CIA haimtambui Kikwete kama ni DR? Inatambua DRs watatu tuu katika Serikali ya JK!

Dr Hussein Mwinyi naye kahitimu kutoka Feza University huko Uturuki,hah hah nchi hii haishi vituko
 
Acha ushamba wewe ... CIA ndio nini ? fikra za kitumwa hizo lazima watambue elimu ya kila mtu! weye wanakutambua kama nani..? watu wengine bana zero
 

Hoja yako ni inanifanya nifikili zaidi! wapo kweli wenye Phd za ukweli ila sema ccm inawafanya waonekane kama hawana kitu kwakuwa hawaongozwi na utashi wao yaani hakuna kufikili nikufuata sera za chama basi! so kama chama kinatetea mafisadi basi na wewe ukiwa huko inabidi uwe hivyo! ndiyo maana una wasiwasi na PhD hata za ukweli.Ukiangalia tunavyo ibiwa mali asili huwezi amini kama tunaongozwa na watu walio soma,ukiangalia Bunge akina makinda na Naibu speaker unashangaa kabisa kama hawa watu wasomi kweli hawa! au wamelewa nini?

Ndiyo maana wanachi wanatoa conclusion kwamba huenda elimu zao ni za kufoji!
 
ni kweli tunapenda ujiko kuna jamaa yangu alikuja likizo toka US kumpigia simu jamaa yake mwingine akamwambia unaongea na doctor ikabidi amkatie simu akasema kwani mimi mgonjwa kule na marafiki ni madaktari wanafanya transplanting ya moyo lakini hawana majivuno ndio ikawa mwanzo na mwisho kuwasiliana naye ndio maana wanasiasa wanaoongoza kwa kufoji na kununua vyeti Dr Lwakatare
 
sorry,hivi mnaonaje,mkatafuta mambo ya kufanya,maana sasa tumewachoka,mnamuongelea Kikwete,sijui kama mnawakumbuka hata wazazi wenu na elimu zao.
 
na ndio mana yule anaitwa Obama na huyu ni Kikwete,means hawafanani hawa kwa tabia.kichwa chetu kinapenda sifa hata kma ni za kijinga.
Nakumbuka kuna mheshimmiwa mmoja alikuwa chuoni anachukua Doctorate, basi kuna mtangazaji wa redio moja akawa anamhoji, cha ajabu yule mheshimiwa alikataa kuanza kuzungumza akitaka kwanza yule mtangazaji am-address kama Dokta.

Kwa hapa bongo hili si ajabu kwani waheshimiwa wanapenda sifa kuliko kufanya kazi.
 
Acha ushamba wewe ... CIA ndio nini ? fikra za kitumwa hizo lazima watambue elimu ya kila mtu! weye wanakutambua kama nani..? watu wengine bana zero

...wewe ndo zero mkubwa,mbona walivyoleta chandarua mliwapigia magoti mkawapa na kigamboni,clinton alikuja mkadeki barabara,acha kujifanya maskini jeuri,mfumo wa siasa na uchumi mlio ukumbatia utawafanya vibaraka tu hata kama mnajidai vidume,ni zaidi ya zero nyie, negative one wakubwa nyie...
 

oh am sorry aim the one who will break this news .... you are an utter fool ...


 


oh am sorry aim the one who will break this news .... you are an utter fool ...



...pameuma eeeh ! pumb..av..u ,usikurupuke kama kuku anayelalia mayai, kila siku mnapanga foleni kwenda marekani, afu eti fikra za kitumwa wakati nchi mmeuza, !!!?? kwanza we akili yako ni negative seven kabisa, hata hali halisi huoni nchi inavyofyonzwa afu unatuletea mawazo muflisi.... ebooo !!
 
sorry,hivi mnaonaje,mkatafuta mambo ya kufanya,maana sasa tumewachoka,mnamuongelea Kikwete,sijui kama mnawakumbuka hata wazazi wenu na elimu zao.

Jamaa baba riz1 ni zaidi ya comedian ndiyo maana tunampenda
 
Ikiwa kama wahusika hawajafanya jitihada za kuwasiliana na CIA ili kuwajulisha ngazi za Elimu yao, kuna hoja kadhaa:
1. Wahusika hawajui ya kwamba wameshushwa thamani kitaaluma;
2. Elimu zao ni duni au hazitambuliki katika jamii ya kimataifa;
3. CIA hawajaboresha mtandao wao kwa wakati (kwa kuwa hawana taarifa)
4. .....
Kimsingi Elimu ya wanasiasa wetu inayo mashaka mengi.
Yote kwa yote, je CIA ndio wanaotoa acredation???
 
DR Kawambwa, DR Magufuli wote hawajaandikwa kama ni ma Dr so no big deal.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…