CIA haimtambui Kikwete kama ni DR? Inatambua DRs watatu tuu katika Serikali ya JK!

CIA haimtambui Kikwete kama ni DR? Inatambua DRs watatu tuu katika Serikali ya JK!

jk hakuwaahi kuwa mwanafunzi monduli alikuwa mwalimu wa siasa monduli, sijui alipate uafisa, fast tracking ya wasomi jeshini kwa faida ya nani?

Nani kasema JK amewahi kuwa mwanafunzi Monduli?

Waulize wakuu wa majeshi amepata fast tracking kwa faida ya nani. Waulize CCM mfumo mzima wa "chama kushika hatamu" ulikuwa kwa faida ya nani.

Watanzania wamemchagua JK kwa wingi, kwa sababu wengi wetu hatuna utaratibu wa kuhoji, na si tu wengi hatujahoji kupandishana vyeo bila merit, mimi sijawahi kusikia a convinving case for Kikwetes achievements prior to becoming a candidate.

Hivi Kikwete alikuwa na merit gani ya kusema anaweza kuwa rais wa nchi maskini kama Tanzania?

Badala ya kuhoji kwa nini sisi kama jamii hatujahoji JK kukosa merit kabla, na kwa nini tumemchagua licha ya kukosa merit, na kuhoji mfumo mzima wa watu kupanda ngazi bila merit (rais wa pili Ally Hassan Mwinyi alishawahi kujiuzulu Uwaziri wa Mambo ya ndani kwa uzembe kimsingi, akaweza kurudi na kuwa rais hatujaliona hili kama tatizo)

Matatizo yetu hayajaanza na wala hayaishi kwa JK.

Kama tunatafuta suluhisho, tuulize maswali yenye kina cha zaidi ya JK.

Kama vile, ilikuwaje mtu aliyejiuzulu kwa uzembe kama Ally Hassan Mwinyi aweze kupewa nafasi ya kugombea urais? Tena chini ya uangalizi wa kipanga wenu JK Nyerere?

Ukiangalia maswali kama haya utaona huu upuuzi wa kupandishana tu kwa sababu "huyu mwenzetu", hata kama mtu kajiuzulu kwa uzembe, ulianza kabla Kikwete hata hajaingia serikalini.

Kwa hiyo ku focus kwa Kikwete kunaweza kuwa sawa kwa sababu yeye ni rais na yuko visible sana, lakini kuna matatizo yaliyo katika jamii nzima yaliyoanza kabla ya Kikwete na yenye kina kirefu kumshinda Kikwete.

Kikwete si sababu ya matatizo yetu.

Kikwete ni matokeo ya matatizo yetu.

Ukitaka kutatua tatizo kuangalia matokeo ni muhimu, lakini kuangalia sababu ni muhimu zaidi.
 
kikwete alikuwa anafundisha siasa hasa katiba ya CCM jeshini, kwa kufundisha tu siasa amabayo si medani ya kivita unaweza kupanda mpaka kuwa luteni kanali?

Una maanisha hata wakati wa Mtukufu mwenyeheri uchakachuaji ulikuwepo? Imebaki kuhoji jina kama kweli huyu tunaemuona na kumjua ndio mtoto hasa wa Chifu wa W.ak.were chif mrisho kikwete?
 
Hao ni doctor of medicine and vertenary doctor ndio maana wanawatambua!! Hivi unajua kuwa hata barack obama ni phd holder but ulishasikia wanamuita dr obama????
 
Ata mimi simtambui kama ni DR...vi here here ni watangazaji wetu wa taarifa ya habari yani wananipa kichefuchefu kila nikisikia wanasema DR KIKWETE.
 
Ata mimi simtambui kama ni DR...vi here here ni watangazaji wetu wa taarifa ya habari yani wananipa kichefuchefu kila nikisikia wanasema DR KIKWETE.
 
Ata mimi simtambui kama ni DR...vi here here ni watangazaji wetu wa taarifa ya habari yani wananipa kichefuchefu kila nikisikia wanasema DR KIKWETE.

Ungetumia Dawa ya Penzi usingejisikia hivyo!
 
kuna baadhi ya hao walio tajwa for nwhat I know ni kweli wana dr. za ukweli! Lakini kitu kimoja cha kujiuliza kwa Mleta maada je kila linalosemwa na CIA kwetu ni sheria au ndio ukweli?
 
Hamuwajui CIA. Wana dharau tu. Prof Maghembe ana PhD katika fani ya kilimo, na amefanya postdoctoral studies kadhaa, na uprofesa kapata kihalali kwa taratibu zote za SUA. Kiburi cha wazungu hawa ni kwamba wanadharau universities zetu.
 
Hamuwajui CIA. Wana dharau tu. Prof Maghembe ana PhD katika fani ya kilimo, na amefanya postdoctoral studies kadhaa, na uprofesa kapata kihalali kwa taratibu zote za SUA. Kiburi cha wazungu hawa ni kwamba wanadharau universities zetu.

Kama Maghembe ni profesa wa kilimo na uwaziri wake akiwa kwenye kilimo ndo ulikuwa mbovu kiasi kile, basi naamini wasomi wetu wengi ni vihiyo. Bora wakina Nyerere na Kawawa ambao walikuwa na elimu ndogo ila iliyoleta tija kwa taifa.
MAGHEMBE ni hovyo kabisa. Hata kuandaa bajeti tu ya wizara kwa mwaka mmoja anapata tabu
 
Back
Top Bottom