Citizen TV inamilikiwa na familia ya Rais Kenyatta?

Citizen TV inamilikiwa na familia ya Rais Kenyatta?

Unauhakika mkuu ama umebuni

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Una kichwa kigumu kuelewa ...ndio madhara ya kudandia habari za Kenya hujui..CITIZEN TV HAIJAWAHI KUMILIKIWA NA KENYATTA WALA FAMILIA YAKE. Citizen tv inamilikiwa na mzee SK macharia Yuko hai ..mzee SK MACHARIA alikuwa rafiki na baba yake odinga na baba yake odinga alimsaidia Sana ndio maana mzee MACHARIA miaka yote ya uchaguzi huwa Yuko upande wa odinga na amekuwa akifavour waziwazi Raila odinga kupitia vyombo vyake vya habari. Wafuasi wa Rutto muda mwingi wa kampeni walikuwa wanakitupia lawama kituo Cha citizen tv kwa upendeleo. Check post za Oscar sudi etc utaona jinsi walivyokuwa wanakishambulia hicho kituo..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Naona mleta mada hujaelewa.
Citizen Tv haimilikiwi na Uhuru Kenyata bali kwenye uchaguzi huu ndio ilikuwa kinara wa kupigia debe kampeni za Raila (upande wa Uhuru), na kwa umakini mkubwa Citizen Tv ilikuwa inafanya siasa mbaya dhidi ya Ruto. Kwa kifupi tu, Ruto alisema na kucheka kama dhihaka dhidi ya maadui zake waliokuwa wanatumia Citizen Tv kummaliza kisiasa.

Kwa wale msiofahamu, Kwa Kenya Citizen Tv ina coverage kubwa na huenda ndio media house yenye ushawishi zaidi katika kuripoti habari (wakenya wengi wanaamini taarifa za Citizen huwa ni za kweli na zilizochunguzwa kwa kina), hivyo Citizen Tv ilikuwa ni silaha nzito ya propaganda za kummaliza Ruto. Upande mwingine, inadhaniwa kuwa Citizen imejaa waandishi wengi wa kijaluo walioloea Nairobi.
 
Sio kweli familia ya kenyatta inamiliki kituo K24 na sio CITIZENTV mmiliki wake amefariki juz kati nitakupa jina lake soon sema sehem ya wale matycoon wa kikuyu wanamuunga mkono kenyatta popote alipo
Kwani siyo Mali ya Aghakan?
 
S.K Macharia ndiye mmiliki wa Royal Media service ambayo inamiliki citizen na vituo vingine. S.K Macharia ako hai
K24 ilikua inamilikiwa na Kenyatta's ila kwa sasa Ruto ndiye majority shareholder
Inawezekana
 
Naona mleta mada hujaelewa.
Citizen Tv haimilikiwi na Uhuru Kenyata bali kwenye uchaguzi huu ndio ilikuwa kinara wa kupigia debe kampeni za Raila (upande wa Uhuru), na kwa umakini mkubwa Citizen Tv ilikuwa inafanya siasa mbaya dhidi ya Ruto. Kwa kifupi tu, Ruto alisema na kucheka kama dhihaka dhidi ya maadui zake waliokuwa wanatumia Citizen Tv kummaliza kisiasa.

Kwa wale msiofahamu, Kwa Kenya Citizen Tv ina coverage kubwa na huenda ndio media house yenye ushawishi zaidi katika kuripoti habari (wakenya wengi wanaamini taarifa za Citizen huwa ni za kweli na zilizochunguzwa kwa kina), hivyo Citizen Tv ilikuwa ni silaha nzito ya propaganda za kummaliza Ruto. Upande mwingine, inadhaniwa kuwa Citizen imejaa waandishi wengi wa kijaluo walioloea Nairobi.
Sas nimekupata mkuu hakika citizen imemchafua ruto bas ndio maana alicheka sna kuona kuwa mbna hawapo ktk mkutano wake all in all Kenya mmempata rais haswa mtasonga mbele mnoo ruto Ni jembe anajuwa kinachoendele jikoni Hapo hvyo mmepata magufuli wa kiafriaca

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Citizen TV ndiko nilikuwa nafuatilia taarifa zote kuhusu uchaguzi wao, ilikuwa mbele kwenye kujumlisha matokeo ya fomu 34A kuliko wengine na weledi wa kurusha matangazo Mubashara.
 
Citizen TV ndiko nilikuwa nafuatilia taarifa zote kuhusu uchaguzi wao, ilikuwa mbele kwenye kujumlisha matokeo ya fomu 34A kuliko wengine na weledi wa kurusha matangazo Mubashara.
Ndio walimdanganya kibabu huyu kuwa kashinda

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo hivi ulivyoviandika ni uongo, familia ya freedom haimiliki citizen
Anadai ni mwajiriwa wa Aghakan halafu hajui kama Aghakan inamiliki vyombo vya habari[emoji16][emoji16][emoji16] Nimekaa [emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]
 
Back
Top Bottom