raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Yap na ndio inavyoonekana aidha mchezo wote wa3 wanaujua au ruto na kenyatta walikuwa na yao ila ndio mambo ya siasaSas watakutana vip mkuu siyo rais ila mm nadhani Uhuru kamchezea mchezo mchafu omolo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app