Citizen TV inamilikiwa na familia ya Rais Kenyatta?

Citizen TV inamilikiwa na familia ya Rais Kenyatta?


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwa jins nilivyomuona na kwa muonekana wake na kauli zake tu Ni dhahiri shairi kuwa magufuli mwingine ameonekana Kenya. Siyo kwa kuongea kiswahil chake kama Cha Dr magufuli Hadi kucheka anacheka Kama ancle magu muda wote namtizam Kama Dr magaufuli tu.

Bas sas ndugu zangu Wakenya mjiandae kukimbia mchakamchaka Hadi muite maji mmaa nawaambieni yani huo ufisadi wenu utakwisha na kuzambaratishwa kabsa na Dr Williams ruto the real magufulication is on work," kidonda kimempta mkunaji.

Amesem ndani ya siku Mia moja atakayo kuwepo ofcn Cha kwanza kbsa Ni kulifumua jeshi lote la police la Kenya na kuuipa nguvu kubwa na kumuteua accounts officer wake mkuu mtendaji ambaye atapewa bajeti yake yote ili aweze kufanya Kaz zake kwa huru kubisa tofauti na ilivyo zamani kuwa unapewa bajeti na maelekezo kutoka ikulu kumkamata

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom