu ujuzi aliupata jkt, baadae alijiunga na siasa za ccm, akapelekwa jeshini kufundisha siasa za ccm, nafikiri cheo cha juu alichostahili ni kuwa private first class, muujiza uliotokea mpaka akawa luteni kanali anaujua yeye na mungu wake.

Sina hakika kama kigezo chako kinazingatia fast tracking ya "wasomi" jeshini.

Mpaka mid nineties nakumbuka jeshi lilikuwa linaajiri graduates na kuwafanya maluteni usu / maluteni mara baada ya kupita mafunzo ya Monduli. Ukipata Masters unapigwa U Major.

Na Kikwete alijiunga na jeshi mapema zaidi ya hapo, kama university graduate.

Sijaona cha ajabu hapo bado.

Zaidi, Kikwete alijiunga na jeshi enzi za "chama kushika hatamu" ambazo mambo ya propaganda za chama jeshini yalipewa umuhimu mkubwa sana, essentially makada fulani wa chama walikuwa wanaandaliwa kwa uongozi wa nchi jeshini. Na wengine wanaweza kusema Kikwete kaanza kudandia hizi special privileges tangu UDSM alipokuwa katika student government.

Kama kuna kitu cha ku question hapa ni mfumo mzima usioeleweka, usio wazi, usiofuata merit.

Kikwete is easy target because he is on the spotlight.

We have a much bigger problem than Kikwete.
 
Sina hakika kama kigezo chako kinazingatia fast tracking ya "wasomi" jeshini.

Mpaka mid nineties nakumbuka jeshi lilikuwa linaajiri graduates na kuwafanya maluteni usu / maluteni mara baada ya kupita mafunzo ya Monduli. Ukipata Masters unapigwa U Major.

Na Kikwete alijiunga na jeshi mapema zaidi ya hapo, kama university graduate.

Sijaona cha ajabu hapo bado.

Zaidi, Kikwete alijiunga na jeshi enzi za "chama kushika hatamu" ambazo mambo ya propaganda za chama jeshini yalipewa umuhimu mkubwa sana, essentially makada fulani wa chama walikuwa wanaandaliwa kwa uongozi wa nchi jeshini. Na wengine wanaweza kusema Kikwete kaanza kudandia hizi special privileges tangu UDSM alipokuwa katika student government.

Kama kuna kitu cha ku question hapa ni mfumo mzima usioeleweka, usio wazi, usiofuata merit.

Kikwete is easy target because he is on the spotlight.

We have a much bigger problem than Kikwete.

jk hakuwaahi kuwa mwanafunzi monduli alikuwa mwalimu wa siasa monduli, sijui alipate uafisa, fast tracking ya wasomi jeshini kwa faida ya nani?
 
Back
Top Bottom